Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kisumu inatoa Dar kamasi kwa residentials..,
View attachment 2315905
View attachment 2315906
Mkuu, wapo wabobezi katika Hilo eneo unalozungumza duniani na hata katika nchi mojamoja, je unao ushahidi wa kisayansi unaotokana na tafiti za kisayansi kuthibitisha Hilo unalolisema?.

Mkuu Kama tutaendelea kupiga bila kutumia ushahidi wa kisayansi tutaendelea kubaki nyuma Sana.

Ni ukweli usiopingika kwamba, nchi zilizoendelea wanajali Sana Afya zao kuliko sisi, Kuna vyombo vingi vinavyodhibiti ubora wa vyakula kuliko huku kwetu, raia wenyewe wapo "knowledgeable and very sensitive" na Afya zao kuliko sisi. Kuna makampuni ya bima za Afya na wanasheria wengi ambao wanafuatilia Sana makosa Kama hayo ili kuyashitaki hayo makampuni yenye kuuza na kutengeneza bidhaa zenye ukakasi Kama huo.

Ninakuhakikishia, Kama kungekuwepo na madhara katika GMO food Kama unavyofikiria, tayari mtiti ungeanzia huko huko na hizo bidhaa usingeziona huko Supermarkets.

Jambo Moja ninaloligundua kwako ni kwamba ni mtu unayeishi kwa kusikiliza Sana maneno na hupendi kufuata matokeo ya Sayansi, juzi Kati ulipingana na WHO, Leo unaanzisha sakasaka na FAO & WFP, sijui kesho utapingana na nani tena[emoji23][emoji23]
Chamoto

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Aisee... 254 bwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti. Shida zangu zikauke kama maua ya expressway
Adui zangu akauke kama maua ya expressway

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]



[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sitashangaa kama analipwa na "NGO" fulani, maana anatetea sana GMOs, chanjo za mRNA na Bill Gates. Unaweza kuunganisha nukta hapo.
Sasa huo ndio Uafrika wa hovyo, tunapokua na maoni tofauti lazima unakimbilia rushwa na kulipwa, mbona Mimi sisemi kwamba wewe unalipwa na makampuni ya wafanya biashara wa vyakula ambao wanapinga GMOs ili kuhakikisha kwamba kunaendelea kuwepo kwa upungufu wa chakula duniani?. I am not among cheap people interlectually

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
THE CITY OF ELDORET IN 3D !

these are real live photos i took myself..

the current state of the street level of the young city of eldoret, as at august 2022

i noticed that eldoret has changed alot eversince last time i was here sometimes mid last year..

my take:
dodoma, mbeya, morogoro, iringa, tanga, etc.
can never dare come anywhere close to the city of eldoret! 🔥🔥😍

i normaly tell these pple, to leave alone with kenyan cities, na bado wao hapana taka kuskia.. bado wako na ubavu wa kujaribu kuvilinganisha hizo miji zao cities zetu.. ila watachomeka tu bure 💣💥🔥

na kama ni ivo, basi na walete prove na photos kaa hizi hapa..👇🏽

cc: tuusan, coodip1
View attachment 2315683View attachment 2315684View attachment 2315731View attachment 2315685View attachment 2315750View attachment 2315712View attachment 2315691View attachment 2315694View attachment 2315696View attachment 2315690View attachment 2315729View attachment 2315701View attachment 2315720View attachment 2315692View attachment 2315752View attachment 2315753View attachment 2315686View attachment 2315722View attachment 2315703View attachment 2315721View attachment 2315724View attachment 2315727View attachment 2315706View attachment 2315707View attachment 2315708View attachment 2315709View attachment 2315710View attachment 2315711
This town ni classy, watu wako na pesa sana!.., I lived here, circulation ya pesa iko juu, standards of living are good, nice and classy estates, u can easily make it just living in Eldy, me thinks its bigger than Kisumu (my opinion) when u consider growth in the outskirts, coz u haven't covered the road on your way to Iten all the way to the University of Eldoret.., or going towards the west to Huruma, towards Uganda.., hakuna Kapsoya, Elgon View, Pioneer etc.., Kisumu is T shaped, limited by the lake on its south, Eldy is a cross, growth is North, East, west and south.., it's extensive..,
 
Sasa huo ndio Uafrika wa hovyo, tunapokua na maoni tofauti lazima unakimbilia rushwa na kulipwa, mbona Mimi sisemi kwamba wewe unalipwa na makampuni ya wafanya biashara wa vyakula ambao wanapiga GMOs ili kuhakikisha kwamba kunaendelea kuwepo kwa upungufu wa chakula duniani?. I am not among cheap people interlectually

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Don't take it personal.

