Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna miaka ya nyuma nilisikia afisa mmoja ya jeshi la nchi fulani akisifia wanajeshi wa Tz kuwa wako tough sana, sikuelewa kwa nini alisema hivyo. Miaka miwili hivi iliyopita kulikuwa na video ya makomandoo wa JWTZ wakifanya mazoezi huku kamanda mmoja akimwaga njugu, niliachwa mdomo wazi. Sasa hii ya leo ndio funga kazi.
Kusema kweli hiyo kazi ni ngumu sana . Hongera zao makamanda
 
1659812341820.png

Another one
 
Yaani football club ya Singida imesajili mpaka wazungu? 😄😄😄😄

Watanzania mna dharau kweli!
Wakunya huwa wanasema soka la Tanzania ni all about Simba and Yanga, by the way hii stadium ya Singida ipo vizuri kuliko viwanja vipya vya kunyaland


Hii zaidi ya dharau 😅😅 huyu mwamba sijui wamemuokota wapi daah ila maisha duniani hapa hayana mwenyewe
 
Ni majuzi tuu hapa nimekutumia chapisho la matatizo ya chanjo za pfizer kubadilisha seli za mwili kutoka reputable university, ukakataa. Mwaka jana niliwahi kukuambia kuwa hizi mRNA vaccines, kwa wanawake, baada ya kuwa administered kuna kiasi kikubwa kinabaki kwenye ovaries, nikakupa mpaka na chapisho, ukajibangaiza.

Hivi karibuni niliangalia takwimu mbali mbali, nikakuta vitu vya kushangaza sana...

Kawaida, kwa wastani birth rate huwa ni kubwa kuliko death rate, cha kushangaza kuanzia 2020 mpaka leo takwimu zinaonesha mortality rate imekuwa kubwa kuliko natality rate ila mainstream media na hiyo WHO yako unayoiabudu hawataki kuliongelea hili. Hasa ukizingatia hicho ndicho kipindi watu wamepigwa chanjo. Unaweza kulielezea hili bila kuhusisha chanjo?
Kawaida, kwa wastani birth rate huwa ni kubwa kuliko death rate, cha kushangaza kuanzia 2020 mpaka leo takwimu zinaonesha mortality rate imekuwa kubwa kuliko natality rate ila mainstream media na hiyo WHO yako unayoiabudu hawataki kuliongelea hili. Hasa ukizingatia hicho ndicho kipindi watu wamepigwa chanjo. Unaweza kulielezea hili bila kuhusisha chanjo?

Hiki unachozungumza ni kitu gani?, Punguza kusoma vitu ambavyo huna utaalamu navyo utabaki kuwa ni kichekesho.

Ni nchi gani hiyo ambayo mortality rate ni kubwa kuliko birth rate duniani, tutajie tafadhali ili tuingie google tujisomee tuone.

Tatizo Moja ambalo upo nalo ni kutaka kujadili maeneo ambayo hukuyasomea badala yake unabaki kuokoteza maandishi na vijarida mitandaoni

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hata hivyo pia hawana maajabu yoyote hao wazungu, Bongo tu tumezubaa, ila Nina uhakika kama mwamba angekua hai tungeshuhudia yote haya tena kwa ukubwa ambao tengeshangazwa wengi wetu, sipati picha zile plan za kuibadilisha magomeni sunna mpaka Kinondoni zote zile kuanzia panda shuka hadi manyanya na viunga vyake, ila viongozi tuliopo nao sasahiv ni wapiga domo tu, hata sijui hizo plans ziliishia wapi pia
Bakhresa kawekeza Fumba town tunahitaji wawekezaji wa calibre hiyo kwenye real estate hapa Tz.
 
Ndio maana nilisema kwa Kuanzia TBA na Nhc wawezeshwe wao ndio wapime viwanja kulingana na wanavyotaka kufanya development.

Sisi tukiona viwanja vimepimwa na halmashauri tunasema mji umepanga.
Style yenyewe ya kupima viwanja ni ile ile haina ubunifu.

Mimi mortgage naona itasaidia sana kuliko kuruhusu watu kujijengea hovyo, mtu anajenga chumba kimoja anakaa miaka kumi anajenga cha pili, si bora alipe mortgage tu.
Serikali iweke utaratibu nhc na tba wakijenga nyumba wanashirikiana na Tanesco na watu wa maji nk, barabara wanazipiga lami.
Miundombinu yote weka chini ya ardhi hii itapunguza hata rushwa. Hakuna rushwa ya kiwanja wala ya kuungiwa umeme na maji
NHC na TBA tatizo lao sio wabunifu halafu hata design za nyumba zao ni za kipuuzi sababu kila mtu anataka kula hapohapo mwisho wa siku unapata poor product lakini yenye gharama kubwa. Private sector inabidi wahamasishwe kwenye kuwekeza kwenye ujenzi wa nyumba alongside mashirika ya serikali
 
So now you know more about what I eat than myself?

You're contradicting yourself there, an unstable substance can't be sufficient.

The instability of GMOs is what makes them dangerous to the ecology and since our ecosystem follows a predictable pattern, anything that comes in between will cause problems.

When natural seeds germinate and grow, they produce flowers with specific kind of smell, which attracts bees and ants to collect nectar. In the process, they take pollen with them through electrostatic force (ecosystem).

GMO seeds might produce flowers with unusual smell, keeping bees and ants away (disturbing the ecosystem) and everything in that food chain will be affected. In the end some colony of animals will extinct. Don't tamper with nature, thousands of years of evolution can't be wrong.
Can you please support your point from scientific researched results which have been accepted and approved by UN bodies?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Tafadhali naomba unielezee uzuri wa GMO kama hutojali.
Mkuu, lengo kubwa la GMO ni kuwa na mimea inayohimili magonjwa na yenye kutoa mazao mengi zaidi na kwa muda mfupi.

