Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi tukipata tatizo la kupungua kwa umeme wakati wa kiangazi tutanunua kutoka Ethiopia sio Tanzania. Tayari tumeshatia saini mpango huo wa kununua umeme kutoka Ethiopia.
Nilikuwekea clip ya speaker wa bunge la Tanzania akiwahakikishia wabunge toka nchi za SADC kwamba Tanzania tutawapelekea umeme, huko umeme wetu unasubiriwa kwa hamu Sana, bado hautoshi, huko Kuna mahitaji makubwa Sana[emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wewe mwenyewe imesema kwamba gharama ya umeme wa Geothermal ni $8 wakati ule wa maji ni $4, Sasa huo wa Diesel unaingiaje tena?.

Hii maana yake ni kwamba ukichukulia gharama za umeme pekee, viwanda vya Kenya vitatumia mara mbili ya gharama kuliko viwanda vya Tanzania/Ethiopia, hii ni 100% tofauti ya gharama bado unasema tofauti sio kubwa, are you serious?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
I am serious. Kwa nini point yangu ilikuwa rahisi sana kuelewa? Hakuna tofauti kubwa kati ya 4 US cents na 8 US cents. Kitu kinachofanya bei ya umeme ya Kenya kuwa juu ni thermal power ambayo bei yake ni wastani wa 25 US cents per kwh. Tukiondoa hio thermal power kwa grid yetu basi bei ya umeme itarudi chini. Nini ngumu kuelewa hapo? Hao IPPs wanaomiliki thermal power ndio wanatusumbua ila wataondolewa.
 
Nilikuwekea clip ya speaker wa bunge la Tanzania akiwahakikishia wabunge toka nchi za SADC kwamba Tanzania tutawapelekea umeme, huko umeme wetu unasubiriwa kwa hamu Sana, bado hautoshi, huko Kuna mahitaji makubwa Sana[emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wapelekeeni hao watu wa SADC. Sisi hatutaki umeme wenu unaokuja na majungu na figisu.
 

Hakuna kituo au sehem ambapo serikali inauza gesi asilia kwa mteja wa mwisho. Vyote vinamilikiwa na sekta binafsi.. serikali (TPDC) inaweza kuhusika kusupply gas tu, mambo ya sijui kujenga kituo sijui kufunga mfumo, anaehusika na anemiliki ni sekta binafsi
 
Vipi mnaenda kuzalisha umeme kwa jirani wakati kwako bado huna umeme wa kutosha?, then unarudi kwa jirani huyo huyo kununua umeme huohuo uliomjengea wewe[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Cross border electricity trade is a common phenomenon worldwide. Make Google your friend upunguze ujinga.
 
Hakuna tofauti kubwa kati ya 4 US cents na 8 US cents. Kinachofanya umeme wa Kenya kuwa expensive sio geothermal bali ni thermal power (diesel) ambayo ni around 25 US cents per kwh ambayo tunataka kuiondoa kwa grid yetu ili bei ya umeme irudi chini. Wewe endelea kuropokwa kuhusu geothermal. Geothermal is the second cheapest energy source in Kenya.

Cc Geza Ulole
Sasa kama hamtumii gesi mtawezaje kujua ni bei rahisi kuliko joto ardhi?
 
I am serious. Kwa nini point yangu ilikuwa rahisi sana kuelewa? Hakuna tofauti kubwa kati ya 4 US cents na 8 US cents. Kitu kinachofanya bei ya umeme ya Kenya kuwa juu ni thermal power ambayo bei yake ni wastani wa 25 US cents per kwh. Tukiondoa hio thermal power kwa grid yetu basi bei ya umeme itarudi chini. Nini ngumu kuelewa hapo? Hao IPPs wanaomiliki thermal power ndio wanatusumbua ila wataondolewa.
Hizi IPPs zingine ndo zinatumaliza
IMG_205522_29722.jpeg
 
I am serious. Kwa nini point yangu ilikuwa rahisi sana kuelewa? Hakuna tofauti kubwa kati ya 4 US cents na 8 US cents. Kitu kinachofanya bei ya umeme ya Kenya kuwa juu ni thermal power ambayo bei yake ni wastani wa 25 US cents per kwh. Tukiondoa hio thermal power kwa grid yetu basi bei ya umeme itarudi chini. Nini ngumu kuelewa hapo? Hao IPPs wanaomiliki thermal power ndio wanatusumbua ila wataondolewa.
Hivi umelewa au ni akili ndogo?.
Gharama ya umeme wa Geothermal kuzalisha popote duniani ni $8cent, wakati umeme wa maji ni $4cent.

