Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaweza kutueleza inakuwaje watu waliochanja wanapata corona?
Mkuu, kawaida chanjo yoyote duniani hakuna yenye kutoa 100% protection rate. Ukija katika chanjo ya COVID 19, protection rate yake ipo chini kidogo, nadhani ni 80%, lakini hata hao 20% ambao watapata kuambukizwa, basi nguvu ya ugonjwa inapungua Sana.
1)Low morbidity
2)Low mortality

Mkuu tuendelee kuchanja ili tuutokomeze kabisa huu ugonjwa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
How about hepatitis B or C (RNA virus)? After immunization children don't need boosters. How do you explain that?
Hepatitis B or C vaccine doesn't contain live virus like COVID Vaccine. The live viruses in the vaccines usually rejuvenate later on to torment the host.
 
Hakuna shule kama Crawford na Nova pioneer dodoma. Dodoma ni zaidi ya county nzima obvious itakua na facilities nyingi kama shule kuliko tatu. But kwa quality na impact tatu city ni world class hakuna mfano Tanzania nzima
Impact yake ni ipi?
 
Sama boy 255 na chongchung mechi sasa ni 2-2. Yaani draw. Kama mna international school nyingine ya Dodoma basi post ili mshinde mechi. Lakini nashuku hamna international school nyingine Dodoma. Hii Martin Luther school sipo sure kama ni international kwa sababu sioni sister schools zake katika nchi zingine mtandaoni. Lakini shule yenyewe ni kali na ndio maana nimeihesabu. Nova Pioneer ina sister school South Africa, Crawford ina sister school South Africa, One planet ambayo the best amepost ina sister school Ethiopia.
Naona mliamua mcheze na segments, mambo ya companies and industries pembeni 😂 😂 😂 economic value muhimu, mengine ni cosmetics.., safi sana., ila shule za Tatu ni mbili but with class. The economic zone is poised to have high economic output for sure.
Ikija mambo ya international schools, u can't compare Tatu with Dodoma.., Dodoma ni a town like Thika or Machakos or say Kiambu county, it is wide thus pitting Kiambu against Dodoma itakua level battle though unfair to Dodoma, International schools in Kiambu county are more than 5.., maybe 6 Dodoma I doubt zinapita 4..,
 
Hakuna shule kama Crawford na Nova pioneer dodoma. Dodoma ni zaidi ya county nzima obvious itakua na facilities nyingi kama shule kuliko tatu. But kwa quality na impact tatu city ni world class hakuna mfano Tanzania nzima
Sure, what I observed too, Dodoma ipatie Kiambu, of which it will be unfair to Dodoma, Kiambu iko mbele.., both economically and socially.
 
What I have shared is a research journal, it was written by approved scientists and people refer to it when an argument arises. Wewe hakuna evidence hata moja umeleta that support your claims. Your knowledge is below average to educate me.
Kaa na upumbavu wako. Bora ungekuwa mjinga maana mtu mjinga hajui vitu ila akielimishwa huelewa ila mpumbavu hata akielimishwa vipi haelewi. Upumbavu ni kama kipaji tuu cha urefu na ufupi haibadiliki na ndivyo mtu mpumbavu huwa.
 
Vile nakuona it seems hata hujui maana cardiovascular. If I can break it down for you then cardiovascular is the heart plus blood vessels, so when someone talk about cardiovascular dysfunction what should ring into your mind is improper function of the heart and blood vessels. If the heart is not functioning properly then there will be changes in blood pressure, same to blood vessels.
In most cases cardiac dysfunctional causes hypotension not hypertension

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
nyie 1 bln hamjawahi fika wakati sie tuna-cross $2 bln this year! Mind u pre-Corona tulikuwa near $3 bln mark!
In 2021 tuliingiza around $1.3b na nyinyi around $1.5b despite nyinyi kuwa na alot to offer in that sector.
Geza mkakua serious kidogo mnafaa kuwa level ya kina SA, Egypt na Morocco. Mko na alot to offer hata kushinda hizo nchi
 
What I have shared is a research journal, it was written by approved scientists and people refer to it when an argument arises. Wewe hakuna evidence hata moja umeleta that support your claims. Your knowledge is below average to educate me.
Katika medical field hiyo ni hatua za mwanzo kabisa na matokeo ya research Moja au mbili zinatengeneza "Hypothesis". Haiwezikani matokeo ya research Moja au mbili ndio yakubalike kuwa ndio ukweli, Kuna hatua nyingi Sana kabla matokeo ya research kukubalika na kutumiwa katika kutengeneza muongozo wa tiba ya ugonjwa.

