Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Baada ya kukutoboa na priker then ndio anachukua nayo damu apo alipotoboa ndio aiweke kwenye iyo test kit..yale maji anayoweka baada ya kuweka damu kwenye kipimo yanaitwa buffer
Ohoo nmekupata, pippete ilikuwepo but haitobadili matokeo.
 
🤗🤗
IMG_20220726_101420.jpg
 
Rwanda wanaongea kinyarwanda, kifaransa na sasa kingereza. SA wanaongea kingereza na kizuru, Uganda wanaongea kiganda na kingereza wakiona kingereza unakijua wanakuteta kwa kiganda usisahau hilo mkuu.
Ur not getting my point broo wew ili suala unaliangalia kwa mda mfupi what about baada ya miaka 200 lugha itakuwaje kama haitumiki mashuleni ,acha nikuulize swali jepesi tuu, wengi umu tunawatoto je watoto wetu wanaweza kuzungumza lugha za makabila yao hususan sisi tunaoishi mijin ?
 
Tatoo sijui tatuu is just like Eko Atlantic City in Victoria Island Lagos state,
Due massive corruption, the land becomes extremely costly, unaffordable.
Those projects never take off, neither make economic sense in poor countries Like Nigeria or Kenya,
Hiyo Tatoo project is more than a decade old as we speak, so as the Eko Atlantic City,

Did you see how Egypt is doing its satellite cities quite much more easier and just in timelines ?
That’s what we are doing in Dodoma.

We tried that your tatoo way with Kawe city, Victoria etc unaona a three bedroom house costs over $300k wakati wabongo kwa hiyo pesa anajenga ghorofa ya kibabe hapa Dar, na eneo kubwa la garden na Volkswagen Amarok ya 2015 na biashara anafungua,
Wewe ungechagua lipi ? Ndio maana tunaitwa wabongo. We use brain.
Mzee Tatu city sio mahali pa kuishi pekee. Kuna industries huko. Kuna Sasini ambayo ni kampuni ya kuprocess kahawa. Kuna Davis and shirtfliff ambayo ni supplier wa energy and water solutions. Kuna ICT company inajenga BPO centre kubwa huko itakayoajiri Wakenya 4,000. Kuna Moderna Vaccine company inayojenga vaccine plant ya kwanza East Africa huko Tatu. Ukiacha viwanda na apartments za watu kuishi pia kuna shule mbili ndani ya Tatu city ambazo tayari zina wanafunzi. Utalinganishaje Tatu city na Eko atlantic ambayo bado watu hawajaanza kuishi humo? Punguza wivu.
 
University of Dar es Salaam imeshikilia hiyo tittle for almost a decade, ni vile tu kumekuwa na siasa lately kikashuka.
Besides, I work in a corporate full of expatriates from all over the world, and no one ever bothered of what university or whether I even graduated.
Watu kudhani kama kusoma chuo fulani unakuwa tofauti na chuo kingine is just myth. and indeed an outdated third world mentality.
Hio ni kampuni gani ambayo haijali whether umegraduate or not?
 
Daah!!! Wakati nasoma hii,mpaka machozi yalinitoka😭😭 kwanini majirani zetu mnatuangusha kiasi hiki??? Hii ina maana mpo kama wale mabraza men au masister duu wa mjini ambao wanafaa nguo,magari au majumba kumbe ni kuyaazima......Mnapaswa muache mambo ya kitumwa ipo siku mtakuwa hamna chenu ndani ya nchi yenu wenyewe....Acheni kuwatajirisha wanasiasa
 

Attachments

  • S20725-113711.jpg
    S20725-113711.jpg
    65.8 KB · Views: 13

China Pushes for Implementation of Tanzania’s Bagamoyo Port​

bagamoyo
Proposed Bagamoyo port complex (file image)
PUBLISHED APR 29, 2022 5:35 PM BY NJIRAINI MUCHIRA




China is pushing authorities in Tanzania to kickstart the implementation of the $10 billion Bagamoyo port project. It has been about one year since President Samia Suluhu Hassan promised that country would revive the controversial development.

