Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tapatalk_1659819512163.jpeg
tapatalk_1659819487391.jpeg
tapatalk_1659819456767.jpeg
 
Kwani cross breeding imefanyilka mara ya kwanza duniani kipindi cha GMO wacha kuwa shallow kwenye haya maneno kuto-germinate kunafanywa deliberately na GMO firms in the name of monopolistic commercialisation of seeds tena mbaya baada ya kz-patent natural seeds!

Si wewe ndo unajua hii maneno peke yako! Kuna sababu Tanzania inayolisha the region imekataa GMOs in food growing as inataka ku-remain independent n food secure.

Wacha kuchanganya madesa unataka kusema vifaranga vile hazitokani na mayai ya kuku? Kuku akiachwa kuhatamia mayai aliyotaga hatatotoa kifaranga? Na kifaranga kikiachwa kikue hakitarudia reproduction cycle?

BTW what do u know about utotoaji wa vifaranga hebu elezea GMO inatumika kivipi maana I have realized kuna kitu huna ufahamu nacho!
Kwani Kuna nchi iliyokatazwa kuzalisha mbegu au vifaranga vyake yenyewe?, Ni wazi kwamba vifaranga vya kisasa ni bora vinafaida kiuchumi, jaribu kuchukua hao kuku wa kisasa uwapamdishe na uwache watotoe uone vifaranga vitakavyozaliwa, hakuna aliyekatazwa kufanya hivyo.

Hivi bado unachukulia mfano wa Tanzania kulisha Kenya Kama mafanikio wakati nimekupa mifano ya Japan na Uholanzi kulisha Dunia?. Kama Tanzania tutatumia Elimu ya GMO, tutazalisha mara x50 ya hivi Sasa





Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwani Kuna nchi iliyokatazwa kuzalisha mbegu au vifaranga vyake yenyewe?, Ni wazi kwamba vifaranga vya kisasa ni bora vinafsida kiuchumi, jaribu kuchukua hao kuku wa kisasa uwapamdishe na uwache watotoe uone vifaranga vitakavyozaliwa, hakuna aliyekatazwa kufanya hivyo.

Hivi bado unachukulia mfano wa Tanzania kulisha Kenya Kama mafamikio wakati nimekupa mifano ya Japan na Uholsnzi kulisha Dunia?. Kama Tanzania tutatumia Elimu ya GMO, tutazalisha mara x50 ya hivi Sasa



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hakuna kwa vile utotoaji si GMO kama ulivyodai! Usigeuze topic jibu swali langu la utotoaji wa vifaranga na GMO! Ukiwa hujui kitu nyamaza na si kudai utotoaji wa vifaranga ni GMO! Wacha kupotosha!
 
Huyu African American analinganisha maisha ya Johannesburg na Nairobi halafu mbuzi fulani huwa zinasema kwamba Nairobi haiwezi kutajwa katika sentensi moja na Johannesburg.
 
Hata hivyo pia hawana maajabu yoyote hao wazungu, Bongo tu tumezubaa, ila Nina uhakika kama mwamba angekua hai tungeshuhudia yote haya tena kwa ukubwa ambao tengeshangazwa wengi wetu, sipati picha zile plan za kuibadilisha magomeni sunna mpaka Kinondoni zote zile kuanzia panda shuka hadi manyanya na viunga vyake, ila viongozi tuliopo nao sasahiv ni wapiga domo tu, hata sijui hizo plans ziliishia wapi pia
Una mawazo finyu sana ww lol eti mwamba angekuwepo
 
Huyu African American analinganisha maisha ya Johannesburg na Nairobi halafu mbuzi fulani huwa zinasema kwamba Nairobi haiwezi kutajwa katika sentensi moja na Johannesburg.
Hehehe najitokeza,kulinganisha gharama hakufanyi mue level moja na Jozi,mbuzi mwenyewe,uko serious unamsikilzia uyo choko anaongea kama demu ufala gani huu
 

Tatizo sio diamond kuperform kunyaland, tatizo ni the style diamond used to land and take off from that shithole, the expensive logistics are all matter on all these shenanigan debates taking over kunako kunyaland, the levels even their president doesn't come across (without stealing people's money)
 
Back
Top Bottom