Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Toll booth barricaded😎
IMG_20220718_141946.jpg
IMG_20220718_141944.jpg
 
Ni kweli mkuu porojo zimekuwa nyingi kuliko vitendo.
Siku tukipata akili tutaelewa kwanini wenzetu wa kenya wanawekwa kuwa ni second world while Tanzania ni third world, unazani hawakuona maghorofa ya kariakoo
Tanzania kuna porojo nyingi kuliko vitendo siku viongozi wakipata uzalendo na uchungu kwa wananchi wao tutatoka huku tulipo na kuanza kutumia rasilimali zetu vizuri kwa maendeleo ya taifa letu.
Kweli wewe kitobwa sio kwa viloja hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mbona huyu mwongo kwa jina joto la jiwe anatudanganya kwamba bei ya kuconnect umeme ni Tsh 30,000 kumbe ni Tsh 300,000. Kwa kila maneno 100 ya Joto la jiwe chukua sufuri.
Wewe ni wivu ndio unakusumbua sio lingine. Vijijini kuunganisha umeme ni TSH 27,000. Magufuli aliweka hiyo Bei na mama bado hajaitengua, mijini ndio ni 300,000. Tony punguza wivu kidogo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mombasa 15 kilometers from CBD huwezi kukuta neighborhood kama hii, utakuta mapori na vichaka vya tandu na nyumba za kuti na tope 😅😅😅

Halafu Mikunya inalazimisha Mombasa iwe Mwanza

Tanzania most urbanized

View attachment 2295153View attachment 2295155

Mkuu ilo eneo liko hot vibaya mno, Ukiacha na nyumba za milimani sehemu tambarare nyingi zimepimwa mza, wale maskini wasiojiweza ndio hukimbilia Mlimani. Changamoto kubwa ni barabara.

Hizi ni baadhi ya nyumba kwenye hilo eneo la Nyamhongolo
1658145688847.png
 
Mombasa 15 kilometers from CBD huwezi kukuta neighborhood kama hii, utakuta mapori na vichaka vya tandu na nyumba za kuti na tope 😅😅😅

Halafu Mikunya inalazimisha Mombasa iwe Mwanza

Tanzania most urbanized

View attachment 2295153View attachment 2295155
Hiyo barabara pembeni ndani ya miezi 12 ijayo itakuwa na lami na taa, yaani kama Ulaya ulaya
 
Sasa ona ulivyo zwazwa, how do u use an example ya hospitali na stima? electricity u may need daily, ikija hospitali unaeza kaa miaka kabla haujakanyaga pale., ujinga ni laana kilaza, so kwa akili yako uchwara nyaya za stima zikipita hapo nje ya nyumba yako na hauja connect wewe utahesabiwa kama mtumizi, nyambaff context ya neno accessibility hapa ni use, understand contextual use of words, inaitwa operationalization of words in a study..,
Elewa maana ya access kwanza wewe kilaza ndio uje hapa umwage kinyesi chako.
 
Back
Top Bottom