Chinese ambassador to Tanzania Chen Mingjian said that China is hoping to engage in discussion with Tanzanian authorities on restarting the project, which was unceremoniously halted by former President John Magufuli on the basis that the terms of agreement between Tanzania and Chinese company China Merchant Holdings (CMH) were exploitative.

“We also expect that relevant Tanzanian authorities and potential Chinese investors could have further discussion and make substantial progress on the restart of the Bagamoyo port project,” Mingjian told a local daily newspaper.

She added that China, which is undertaking numerous megaprojects in Tanzania - like the $2.9 billion Julius Nyerere hydropower power project and the $1.3 billion standard gauge railway project - wants to deepen bilateral relations with the East African nation.

“At present, President Samia Suluhu Hassan is leading Tanzania towards greater economic and social development. Our two countries are working closely to implement the Belt and Road Initiative (BRI). We will inherit and carry forward our traditional friendship, supporting leading Chinese companies to participate in major projects under the BRI,” said Mingjian.

President Suluhu announced plans to revive the Bagamoyo port project in June last year, although the actual process is yet to kick off.

The deal for the Bagamoyo port was signed in 2013 by the government of Magufuli’s predecessor, Jakaya Kikwete, during a visit by Chinese President Xi Jinping. The project was also financially backed by Oman’s State General Reserve Fund. It included a Special Economic Zone, which was expected to attract about 700 companies.

The terms set by CMH included Tanzania granting the company a guaranteed term of 33 years and a lease of 99 years, tax holidays, and Tanzania ceding the right to develop other ports between Tanga to Mtwara.

If implemented, the Bagamoyo port is expected to be the largest port in East Africa. It would have a capacity to handle 20 million TEUs by 2045 - 25 times the amount of cargo that Dar es Salaam port handles today. The port, to be built 40 nautical miles north of Dar es Salaam, would also dwarf neighboring Kenya’s port at Mombasa - East Africa’s trade gateway, located some 160 nautical miles to the north.

China is pushing for Tanzania to kick start the project at a time when the country has been losing cargo business to Kenya. Congestion at the port of Dar es Salaam in recent weeks has caused a number of shipping lines divert cargo to port of Mombasa, making the Tanzanian facility lose business for inland markets like Uganda, Rwanda, Burundi and the Democratic Republic of Congo.

Dar es Salaam is Tanzania's principal port with a capacity of 4.1 million dwt dry cargo and six million dwt bulk liquid cargo annually. Apart from handling about 95 percent of the country’s international trade, the facility plays a central role in trade facilitation for landlocked neighbors.

World Bank data show between 2015 and 2020, the volumes of trade handled at the port for neighboring countries increased by 16.6 percent to 16 million metric tonnes from 13.7 million metric tonnes in 2015. The port is expected to handle over 30 million tonnes per year by 2030.

 
Bwana we kuna manzi mmoja anasema hatoi mzigo mpk tukapime nikaona sio kesi ngoja nijipime mm kwanza alafu ndiyo nmwambie tukapime mana mechi zangu za hivi karibuni sizielewi kabisa mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe mzee chunga usichovye asali iliyo na sumu. Hatutaki kukupoteza. Hawa wa siku hizi lazima uwe makini.
 
Tony254 naona roho inakusuta huko ulipo! Preparation for construction of the largest coating plant and oil and gas terminal in East and central Africa at Chongoleani👇






Don YF na mwenzie Tony254 👇

Sasa kama saa hii ndio mnaanza ujenzi wa coating plant basi pipeline itaanza kusafirisha mafuta mwaka wa 2030.
 
Tunaomba jina la vaccine Moja tu inayotengenezwa Kenya. Hizi media zenu kwa miaka mingi ndio zimekua zikiwajaza ujinga mli mjione kuwa mpo vizuri kwa kutumia lugha za kujikweza, na ninyi kwa ujinga wenu mnavimba vichwa[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Moderna inajenga vaccine plant in Kenya. Punguza kimbele mbele.
 