Ni wazi kwamba umeme wa Geothermal ni ghali x2 ukilinganisha na umeme wa maji, Sasa wewe bado unaingiza umeme wa mafuta, wacha kujitia ujinga.

Kama mtaendelea na uzalishaji wa umeme wa Geothermal by 100%, na sisi tukizalisha wa maji by 100%, gharama za umeme Tanzania zitakua cheaper by $4cent per each Kwh, hiyo tofauti ni kubwa Sana katika matumizi ya umeme viwandani.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Geothermal inasupply 40-50% of Kenya's electricity. Kenya bado tunategemea hydro kwa sana. Kwa hivyo Kiangazi lazima ituaffect. By the way kiangazi pia huwa inaaffect Ethiopia na hata Tanzania kwenye uzalishaji wa umeme sio Kenya tu. Nyie miezi michache iliyopita mlisumbuka kuzalisha umeme wa kutosha kwa sababu ya kiangazi. Ethiopia pia last year walikuwa na shida hio.
Tanzania haikuathirika na ukame kupelekea uzalishaji umeme kushuka sababu umeme wetu mwingi unazalishwa na gas ambayo itachukua decades kupungua

FYI serikali ndio kwaanza inachukua millions of liters from hydrodam ya Dodoma for industrial and domestic supply kama ukame umetuathiri this could have never happened
 
Tanzania haikuathirika na ukame kupelekea uzalishaji umeme kushuka sababu umeme wetu mwingi unazalishwa na gas ambayo itachukua decades kupungua

FYI serikali ndio kwaanza inachukua millions of liters from hydrodam ya Dodoma for industrial and domestic supply kama ukame umetuathiri this could have never happened

Mimi najua ninachosema. Usifikiri huwa sitazami video za waziri wenu wa kawi.
 
Hivi umelewa au ni akili ndogo?.
Gharama ya umeme wa Geothermal kuzalisha popote duniani ni $8cent, wakati umeme wa maji ni $4cent.

Ni wazi kwamba umeme wa Geothermal ni ghali x2 ukilinganisha na umeme wa maji, Sasa wewe bado unaingiza umeme wa mafuta, wacha kujitia ujinga.

Kama mtaendelea na uzalishaji wa umeme wa Geothermal by 100%, na sisi tukizalisha wa maji by 100%, gharama za umeme Tanzania zitakua cheaper by $4cent per each Kwh, hiyo tofauti ni kubwa Sana katika matumizi ya umeme viwandani.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wewe sitapingana na wewe. Naona huelewi point yangu. Sitapoteza muda na wewe.
 
Mmh nafkiri hii bridge ni kwaajili tu ya staff wa Agakhan kwa kweli na wagonjwa labda, sidhani kama itatumiwa na watu random.. hayo ni mawazo yangu lakini, kwasababu hata hivyo hiyo bridge ni mali ya Agakhan

Upande wa pili wa Aga Khan Hospital Ni Aga Khan University, Na magari yote ya wanaokuja Hospital yanapark upande huo, So ni facility yao na inaunganisha property mbili zilizotengeanishwa na barabara .
 
ona, like today i decided to take a random test of myself using this HomeBloodPressureMonitor i bought for my wife when she was pregnant, as advised by the doctor.

i rarely check myself, since i knw my number are always within the normal range.

my question is, how often should one perceived to be normal check his BP?, should it be daily, weekly, monthly, quarterly, bi-annually, annually, 2years, or as some british journals would say, after 5years!

me, according to wht i think, checking daily, weekly or even monthly will not be counter productive, i'll only overwork myself since i am rest assured of getting almost the such similar normal figures.

i remember when i used to excessively consume alcohol or say getting stressed up, i would get somewhat elevated numbers, but would return back to normal, once i sobered up or calmed down. so their was no cause for alarm, or the need for trying to seek any medical advice, since my case was only passive. but even though i thank god, i since refrained from alcohol along time ago, sometimes last year october to date..

to tuusan, jiwe la moto, Chamoto, so under such normal sober circumstance, wht would be your medical advice on how often one should have such similar assurance confirmation test, coz i knw i can't afford to do this daily, even monthly... should i even get worried about anythng in the first place?[emoji848]

View attachment 2307502
The reading is good [emoji106]. Normally people are encouraged to undergo health check every year if not twice a year.
 
Back
Top Bottom