Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20220806-170428.jpg
 
Indeed they have. Actually haya ni majengo mapya, na wamejenga hii development kama extension ya kijiji kilichopo kuongeza housing, pia wamejenga market, na public building ya ofisi za serikali ya kijiji.
Huku bado hatujakua serious na mambo ya msingi
 
Wakati Kunyaland mkifa Kwa kukosa Maji, Tanzania hadi Vijijini mambo iko hivi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220806-165454.png
    Screenshot_20220806-165454.png
    174.6 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220806-140601.png
    Screenshot_20220806-140601.png
    234.3 KB · Views: 13
Yaani football club ya Singida imesajili mpaka wazungu? 😄😄😄😄

Watanzania mna dharau kweli!
Wakunya huwa wanasema soka la Tanzania ni all about Simba and Yanga, by the way hii stadium ya Singida ipo vizuri kuliko viwanja vipya vya kunyaland

 
So what? Pesa ambayo nalipwa hii wiki nikjia Tanzania mi ni millionaire
🤣🤣🤣🤣 Kumbe we jamaa ni Karani wa uchaguzi 🤣🤣🤣🤣 alafu unadai kwamba ukija bongo wewe ni milionea .? Kwahzo elfu 50 tz sh utakazolipwa per day .? 50k×6= 300k.. hii ukija bongo ni pesa y kutumia usiku mmoja tu kidimbwi hapo, Jonie walker black label chupa mbili na chips kuku, pamoja na pesa ya bolt 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom