Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Do you know why Tanzanians like you? Is because you love cheating them and massaging their ego. Siku utaanza kuwaambia ukweli then you will be their enemy number one.
Usimpotoshe mwenzako ,katika wakenya ambao wapo straight Tony namba moja huwa anapiga pas kote kote kwenye kukosoa anakosoa pia kwenye sifa stahidi huwa anaongea.

Hayupo kama wewe mwenye stress za mihemko,yaani kwaakili yako ilivyo fupi unadhani kuna mkenya anaweza mdanganya Mtz humu
 
Usimpotoshe mwenzako ,katika wakenya ambao wapo straight Tony namba moja huwa anapiga pas kote kote kwenye kukosoa anakosoa pia kwenye sifa stahidi huwa anaongea.

Hayupo kama wewe mwenye stress za mihemko,yaani kwaakili yako ilivyo fupi unadhani kuna mkenya anaweza mdanganya Mtz humu
Wanamuona mwenzao ni mpumbavu kabisa wkt wao wakiwa twitter wanaisifia Tz kuliko huyo Tony, kwanza Tony hajaisifia Tz bali ameongea ukweli.
 
Usimpotoshe mwenzako ,katika wakenya ambao wapo straight Tony namba moja huwa anapiga pas kote kote kwenye kukosoa anakosoa pia kwenye sifa stahidi huwa anaongea.

Hayupo kama wewe mwenye stress za mihemko,yaani kwaakili yako ilivyo fupi unadhani kuna mkenya anaweza mdanganya Mtz humu
Have you eaten?
 
World Bank GDP data are out. Kenya has been overtaken by Ethiopia while Tanzania is still stuck at $67B.

Top 3 biggest economies in East Africa.

1. Ethiopia - $111B
2. Kenya - $110
3. Tanzania - $67B

Tony254, tuusan

Huu ujuzi ndio unawafanya njaa inawapiga hadi mnaandama kuleni GDP sasa
 
Were the Luo people involved in signing up of that treaty?

Stop being a buttlicker, people who live in the area have the rights to use the water, to hell with colonial treaties.
Does Lake Victoria belong to the Luo? Are they the only community living along the shores of Lake Victoria?

There's no butt licking anything here. Kenyans living along the lake have no restrictions about using the waters of the lake for their domestic needs. Read about what that treaty entails
 
Does Lake Victoria belong to the Luo? Are they the only community living along the shores of Lake Victoria?
I used the group name as an example.
There's no butt licking anything here. Kenyans living along the lake have no restrictions about using the waters of the lake for their domestic needs.
There you go.
 
UDSM library
IMG_1568216152.457950.jpg
IMG_1568216165.862565.jpg
IMG_1568216179.669084.jpg
IMG_1568216191.708009.jpg
IMG_1568216201.812738.jpg
 
I used the group name as an example.

There you go.
The treaty was signed by countries sharing the lake, not between tribes/communities. Luos are found in Tanzania, Kenya, Uganda, Ethiopia and South Sudan
 
World Bank GDP data are out. Kenya has been overtaken by Ethiopia while Tanzania is still stuck at $67B.

Top 3 biggest economies in East Africa.

1. Ethiopia - $111B
2. Kenya - $110
3. Tanzania - $67B

Tony254, tuusan

I knew the data about Angola overtaking us was nonsense. They are at 72 billion usd gdp
Screenshot_20220712-220750_Samsung%20Internet.jpg
 
Nilikuambia unapenda ligi za kijinga.
Niambie ni wapi Tanganyika you've ever recorded -2 degrees temperature


Milimani huko ndio mnapata 2°,tukisema tulete ya mt kilimanjaro ambayo ufika mpaka minus kadhaa,guess inapofikia hali kama hii itakua degrees ngapi?na hapo sio kwenye mount
 

Attachments

  • VID-20210814-WA0008.mp4
    5.9 MB
  • VID-20210814-WA0007.mp4
    4.6 MB
Back
Top Bottom