Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani hawa Russia ni nuksi kuna mchezo unachezwa kijanja janja sana wanataka kuizunguka UKRAINE mwisho wa siku wajikute kati kati,,
Hii ni noma
ndo maanake Moldova hawapati usingizi maana nao ni vibaraka wa NATO!
 
ndo maanake Moldova hawapati usingizi maana nao ni vibaraka wa NATO!
Mchezo unaochezwa ni balaa naona hawataki pupa wanaenda kwa kurelax maana wangesema wapambane ile vita serious kuziachia ndege angani na makombola wangeshaichakaza mda Ukraine,hawa Russia tuwaache kama walivyo wanacheza na akili za walio nyuma ya ukraine
 
Mchezo unaochezwa ni balaa naona hawataki pupa wanaenda kwa kurelax maana wangesema wapambane ile vita serious kuziachia ndege angani na makombola wangeshaichakaza mda Ukraine,hawa Russia tuwaache kama walivyo wanacheza na akili za walio nyuma ya ukraine
Tunajua nyinyi ni vibaraka wa Russia. Russia ameshashindwa hii vita. Alidhani atauteka Ukraine ndani ya siku tatu. Sasa hivi siku 150 zimeshapita na bado hajaiteka hata Donbass nzima. Bado 40% ya Donbass ipo mikononi mwa Ukraine. Russia alipigwa na kufurushwa Kyiv, Chernihiv na Kharkiv. Sasa hivi anapigwa Kherson.

Cc ichoboy01
 
Leo nilipata nafasi ya kufika Agakhan 👇
IMG_20220729_100718_305.jpg
IMG_20220729_100908_539.jpg
hii pedestrian bridge imekaa unyama sana, it's still underway tho... Kenya huwezi patana na pedestrian bridge enye Iko na lift. Tony254 Don YF
 
Leo nilipata nafasi ya kufika Agakhan 👇View attachment 2308104View attachment 2308105hii pedestrian bridge imekaa unyama sana, it's still underway tho... Kenya huwezi patana na pedestrian bridge enye Iko na lift. Tony254 Don YF
Unajua nyinyi hamna footbridge nyingi ndio maana mnaona ni kama maajabu. Sisi huku Kenya tunazo zaidi ya footbridge mia moja na ndio maana unaona huwa hatuzipost kwa sababu ni vitu vya kawaida huku. Lakini hio yenu ipo sawa.
 
Mwanza is a breath of fresh air, nawashangaa wala majunkies 😁😁😁

Karibuni Mwanza mle kujigalagaza vitu natural but yummy then still cheap, SGR ikikamilika itafanya Mwanza kuwa resting destination kwa wengi wa mikoa tofauti especially Dar and Dom, changamoto ya kuwa na nchi kubwa kama Tanzania ila kwa electric SGR problem solved

Whom doesn't like all these? 🤩🤩🤩 Tony254

 
Unajua nyinyi hamna footbridge nyingi ndio maana mnaona ni kama maajabu. Sisi huku Kenya tunazo zaidi ya footbridge mia moja na ndio maana unaona huwa hatuzipost kwa sababu ni vitu vya kawaida huku. Lakini hio yenu ipo sawa.
Wacha kelele leta footbridge yenye elevator huko Kunyaland! Yaani hata elevator sehemu ya kwanza East Africa kuwa na elevator ilikuwa house of wonders Zanzibar!
 
Tunajua nyinyi ni vibaraka wa Russia. Russia ameshashindwa hii vita. Alidhani atauteka Ukraine ndani ya siku tatu. Sasa hivi siku 150 zimeshapita na bado hajaiteka hata Donbass nzima. Bado 40% ya Donbass ipo mikononi mwa Ukraine. Russia alipigwa na kufurushwa Kyiv, Chernihiv na Kharkiv. Sasa hivi anapigwa Kherson.

Cc ichoboy01
Ha haaaaa,watu tunaongea uhalisia wewe unaleta comedy
Endelea hivyo hivyo
 
Wacha kelele leta footbridge yenye elevator huko Kunyaland! Yaani hata elevator sehemu ya kwanza East Africa kuwa na elevator ilikuwa house of wonders Zanzibar!
Footbridge ya elevator ni upuuzi. Nani atalipia bill ya umeme kila mwisho wa mwezi?
 
Mmh nafkiri hii bridge ni kwaajili tu ya staff wa Agakhan kwa kweli na wagonjwa labda, sidhani kama itatumiwa na watu random.. hayo ni mawazo yangu lakini, kwasababu hata hivyo hiyo bridge ni mali ya Agakhan
Exactly. Nadhani upo sahihi. Hii sio footbridge ya umma.
 
Back
Top Bottom