joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Huyo eti ni mtumishi wa serikali na hajui kabisa kile kinachofanyika serikalini, Sasa watumishi wa namna hii kweli wanaweza kutuvusha?,Data ni za 2020 kwamba ni 39.9,na wewe unaamini tupo hapo,hazijaongezeka?
WB wakisema mkoa wa Kilimanjaro ni mkubwa kuliko Tanga na wakaweka data utakubali kuwa ni sawa,huwezi kufikiri nje ya hapo kwa kuwa chombo cha kimataifa ndicho kimesema?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app




