Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona New Force zilizotengenezwa Kenya zimepakizwa kwenye meli inayotoka ulaya kuletwa bongo, Wakunya bhn yn Tz hii ya viwanda, Tz ya watu wajanja itegemee mabasi yanayojengwa na mafundi wa mtaani Kenya are you serious View attachment 2287900View attachment 2287901View attachment 2287902
Hivi hawa watu hata wanaelewa kuwa hiyo michuma wanayoiongeza inapunguza stability? Kwenye mwendo wa kasi inakuwa ngumu ku-handle, ndiyo maana ajali za matatu ni nyingi.
 
Watanzania wamelike hii comment kumbe mimi ndio nilifanya makosa. Hii data ya World Bank ni ya end of 2021 wakati ile ya IMF ilikuwa prediction ya end of 2022 kama vile Teargass ameeleza hapo awali. Data yenyewe haina tatizo.
Do you know why Tanzanians like you? Is because you love cheating them and massaging their ego. Siku utaanza kuwaambia ukweli then you will be their enemy number one.
 
Nilikuambia unapenda ligi za kijinga.
Niambie ni wapi Tanganyika you've ever recorded -2 degrees temperature


Hapa!

images - 2022-07-12T182532.903.jpeg
 
Hawa ni vituko the turkana basin iko 300m above sea level lower than areas around lake victoria maji yata flow tuu nicely wala hakuna gravity obstacle yoyote kama anavyozungumzia Tony they can supply maji to Marsabit, Wajir mpaka Mandera. Angalia altitude map ya kenya utaona nachozungumzia hapa hawa watu ni wavivu tuu ku initiate projects on their own mpaka waje mabeberu kuwafanyia. Ikitokea beberu akigoma kidogo tuu kenya haikaliki.View attachment 2288087View attachment 2288088View attachment 2288090
Huyo ni mzinguaji ndiyo maana nikamuambia kuwa anareason ya kitoto
 
Ukiangalia mkeka wao vizuri mwaka 2020 uchumi wetu ulikua $62.2B manake umeexpand vizuri ndani ya mwaka mmoja kufikia $67.7B...lakini hao hao Wb waliandika uchumi wetu kua $61B mwaka 2019 Yani 2019-2020 Uchumi wetu uliongezeka kwa $1B pekee ukilinganisha na 2020-2021 ulikua kwa $5B....nadhani Japo haifurahishi ila kwa kasi hiyo tunaweza expand zaidi ya hapo msimu ujao ukizingatia watalii wamechangamka na sekta zingine zinakua vizuri
You should be happy about Tanzanian 2019-2020 economic growth, most countries were on a downward growth but at least Tanzania grew by $1B.
 
Can't you see the gap between Kenya and Tanzania keeps on widening yet you are here talking about time?. If the gap was narrowing then we could be talking about a matter of when.
Uwepo wa gape si tatizo mngekuwa na economy ya kina China,japan,US hapo ndiyo tungekuwa tunawazia namna ya kufika huko ila siyo kwa uchumi mdogo uchwala mlio nao tuseme kwamba mtasimama hapo milele,
Ndiyo maana nikakuambia suala la mda tu,mda ndiyo utaongea sababu hamna kitu cha maana ambacho kinafanya mtuzidi kwa upande wa uchumi tuna vitu reserve vingi sana vyakupaisha uchumi wa Tz..

Uzembe wa serikali ililala miaka ya nyuma mbali na changamoto
 
Kwahyo top ten zenye gdp kubwa bado Nigeria ndio kinara na wa mwisho ni Tz mana cote d voire na Ghana wametukalia kooni sio Poa
 
Uwepo wa gape si tatizo mngekuwa na economy ya kina China,japan,US hapo ndiyo tungekuwa tunawazia namna ya kufika huko ila siyo kwa uchumi mdogo uchwala mlio nao tuseme kwamba mtasimama hapo milele,
Ndiyo maana nikakuambia suala la mda tu,mda ndiyo utaongea sababu hamna kitu cha maana ambacho kinafanya mtuzidi kwa upande wa uchumi tuna vitu reserve vingi sana vyakupaisha uchumi wa Tz..

