You are wierdo who pretends to be in the USA. Huko hakuna houses na AC units bwana acha kushift gear angani na kugeuza geuza maneno eti now unasema cooling systems badala ya AC units kama ulivyosema hapo awali na kwamba nyumbani kwako unayo [emoji1787]
Wamarekani wanapenda sana AC, tena nyumba zao nyingi zina HVAC system(Heating, ventilation, and air conditioning), kama za kwenye majengo marefu. Nyumba ambazo zina single AC unit huwa ni zile zilizojengwa zamani (kabla ya 1950s).Hivi unafikiria majengo marefu hutumia AC kama yako ya nyumbani? Au makanisa na ma-halls? Hujawahi kuuliza yana-heat wakati wa baridi au yana-cool vp wakati wa joto? How much power ingepotea!
Kwa hiyo unabisha kuwa organization yake haichangii kiasi kikubwa cha fedha? Haya hii ni screenshot kutoka jarida la reuters, sema tena hicho ni kijarida cha kuokoteza.
View attachment 2307474
![]()
Factbox: Who finances the World Health Organization?
After accusing the World Health Organization of pro-China bias last month and suspending contributions, U.S. President Donald Trump went further this week, threatening to halt funding altogether if the body does not commit to reforms within 30 days.www.reuters.com
Hakuna aliyekataa, hata mwanzo nilisema hilo.Mkuu, Nchi wanachama ndizo zinazochangia kiasi kikubwa cha pesa zikiongozwa na USA na kufuatiwa na China kwa mujibu wa website ya WHO wenyewe.
Hii inaeleweka, wala haina tatito.Bill Gate na matajiri wengine wanachangia "program maalum Kama wanayofanya katika nchi mojamoja.
Mkuu, Bill Gate utajiri wake wote ni kwenye $100B, USA ni zaidi ya $20 trl. Sheria ya UN inalazimisha kila nchi kutoa sehemu ya GDP yake kuchangia shughuli za UN bodies,
Ewaaa, sasa tupo pamoja. Na hii ndiyo hoja yangu, inakuwaje mtu binafsi, bila kushurutishwa, achangie pesa nyingi ($340.9mil) kuliko pesa inayotolea na jumuiya ya ulaya kisheria ($269.8 mil) au pesa inatolewa na nchi tajiri kama Ujerumani ($269.8 mil). Kwa nini atoe pesa nyingi kiasi hicho?hivi kwa akili yako ya kawaida mtu binafsi anaweza kuzishinda nchi katika kuchangia WHO na UN bodies zingine wakati huyo mtu halazimishwi na Sheria yoyote kufanya hivyo na utajiri wake haufiki hata 0.002% wa hizo nchi?
ona, like today i decided to take a random test of myself using this HomeBloodPressureMonitor i bought for mamaake when she was pregnant, as advised by the doctor.These are just average numbers there is more to it.
Humans, are not all cut from the same cloth, that's why it's important to put all other things like vitals, symptoms and conditions into consideration. Someone who is always dehydrated will have a higher heart rate and eventually a higher systolic pressure because blood is more viscous, so the heart muscle has to work harder.
My heart rate is between 48-53bpm, and my systolic BP is around 105 - 120mm Hg (at rest) but I'm also athletic, I run 4 miles (6.4km) in 32 minutes on regular bases. Someone else a 49bpm pulse rate would signal a serious health condition.
Some types of food like garlic, vasodilate blood vessels and lowers the number while others like chilli pepper, vasoconstrict blood vessels and results into the increase in systolic number.
Stress is the major cause of elevated blood pressure levels but most doctors don't want to do their due diligence in figuring out the real cause of the symptom. They just gravitate to prescribing medications to lower the numbers, as the condition worsens they increase the dosage, until they can't prescribe no more.
It's up to us (not waiting for the organizations like WHO) to educate ourselves about our bodies, lifestyle, vital signs and food we eat. That way, we can provide enough information to our doctors to better diagnose our conditions, when needed.
😂😂😂 failed state
Mi siyo mtaalam wa afya bana but your pulse rate and BP looks good.ona, like today i decided to take a random test of myself using this HomeBloodPressureMonitor i bought for my wife when she was pregnant, as advised by the gaenacologist doctor.
i rarely check myself, since i knw my number are always within the normal range.
my question is, how often should one perceived to be normal check his BP?, should it be daily, weekly, monthly, quarterly, semi annual, annualy, 2years, or as some british journals would say, after 5years!
me, according to wht i think, checking daily, weekly or even monthly will not be counter productive, i'll only overwork myself since i'll be rest assured of getting almost the same same normal readings.
i remember when i used to excessively consume alcohol or getting stressup, i would get somewhat elevated readings, but would return back to normal, once i sobered up or calmed down. so their was no cause for alarm, or the need to seek for any medical advice. but even though i thank god, i refrained from alcohol.
to tuusan, jiwe la moto, Chamoto, so under such normal sober circumstance, wht would be your medical advice on how often should i have such a repeat test, coz i knw i can't afford to do this daily, even monthly... should i even get worried about anythng in the first place?
View attachment 2307502
Mkuu, katika hili Kuna Mambo mengi Sana. Lakini kabla ya kwenda mbali kwanza tujiulize kwanini Bill Gate anatoa pesa nyingi kupambana na Malaria Afrika, tuanzie na Tanzania au Kenya, anafaidika na nini?Hakuna aliyekataa, hata mwanzo nilisema hilo.
Hii inaeleweka, wala haina tatito.
Ewaaa, sasa tupo pamoja. Na hii ndiyo hoja yangu, inakuwaje mtu binafsi, bila kushurutishwa, achangie pesa nyingi ($340.9mil) kuliko pesa inayotolea na jumuiya ya ulaya kisheria ($269.8 mil) au pesa inatolewa na nchi tajiri kama Ujerumani ($269.8 mil). Kwa nini atoe pesa nyingi kiasi hicho?
@Tony254 Njoo huku uone jinsi mama Samia alivyo na chuki kwa Kenya, anaendeleza chuki zilezile za Magufuli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wala si Samia ni utaratibu wa nchi inayoongozwa kisheria! Tony254 anajua ukiingiza mizigo Tanzania inakamatwa na unapigwa fine, ukishindwa kulipa mnada unafuatwa kulipia gharama za kesi na uharibifu wa mazao! Ni hilo tu!! Loliondo inangoja mifugo kutoka Kenya!
Wala si Samia ni utaratibu wa nchi inayoongozwa kisheria! Tony254 anajua ukiingiza mizigo Tanzania inakamatwa na unapigwa fine, ukishindwa kulipa mnada unafuatwa kulipia gharama za kesi na uharibifu wa mazao! Ni hilo tu!! Loliondo inangoja mifugo kutoka Kenya!
Ni kweli kwasababu mimi sina unene kihivyo, sivuti sigara wala kunywa pombe, sasa ndio ninashangaa hizi dalili naona siyo ya kawaida,ila napenda kula nyama mzee [emoji39][emoji39][emoji39][emoji846]Cholesterol mbaya sana watu wengi wanatembea nayo bila kujua wanafikiri mpaka uwe mnene ndio upate Cholesterol.
Sawa [emoji41]Embu tupia picha ya hiyo AC unit hapo nyumbani kwako Eastern United States tujiridhishe kidogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee, noma mzee.