Daah!!! Wakati nasoma hii,mpaka machozi yalinitoka😭😭 kwanini majirani zetu mnatuangusha kiasi hiki??? Hii ina maana mpo kama wale mabraza men au masister duu wa mjini ambao wanafaa nguo,magari au majumba kumbe ni kuyaazima......Mnapaswa muache mambo ya kitumwa ipo siku mtakuwa hamna chenu ndani ya nchi yenu wenyewe....Acheni kuwatajirisha wanasiasa
Upuuzi mtupu. Kenya haina deni la $50 billion kutoka China. Usiwe unaokota takataka mitandaoni na kuzipost humu.
 

China Pushes for Implementation of Tanzania’s Bagamoyo Port​

bagamoyo
Proposed Bagamoyo port complex (file image)
PUBLISHED APR 29, 2022 5:35 PM BY NJIRAINI MUCHIRA




China is pushing authorities in Tanzania to kickstart the implementation of the $10 billion Bagamoyo port project. It has been about one year since President Samia Suluhu Hassan promised that country would revive the controversial development.

Chinese ambassador to Tanzania Chen Mingjian said that China is hoping to engage in discussion with Tanzanian authorities on restarting the project, which was unceremoniously halted by former President John Magufuli on the basis that the terms of agreement between Tanzania and Chinese company China Merchant Holdings (CMH) were exploitative.

“We also expect that relevant Tanzanian authorities and potential Chinese investors could have further discussion and make substantial progress on the restart of the Bagamoyo port project,” Mingjian told a local daily newspaper.

She added that China, which is undertaking numerous megaprojects in Tanzania - like the $2.9 billion Julius Nyerere hydropower power project and the $1.3 billion standard gauge railway project - wants to deepen bilateral relations with the East African nation.

“At present, President Samia Suluhu Hassan is leading Tanzania towards greater economic and social development. Our two countries are working closely to implement the Belt and Road Initiative (BRI). We will inherit and carry forward our traditional friendship, supporting leading Chinese companies to participate in major projects under the BRI,” said Mingjian.

President Suluhu announced plans to revive the Bagamoyo port project in June last year, although the actual process is yet to kick off.

The deal for the Bagamoyo port was signed in 2013 by the government of Magufuli’s predecessor, Jakaya Kikwete, during a visit by Chinese President Xi Jinping. The project was also financially backed by Oman’s State General Reserve Fund. It included a Special Economic Zone, which was expected to attract about 700 companies.

The terms set by CMH included Tanzania granting the company a guaranteed term of 33 years and a lease of 99 years, tax holidays, and Tanzania ceding the right to develop other ports between Tanga to Mtwara.

If implemented, the Bagamoyo port is expected to be the largest port in East Africa. It would have a capacity to handle 20 million TEUs by 2045 - 25 times the amount of cargo that Dar es Salaam port handles today. The port, to be built 40 nautical miles north of Dar es Salaam, would also dwarf neighboring Kenya’s port at Mombasa - East Africa’s trade gateway, located some 160 nautical miles to the north.

China is pushing for Tanzania to kick start the project at a time when the country has been losing cargo business to Kenya. Congestion at the port of Dar es Salaam in recent weeks has caused a number of shipping lines divert cargo to port of Mombasa, making the Tanzanian facility lose business for inland markets like Uganda, Rwanda, Burundi and the Democratic Republic of Congo.

Dar es Salaam is Tanzania's principal port with a capacity of 4.1 million dwt dry cargo and six million dwt bulk liquid cargo annually. Apart from handling about 95 percent of the country’s international trade, the facility plays a central role in trade facilitation for landlocked neighbors.

World Bank data show between 2015 and 2020, the volumes of trade handled at the port for neighboring countries increased by 16.6 percent to 16 million metric tonnes from 13.7 million metric tonnes in 2015. The port is expected to handle over 30 million tonnes per year by 2030.

Bagamoyo ni 🐘🐘🐘 mweupe.
 
Sasa kama saa hii ndio mnaanza ujenzi wa coating plant basi pipeline itaanza kusafirisha mafuta mwaka wa 2030.
By April next year that plant will be ready! Wacha kujiaminisha mradi utachelewa! labda utuambie Lamu pipeline imeishia wapi?
 
Bagamoyo ni 🐘🐘🐘 mweupe.
yes, but the good thing is the chinese wants to invest unlike Lamu that nobody aside GoK is interested and as a result GoK is continuing to dip her hands in murky water!
 
Back
Top Bottom