Huo upungufu wa chakula ndio ufanye tulishwe madudu yasiyo na nutrients sahihi? Au unapenda tunapopata magonjwa ya ajabu ajabu ili sekta ya afya iwe na uhakika wa ajira?
 
Mkuu, wapo wabobezi katika Hilo eneo unalozungumza duniani na hata katika nchi mojamoja, je unao ushahidi wa kisayansi unaotokana na tafiti za kisayansi kuthibitisha Hilo unalolisema?.

Mkuu Kama tutaendelea kupiga bila kutumia ushahidi wa kisayansi tutaendelea kubaki nyuma Sana.

Ni ukweli usiopingika kwamba, nchi zilizoendelea wanajali Sana Afya zao kuliko sisi, Kuna vyombo vingi vinavyodhibiti ubora wa vyakula kuliko huku kwetu, raia wenyewe wapo "knowledgeable and very sensitive" na Afya zao kuliko sisi. Kuna makampuni ya bima za Afya na wanasheria wengi ambao wanafuatilia Sana makosa Kama hayo ili kuyashitaki hayo makampuni yenye kuuza na kutengeneza bidhaa zenye ukakasi Kama huo.

Ninakuhakikishia, Kama kungekuwepo na madhara katika GMO food Kama unavyofikiria, tayari mtiti ungeanzia huko huko na hizo bidhaa usingeziona huko Supermarkets.

Jambo Moja ninaloligundua kwako ni kwamba ni mtu unayeishi kwa kusikiliza Sana maneno na hupendi kufuata matokeo ya Sayansi, juzi Kati ulipingana na WHO, Leo unaanzisha sakasaka na FAO & WFP, sijui kesho utapingana na nani tena[emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
u quoted me wrongly, guess this was directed at Chamoto
 
This town ni classy, watu wako na pesa sana!.., I lived here, circulation ya pesa iko juu, standards of living are good, nice and classy estates, u can easily make it just living in Eldy, me thinks its bigger than Kisumu (my opinion) when u consider growth in the outskirts, coz u haven't covered the road on your way to Iten all the way to the University of Eldoret.., or going towards the west to Huruma, towards Uganda.., hakuna Kapsoya, Elgon View, Pioneer etc.., Kisumu is T shaped, limited by the lake on its south, Eldy is a cross, growth is North, East, west and south.., it's extensive..,
yeah.. i actualy assessed its extensiveness and its potential to expand further.. as in, it has no obstacles whatsoever, again bearing in mind that the land is a flat plateau

think it beats kisumu slighly, thts also my take 🤔🤔
 
Don't take it personal.

Huo upungufu wa chakula ndio ufanye tulishwe madudu yasiyo na nutrients sahihi? Au unapenda tunapopata magonjwa ya ajabu ajabu ili sekta ya afya iwe na uhakoka wa ajira?
Nimeomba ushahidi utokanao na "scientific researches kuthibitisha Hilo unalolisema, bado hujaleta.

Hakuna ushahidi wowote ule wa kisayansi zaidi ya dhana potofu Kama ambavyo bado Kuna Imani potofu kwa chanjo ya "Corona".


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania tuambiane ukweli. Nampenda Magufuli lakini ukweli wa mambo ni kwamba Magufuli aliiba uchaguzi wa 2020.
Hahahaha, Halima Mdee aliyesambaza huu ujinga hivi Sasa amewageuka Chadema na kukiri kwamba uchaguzi ulikua sawa kabisa.

Miezi mitatu kabla ya uchaguzi, opinion polls zote za ndani na nje ya nchi zilionyesha kwamba CCM ingeshinda kwa 84% na ndivyo ilivyokua, kwahiyo hata hizo NGOs za ndani na nje ya nchi zilijua mapema kwamba kura zitaibiwa?.



