Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20220806-132008.jpg
IMG_20220731_183402.jpg
 
Acha aongee ukweli najua mtahitaji justification, Uganda wanaongozwa na dictator M7 miaka chungu mzima ni yeye tu ndio anajiona anaweza kua raisi, Ethiopia civil wars,S.Sudan failed state,Somalia terrorism backyard lol ofcz you can't compare kenya na hao jamaa

Anatoaje kibanzi kwa majirani wakate kwake kuna bonge na boriti?

Kwani ni wapi iliandikwa kuwa ni marufuku M7 kuongoza miaka chungu mzima.
Hizo nchi unazotaja umesahau kuwa hata hiyo Kenya ni failed state?
 
There's no need of replying a madman cause you are one.

Who told you Kenya has no footbridge with an elevator?

Who told you Kenya has no cable stayed bridge? For your information, hata Uganda wako nayo.

The biggest airport in East and Central Africa is Bole international airport in Addis Ababa with a capacity of 25M PAX.

Ebu tuoneshe hiyo cruise ship ya Dar tucheke kidogo

Kenya and Ethiopia has a functioning SGR. Tanzania has nothing.
Hehehehe now huitaji tena Mombasa mbele ya Dar bali ni Dar vs East Africa and Central Africa, na ndiyo nilitaka uone kwamba Dar ili uiweze inabidi ulete Africa Mashariki na Kati, asante kwa ku prove nilichokiwaza so next time uwe na adabu kwa Dar
 
We mtanzania?, halafu Tanzania ni kubwa sana wanasiasa wa upinzani wanabase sana kwenye town kubwa kubwa . Huko remote vijijini ndiko ccm wanakoshinda. Kuna watu wanapenda tu chama huko vijijini hawaangalii sera wala nini? Upinzani inabidi wafanye kazi kwenda interior although late magu alizuia siasa baada ya uchaguzi ikawa pigo kwao

Hata mzee lowasa alivyoenda chadema (ukawa) aliwaambia siasa sio miji mikubwa wanatakiwa kwenda vijiji huko haswa huko remote area

Zile hotuba za magu za jumapili nadhani hata huko kenya mlikua mnasikliza maana alikua akienda church anatoa speech zilikua maarufu all over the world , jamaa akisikilizwa na wanaopenda na wasiompenda

Kubwa katuachia uthubutu watu wote haswa waafrika nothing impossible . Apumzike kwa amani . Kwa binadamu hakuna mkamilifu
Mnapoteza muda wenu kumuelewesha kichaa anaejifanya anajua Tanzania kupitia mitandao.
 
Anatoaje kibanzi kwa majirani wakate kwake kuna bonge na boriti?

Kwani ni wapi iliandikwa kuwa ni marufuku M7 kuongoza miaka chungu mzima.
Hizo nchi unazotaja umesahau kuwa hata hiyo Kenya ni failed state?
Yani kwa mtazamo wako huu siwezi kujadili nawe hii mada,hatutafuti ushindi hapa
 
Endeleeni kununua ndege kwa wingi kwanza in cash. Mimi nangoja tu kilio na kusaga meno kutoka kwenu. Mnapoteza pesa kwa mambo ya kipuuzi kama kununua ndege in cash ili tu kucompete na KQ. Mtaumia sana. Mark my words. Mtatengeneza losses hadi mshangae. Hii industry haitaki nyege na kimbele mbele.
Tayari ATCL imepokonya abiria wa KQ wanaoenda routes za ATCL.
 
Don't take it personal.

Huo upungufu wa chakula ndio ufanye tulishwe madudu yasiyo na nutrients sahihi? Au unapenda tunapopata magonjwa ya ajabu ajabu ili sekta ya afya iwe na uhakika wa ajira?
Anataka watu waanze kuishi kwa kunywa midawa kila siku kama wenzetu wafanyavyo, mimi hata matumizi ya mbolea za kisasa siyapendi basi tu,
Wazungu hawawezi kukwambia ubaya wa kitu ambacho wao wanatumia, watakusifu tu,

Tule GMO baadae wauze viagra kwa wingi.
 
Endeleeni kununua ndege kwa wingi kwanza in cash. Mimi nangoja tu kilio na kusaga meno kutoka kwenu. Mnapoteza pesa kwa mambo ya kipuuzi kama kununua ndege in cash ili tu kucompete na KQ. Mtaumia sana. Mark my words. Mtatengeneza losses hadi mshangae. Hii industry haitaki nyege na kimbele mbele.
We cannot trouble ourselves to compete with a company that owns 3 planes that will be insane. Tafuta kingine tafadhali.
 
Back
Top Bottom