Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,944
- 103,824
kwani ikiwa si ya umma inaondoa the fact kwamba ni footbridge ya kwanza East and central Africa yenye elevator? Yenyu ipo wapi yenye elevator? Yaani hata reli tunawagonga Tanzania ni the first place in East Africa kuwa na reli!Ooh. Sawa. Nilidhani ni kwa ajili ya umma. Ila kama ni hivyo basi ipo sawa.