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha, Halima Mdee aliyesambaza huu ujinga hivi Sasa amewageuka Chadema na kukiri kwamba uchaguzi ulikua sawa kabisa.

Miezi mitatu kabla ya uchaguzi, opinion polls zote za ndani na nje ya nchi zilionyesha kwamba CCM ingeshinda kwa 84% na ndivyo ilivyokua, kwahiyo hata hizo NGOs za ndani na nje ya nchi zilijua mapema kwamba kura zitaibiwa?.



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Zaidi ya 90% ya wabunge wa Tanzania ni wabunge wa CCM. Hio ni ishara tosha kwamba Magufuli pamoja na mazuri yake aliiba uchaguzi wa 2020.
 
Zaidi ya 90% ya wabunge wa Tanzania ni wabunge wa CCM. Hio ni ishara tosha kwamba Magufuli pamoja na mazuri yake aliiba uchaguzi wa 2020.
Hahahaha, wacha kujichekesha, CCM ilishinda kwa 84%, ukijumlisha viti maalumu na wabunge wanaoteuliwa na rais kwa mujibu wa Sheria ndio unapata hiyo 90%.

Muulize Halima Mdee ambaye ndiye alikua alitembeza kapu kuaminisha kwamba kura ziliibiwa ndiye atakuambia ukweli.

Kwa sisi tunaoishi vijijini, kwa hali ya wakati ule, hata hiyo 84% ilikua ni ndogo, CCM ilistahili kupata zaidi ya hiyo, Magufuli aliwagusa Sana raia wa kawaida vijijini na kukandamiza Sana upinzani

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Aisee... 254 bwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti. Shida zangu zikauke kama maua ya expressway
Adui zangu akauke kama maua ya expressway

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]



[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nipo kwenye ofisi ya watu nmecheka sana hadi wenyeji wamenishangaa
 
Aisee... 254 bwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti. Shida zangu zikauke kama maua ya expressway
Adui zangu akauke kama maua ya expressway

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Dah………😂😂😂😂
 
This town ni classy, watu wako na pesa sana!.., I lived here, circulation ya pesa iko juu, standards of living are good, nice and classy estates, u can easily make it just living in Eldy, me thinks its bigger than Kisumu (my opinion) when u consider growth in the outskirts, coz u haven't covered the road on your way to Iten all the way to the University of Eldoret.., or going towards the west to Huruma, towards Uganda.., hakuna Kapsoya, Elgon View, Pioneer etc.., Kisumu is T shaped, limited by the lake on its south, Eldy is a cross, growth is North, East, west and south.., it's extensive..,
infact miji zetu zote ni moto ya kuotea mbali 🔥🔥🔥 sio kanairo, sio mombasani, sio kisumu, sio nakuru, sio eldoret....

hivi wabongo wanavitizama tu kwa viusasa 🤣🤣
 
Nimeomba ushahidi utokanao na "scientific researches kuthibitisha Hilo unalolisema, bado hujaleta.

Hakuna ushahidi wowote ule wa kisayansi zaidi ya dhana potofu Kama ambavyo bado Kuna Imani potofu kwa chanjo ya "Corona".


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Ni majuzi tuu hapa nimekutumia chapisho la matatizo ya chanjo za pfizer kubadilisha seli za mwili kutoka reputable university, ukakataa. Mwaka jana niliwahi kukuambia kuwa hizi mRNA vaccines, kwa wanawake, baada ya kuwa administered kuna kiasi kikubwa kinabaki kwenye ovaries, nikakupa mpaka na chapisho, ukajibangaiza.

Hivi karibuni niliangalia takwimu mbali mbali, nikakuta vitu vya kushangaza sana...

Kawaida, kwa wastani birth rate huwa ni kubwa kuliko death rate, cha kushangaza kuanzia 2020 mpaka leo takwimu zinaonesha mortality rate imekuwa kubwa kuliko natality rate ila mainstream media na hiyo WHO yako unayoiabudu hawataki kuliongelea hili. Hasa ukizingatia hicho ndicho kipindi watu wamepigwa chanjo. Unaweza kulielezea hili bila kuhusisha chanjo?
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Tanzania tunachukulia vitu poa sana

Laiti watu wangepata fursa ya kuona maisha ya mkunya wa kawaida wangetubu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom