Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

NDINDA na ichoboy01 Inshallah nami siku yake nitashuka kwenye passo nikae humo tuwe wote team BMW [emoji3],kunyan hapo wanaweza kujua UK kumbe victoria
BMW club Kenya, View attachment 2303834View attachment 2303837View attachment 2303836View attachment 2303835View attachment 2303838
FB_IMG_1658779276375.jpg
 
Tunatakiwa tutumie lugha ya kingereza kama lugha ya kufundishia kuanzia primary mpk chuo kikuu na tuchague vitabu vya aina moja mfano kama vya Oxford vitumike hivyo shule zote kuanzia kindergarten mpk form 6. Lugha ya kiswahili tushaijua vzr sio mbaya tukajua na lugha ngeni hususan kingereza, hii tabia ya kusema kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia ndio imeshusha elimu yetu iliyokuwa bora sn miaka ya nyuma.

Hatuwezi kuliepuka hilo kwasababu hiyo elimu waliyoianzisha ndiyo hao hao, so to make it easy tumia lugha yake hyo hyo kupata maarifa zaidi baada ya hapo tunaweza kuamua.
Bro hapa nitapishana na wewe endapo tuu tutatumia lugha ya kingereza kufundisha jua ndani ya vizazi viwili vijavyo kiswahili ndo kitakuwa kwaheri mfano mzuri ni Kenya
 
Hao viongozi wenyewe wanapeleka watoto wao English medium schools wakija hadharani wanajifanya wanataka kiswahili kiwe lugha ya kufundishia, narudia Sio dhambi mtz kujua lugha nyingi.
Sio dhambi ila kama kweli tuna nia ya kuikuza lugha ya kiswahili inafaa ndo iwe lugha ya kufundishia la sivyo tutakuwa tunarusha ngumi hewani
 
Sio dhambi ila kama kweli tuna nia ya kuikuza lugha ya kiswahili inafaa ndo iwe lugha ya kufundishia la sivyo tutakuwa tunarusha ngumi hewani
Kiswahili mpk hapa tunaongea kimeshakua, ni international language as we speak, Watz wanatakiwa wajue kiswahili na kingereza kwa ufasaha kwa gharama yeyote ile.
 
Ile trip ya zanzibar nikama umekulana sana[emoji1787]
Bwana we kuna manzi mmoja anasema hatoi mzigo mpk tukapime nikaona sio kesi ngoja nijipime mm kwanza alafu ndiyo nmwambie tukapime mana mechi zangu za hivi karibuni sizielewi kabisa mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bwana we kuna manzi mmoja anasema hatoi mzigo mpk tukapime nikaona sio kesi ngoja nijipime mm kwanza alafu ndiyo nmwambie tukapime mana mechi zangu za hivi karibuni sizielewi kabisa mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787] basi pia yeye keshajipima in advance
 
Bro hapa nitapishana na wewe endapo tuu tutatumia lugha ya kingereza kufundisha jua ndani ya vizazi viwili vijavyo kiswahili ndo kitakuwa kwaheri mfano mzuri ni Kenya
Lugha ya kiswahili haitakuja kupotea, kuna nchi zinatumia lugha zaidi ya moja mkuu.
 
[emoji1787][emoji1787] basi pia yeye keshajipima in advance
Kitaeleweka tu we mwache, mm huwa ni mbishi kupima kaka, ila sasa nmepima kazi kwake kama alikuwa anatania sasa mm nmefanya kweli. Ila mwanangu kuna machaka nmepita recently co poa kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kitaeleweka tu we mwache, mm huwa ni mbishi kupima kaka, ila sasa nmepima kazi kwake kama alikuwa anatania sasa mm nmefanya kweli. Ila mwanangu kuna machaka nmepita recently co poa kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pisi za kichaga au?
 
Back
Top Bottom