Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa hivi husikii Sana habari za maambukizi mapya duniani, hiyo ni dalili kwamba chanjo imeanza kufanya kazi, sio bahati nasibu kwa ugonjwa ambao kwa siku Moja ulikua unaua mamilioni ya watu kwa mwezi, ghafla imeanza kutoweka duniani.

Tuendeleeni kuchanja ili huu ugonjwa utoweke kabisa duniani, ili tuendelee kushughulika na ugonjwa wetu wa starehe
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unaweza kutueleza inakuwaje watu waliochanja wanapata corona?
 
The best 007 na chongchung hii Crawford international school pia wana shule South Africa. Tazama hapo chini. The best 007 sasa leta shule nyingine international hapo Dodoma. Ngome sasa ni 2-1. Tatu city ipo na bao mbili wakati Dom ina bao moja. Leta international school nyingine ili usawazishe magoli.
images (21).jpeg
 
Don't just type and argue for the sake of doing so, cardiovascular dysfunction is the cause of hypertension. Both hypertension and cardiovascular dysfunction goes hand in hand.
We kilaza mbona wasiite hypertension ila wametumia maneno specifically "cardiovascular dysfunction"? Acha ujuaji wewe jua kali lab techbologist deal na laboratory tuu huko haya mengine waachie wataalamu husika.
 
No research no right to speak, hijui Dodoma u better ask kwanza sio utoe conclusion zako, DOM kuna shule kali za kushato,
Hapa tupo kwenye facts tu mzee. Mimi naweka na nyie mnaweka. Tupo kwenye battle ya international schools na matokeo ni 2-1 na Tatu city ipo juu ya Dodoma kwa sasa. Nangoja The best 007 alete international school ya pili iliyopo Dodoma. Asipoleta Tatu city imeshinda kwenye battle ya international schools.
 
Nova Pioneer ni shule international na hata ipo South Africa. Kwa wale wanaofikiri natania tazameni hapa.
View attachment 2305474

Cc chongchung ulitaka battle ya mashule za msingi kati ya Tatu city na Dodoma? Tatu city ina mashule international mzee. Leta battle kwenye mambo mengine. Kuna shule nyingine ya pili ambayo ni international inaitwa Crawford school ipo Tatu city naweza leta kama Nova Pioneer haijakutosha. Utalinganishaje shule ya uchwara hapo Dodoma na international school hapa Tatu city?
😁😁😁😁 Ng'ombe zenu samia kazitaifisha huku

 
Hakuna chenye unaelewa, nenda kapambane na Chama Cha Mafala (CCM) yenu kwanza kisha uje 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Yule mgombea urais wenu Wajakoja anasema ata wajengea chuo kikuu cha bangi si ndio mtakuwa zaidi ya mafala
 
Don't just type and argue for the sake of doing so, cardiovascular dysfunction is the cause of hypertension. Both hypertension and cardiovascular dysfunction goes hand in hand.
Hata mtu ukipata stress ambayo ni either psychological au disease related inasababisha cardiovascular dysfunction lakini hu resolve stress ikiisha sasa hiyo sio hypertension maana kweli unapata ambiguous raised numbers ambazo haziko in tandem kwenye diastolic na systolic lakini haiko categorised as hypertension bali inakuwa grouped into cardiovascular dysfunction.
 
We kilaza mbona wasiite hypertension ila wametumia maneno specifically "cardiovascular dysfunction"? Acha ujuaji wewe jua kali lab techbologist deal na laboratory tuu huko haya mengine waachie wataalamu husika.
Kumbe I'm engaging a cow na sijui. Cardiovascular dysfunction is not hypertension but it's one of the causes of hypertension. When blood vessels become constricted, the lumen will become narrow making the blood to force itself through. For heart to overcome this struggle, it will increase the force and speed of pumping hence high pressure. That's how hypertension comes about.
 
The best 007 nakungoja ulete international school nyingine ya Dodoma. Umechelewa sana. Tatu city ipo juu ya Dodoma saa hii 2-1. Najua The best saa hii anachambua intaneti nzima kutafuta another international school in Dodoma lakini hapati kwa sababu haipo. 🤣 😂 👍
 
The difference between me and you all is that I'm arguing using facts and evidences, nyinyi ni midomo tu. So tell me, who is stupid between a person who supports his/her points with evidences and that person who only talk with nothing to show?
So google is your evidence? [emoji848] Even a mad person can publish anything and still appear on google.

I am educating you from a professional perspective using evidence based realities that have been tried and tested over and over again. Kama huelewi wewe utakuwa ni kichwa ngumu.
 
Hata mtu ukipata stress ambayo ni either psychological au disease related inasababisha cardiovascular dysfunction lakini hu resolve stress ikiisha sasa hiyo sio hypertension maana kweli unapata ambiguous raised numbers ambazo haziko in tandem kwenye diastolic na systolic lakini haiko categorised as hypertension bali inakuwa grouped into cardiovascular dysfunction.
Vile nakuona it seems hata hujui maana cardiovascular. If I can break it down for you then cardiovascular is the heart plus blood vessels, so when someone talk about cardiovascular dysfunction what should ring into your mind is improper function of the heart and blood vessels. If the heart is not functioning properly then there will be changes in blood pressure, same to blood vessels.
 
The best 007 nakungoja ulete international school nyingine ya Dodoma. Umechelewa sana. Tatu city ipo juu ya Dodoma saa hii 2-1. Najua The best saa hii anachambua intaneti nzima kutafuta another international school in Dodoma lakini hapati kwa sababu haipo. 🤣 😂 👍
Martin Luther king school DODOMA 👇
cb75d1eb91faedab534e21f424c0d535.jpg
EHpYS6dXkAA-M63.jpg
 
Back
Top Bottom