Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Yah haiwezi kupotea ndani ya miaka kumi ila baada ya miaka 100 au 150 je wazungmzaji watakuwa wengi kama sasa iwapo kingereza kikitumika mashuleni kufundishiaLugha ya kiswahili haitakuja kupotea, kuna nchi zinatumia lugha zaidi ya moja mkuu.