Hadi Sasa Hypertension ni non communicable disease na hakuna any micro - organism aliyethibitika kusababisha hypertension, hizo research bado zipo katika hatua za awali sana

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, kawaida chanjo yoyote duniani hakuna yenye kutoa 100% protection rate. Ukija katika chanjo ya COVID 19, protection rate yake ipo chini kidogo, nadhani ni 80%, lakini hata hao 20% ambao watapata kuambukizwa, basi nguvu ya ugonjwa inapungua Sana.
1)Low morbidity
2)Low mortality
Mkuu tuendelee kuchanja ili tuutokomeze kabisa huu ugonjwa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kuna hii study ya juzi juzi tuu inaonesha chembe chembe za hizi chanjo zinaenda kubadilisha DNA ya seli za mwanadamu. Utahamasishaje watu wachanje wakati hatuna uhakika na madhara ya kubadilika kwa DNA zetu?

covid_danger.png

 
Kaa na upumbavu wako. Bora ungekuwa mjinga maana mtu mjinga hajui vitu ila akielimishwa huelewa ila mpumbavu hata akielimishwa vipi haelewi. Upumbavu ni kama kipaji tuu cha urefu na ufupi haibadiliki na ndivyo mtu mpumbavu huwa.
Because you are out of rumours you have now decided embrace insults. Typical of losers.
 
Wabongo wacheni mchezo. Unawezaje kulinganisha swimming pool ya watoto wadogo wa shule ya chekechea ambayo hata mtu mzima hatoshei ndani na hii mega swimming pool ya Crawford school?

Martin Luther school fish pond 👇👇👇
View attachment 2305623
Huwezi kulinganisha hio fish pond hapo juu ambayo hata haina deep end na hii mega swimming pool ambayo ina mpaka zile kamba za olympic swimming pools. Hii hapa chini ni swimming pool ya Crawford international school iliyo Tatu city. Sio hio ndoo ya kuogea hapo juu.
View attachment 2305626View attachment 2305627
Swimming pool tu? 🏊🏊‍♂️🏊‍♀️😂

One Planet International School Dodoma

Cambridge Curriculum In

Screenshot_20220727-130328.png
Screenshot_20220727-125441.png
Screenshot_20220727-125420.png
Screenshot_20220727-125333.png
Screenshot_20220727-125529.png
Screenshot_20220727-125545.png
Screenshot_20220727-125637.png
Screenshot_20220727-125811.png
Screenshot_20220727-125903.png
Screenshot_20220727-125917.png
Screenshot_20220727-130126.png
Screenshot_20220727-130248.png
images - 2022-07-27T130355.053.jpeg
172845127666048 (1).jpg
images - 2022-07-27T125034.888.jpeg
images - 2022-07-27T125025.158.jpeg
images - 2022-07-27T125006.408.jpeg
images - 2022-07-27T125014.619.jpeg
images - 2022-07-27T125141.830.jpeg
 
Katika medical field hiyo ni hatua za mwanzo kabisa na matokeo ya research Moja au mbili zinatengeneza "Hypothesis". Haiwezikani matokeo ya research Moja au mbili ndio yakubalike kuwa ndio ukweli, Kuna hatua nyingi Sana kabla matokeo ya research kukubalika na kutumiwa katika kutengeneza muongozo wa tiba ya ugonjwa.

Hadi Sasa Hypertension ni non communicable disease na hakuna any micro - organism aliyethibitika kusababisha hypertension, hizo research bado zipo katika hatua za awali sana

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Published research journals are like bible, you can't dispute it but only modify it. Even cardiologist will refer to these kind of articles when they want to confirm some things.
 
You are just telling me what I know. Kitu nataka ujue ni kwamba hypertension can be caused by microorganisms and that was the base of argument here, sio hizo obvious things you have listed. Kwa akili yako unadhani naezakosa kujua hypertension ni nini?[emoji23] Wewe huna mwelekeo hata kidogo[emoji23][emoji23]
Now tell me, huko Kenya hypertension ipo katika makundi gani Kati ya haya mawili?
1)Communicable diseases
2)Non Communicable diseases

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
For your information Hypertension can't be treated but managed depending on it's cause. If it was caused by microorganisms then antimicrobial have to be used. But if was caused by lifestyle then it's the lifestyle that is reviewed. If it was caused by kidney problem, then diuretics are used.
How do you manage hypertension in Kenya?, Go and read in BNF, drugs of hypertension ate clearly listed there, stop your stupidity.

Hypertension is a non communicable disease like diabetes and Renal diseases, there is no single antibacterial or antiviral is included in management of hypertension or diabetic, wacha ujinga.

Wewe ni lab technician, hujui lolote wacha kujidhalilisha.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom