ni wazungu ndo wamefanya UAE na Qatar wawe mahali wako kwa sasahivi..
something that has puzzled even scholars, economist, city planners, the muslims and the world at large..
such kind of unimaginably developments in a desert, in an initialy a staunch islamic states, with strict sharia law, (like a prostitute to be stoned to death, or a thief to be cut hands, or a spy to slaughtered in front of the whole community to see as a warning lesson, or strickly no woman should drive, go to school or work in the office but only at home for her husband, or strickly no any other religion other than islam, or even strictly no ghamri(alcohol), and so on..
sasa wao ndo wamekua kielelezo, ata naona nchi zingine kamavile egypt wameanza kufuata mfano wao, yaani, ule wa fully liberalised, and free capitalist system of doing business..
so kwa sasa sahau kushindana na egypt kwa maswala kamavile smart-cities, ama 'ni nani' aliye na ghorofa ndefu zaidi barani afrika.?
usisahau egypt ni kibaraka cha middle east, na ndo kwa sasa wamejiondoa kwa wazo la kushindana na levels duni za kiafrika, na basi kufuatana na ndugu zake wa middle east, kv. dubai, abu dhabi, doha etc....
kichapo chetu cha kwanza africa kimekua ni nn.............?
yani Misr wametusuprize na bonge la ghorofa. yaani, 400m high! ivo tu kwa ghafla!......
nabadoo....... 🤔🤔 bado, hatujaona ya firaoni, hii tu ni kionjo ..
in short, wazungu (US, Canada, EU etc) ndo kila kila kitu......! na hawana nia yoyote mbaya kwa mtu wowote. ila wao wana wazo zuri na nia mzuri kwa dunia yote kwa ujumla..
ni nyinyi tu kwa mawazo yenu potivu inayowatendekeza kuwachukulia wazungu vibaya na kuwachukia kwa dhati pasipo sababu kamili...
ni lile wazo la mtu moja☝🏽tu..
Mw. Julius Nyerere..
naona bado inazidi kukidhiri na kukita mizizi miongoni mwa wabongo wote, hadi kwa wasaa huu wa karne ishirini na moja!🤔
nawasihi mjitoamo huko !🤮 haya mambo ya ujamaa yamepitwa na wakati. ubepari ndo mfumo bomba🔥