Hivi Sasa hali ya rutuba imepungua Sana, wadudu wanaoshambulia mazao wamekua wengi na wamejenga usugu kwa dawa nyingi zinazotumika za kuulia wadudu mashambani, na ukame pia umeongezeka Sana.

Mimea hii ya asili inashindwa kuhimili mabadiliko haya ya kimazingira yanayobadilika kwa Kasi Sana, ni muhimu na lazima hiyo mimea na wanyama kubadilika ili kueandana na mabadiliko hayo.

Genetic Engineering inajaribu kuweka au kuondoa sehemu ya Genetic materials ambayo inaonekana kuwepo kwake au kukosekana kwake ndio kunasababisha huo mmea au mnyama kushindwa kupambana na mabadiliko hayo.

Mfano mzuri katika maisha ya binadamu ni Ugonjwa wa "sickle cell", huu Ugonjwa unatokana na kuwepo na "protein" Moja kwenye DNA za watu wenye tatizo la Ugonjwa huo. Hivi Sasa Kuna majaribio yanafanyika kwa kutumia "Genetic Engineering" ili kuiondoa hiyo "protein" na kuweka protein sahihi ili huu Ugonjwa upotee kabisa duniani. Au ugonjwa wa "Albinism" ambao unatokana na kukosekana kwa "gene ya melanin" tafiti zinafanyika ili kupandikiza gene ya melanin ili miaka ijayo, kusiwepo na Albino duniani, hapo tatizo la GMO lipo wapi Kama tutapata binadamu wazima bila magonjwa ya kurithi?.

Kwa kifupi, GMO ni kupata viumbe Bora zaidi kwa kubadilisha "weak genes na kuweka "strong genes" kwa kutumia Elimu ya "Genetic Engineering"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, lengo kubwa la GMO ni kuwa na mimea inayohimili magonjwa na yenye kutoa mazao mengi zaidi na kwa muda mfupi.

Hivi Sasa hali ya rutuba imepungua Sana, wadudu wanaoshambulia mazao wamekua wengi na wamejenga usugu kwa dawa nyingi zinazotumika za kuulia wadudu mashambani, na ukame pia umeongezeka Sana.

Mimea hii ya asili inashindwa kuhimili mabadiliko haya ya kimazingira yanayobadilika kwa Kasi Sana, ni muhimu na lazima hiyo mimea na wanyama kubadilika ili kueandana na mabadiliko hayo.

Genetic Engineering inajaribu kuweka au kuondoa sehemu ya Genetic materials ambayo inaonekana kuwepo kwake au kukosekana kwake ndio kunasababisha huo mmea au mnyama kushindwa kupambana na mabadiliko hayo.

Mfano mzuri katika maisha ya binadamu ni Ugonjwa wa "sickle cell", huu Ugonjwa unatokana na kuwepo na "protein" Moja kwenye DNA za watu wenye tatizo la Ugonjwa huo. Hivi Sasa Kuna majaribio yanafanyika kwa kutumia "Genetic Engineering" ili kuiondoa hiyo "protein" na kuweka protein sahihi ili huu Ugonjwa upotee kabisa duniani. Au ugonjwa wa "Albinism" ambao unatokana na kukosekana kwa "gene ya melanin" tafiti zinafanyika ili kupandikiza gene ya melanin ili miaka ijayo, kusiwepo na Albino duniani, hapo tatizo la GMO lipo wapi Kama tutapata binadamu wazima bila magonjwa ya kurithi?.

Kwa kifupi, GMO ni kupata viumbe Bora zaidi kwa kubadilishia "weak genes na kuweka "strong genes" kwa kutumia Elimu ya "Genetic Engineering"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Si wakati wote GMOs zinatumika with bioethics in mind! Mfano chukulia makampuni ya Mosanto yanapita forests zote duniani in the name of bio-research only kuishia ku-patent indigenous seeds! Biotheft!!

Halafu wanafanya genetic modification kutoruhusu mbegu kutumika kupanda zaidi ya mara moja! Pia hata aina ya mbolea na pesticide zinazoendana na mbegu!

Unajua madhara yake? Ku-control global seed business na pia kufanya poor countries kuwa dependent kwao maana ruhusa ya kuzalisha mbegu kwa njia ya asili huna kwa vile wame-patent native seeds from respective countries!

Matokeo yake tunabaki kununua GMO seeds zilizo sokoni kila msimu! Seeds should not be commercialized! Tanzania should maintain her own native seeds bank kama Bashe anavyofanya na GMOs seeds kwa vyakula vya binadamu na wanyama ziendelee kuzuiwa.

Mbona hujiulizi Kenya wanatumia GMO Seeds for many years now na mbona bado wana njaa? Kama bio engineering/modification is a big deal, mbona wana food insecurity na tunawalisha?

Kiutamaduni mababu zetu walikuwa wakigawana au kubadilishana mbegu kila wakitembeleana au kipindi za mavuno kama vile Wazungu wanavyofanya after Xmas on boxing day!

GMO seeds zinaua that fabric in our African traditional! No one has seed banks anymore kama ilivyokuwa enzi hizo kila mji wa mtu ulikuwa na kihenje cha mbegu! Sasa hivi seedco shops ndo vihenje vya mbegu in exchange of money every planting season!

Unfortunately the seeds r selective on kind of nutrients, no more organic fertiliser can be applied to them but a chemical one specified by a seed company.
 

Hiz estate nyingi ni mchango wa private sector: Kenya, South Africa. They look so good, but only a fool doesnt know what it takes to own one. Ni very expensive.

Ni Bora tuendeleze shirika letu la nyumba la Taifa NHC.
 
Back
Top Bottom