Uzembe wa serikali ililala miaka ya nyuma mbali na changamoto
Your point is understandable but right now there's no cause for alarm since I know that your reserves are controlled by whites and Tanzania will never enjoy the benefits of those reserves. If I may ask, do you think the total export from Tanzania is less than $10B annually as showed by govt? That's if we combine both minerals, agricultural products and services. The answer is "NO" because most of your minerals are exported through backdoor without even your government knowing. Those whites will only show you the figures that they want you to know.
 
Sasa hivi team SSH tunatembea kifua mbele kwa kuwa tumeshawakata kidomodomo sukuma gang Kwa miradi kede kede across sectors countrywide..

Hapa ni Rukwa kuna ujenzi wa VETS Mkoa,baraba kuu za Tanzania -Zambia,barabara za Mikoa,mjini and much more 👇
 

Attachments

  • IMG_20220529_114506_002.jpg
    IMG_20220529_114506_002.jpg
    1.5 MB · Views: 7
  • IMG_20220524_175106_500.jpg
    IMG_20220524_175106_500.jpg
    1.2 MB · Views: 6
  • IMG_20220529_114250_339.jpg
    IMG_20220529_114250_339.jpg
    1.1 MB · Views: 9
  • IMG_20220710_103839_940.jpg
    IMG_20220710_103839_940.jpg
    981 KB · Views: 7
  • IMG_20220710_103852_802.jpg
    IMG_20220710_103852_802.jpg
    981.3 KB · Views: 9
  • IMG_20220712_140112_250.jpg
    IMG_20220712_140112_250.jpg
    1.3 MB · Views: 10
  • IMG_20220712_140134_972.jpg
    IMG_20220712_140134_972.jpg
    1.2 MB · Views: 10
  • IMG_20220712_140218_262.jpg
    IMG_20220712_140218_262.jpg
    1.1 MB · Views: 8
  • IMG_20220712_140221_939.jpg
    IMG_20220712_140221_939.jpg
    1.2 MB · Views: 8
  • IMG_20220712_140226_538.jpg
    IMG_20220712_140226_538.jpg
    1 MB · Views: 9
  • IMG_20220712_140305_597.jpg
    IMG_20220712_140305_597.jpg
    1.3 MB · Views: 11
  • IMG_20220712_140306_748.jpg
    IMG_20220712_140306_748.jpg
    1.3 MB · Views: 10
  • IMG_20220712_140536_183.jpg
    IMG_20220712_140536_183.jpg
    1.1 MB · Views: 9
  • IMG_20220529_114457_067.jpg
    IMG_20220529_114457_067.jpg
    1.4 MB · Views: 8
Kwahyo top ten zenye gdp kubwa bado Nigeria ndio kinara na wa mwisho ni Tz mana cote d voire na Ghana wametukalia kooni sio Poa
Tanzania is not in top 10.

1. Nigeria
2. South Africa
3. Egypt
4. Algeria
5. Morocco
6. Ethiopia
7. Kenya
8. Ghana
9. Angola
10. Cote D'Ivoire
 
Do you know why Tanzanians like you? Is because you love cheating them and massaging their ego. Siku utaanza kuwaambia ukweli then you will be their enemy number one.
Tony254 mbona hawa washamba wanapenda kuingilia uhuru wako wa kujieleza? Yani Wakenya wote wanamuona Tony kama mtu wa kujipendekeza kisa tu anaongea ukweli anaoujua na kuuamini yeye.

Mnataka Tony aamini kwamba Tz economy ni $67b wkt anajua ukweli kwamba Tz inailisha Kenya? Anajua fika Tz inafanya miradi mikubwa na yenye thamani kubwa kuliko miradi yote inayofanywa na nchi za Afrika mashariki combined?

Mnataka Tony aamini uongo wa wazungu wenye chuki na Tz wkt anajua Tz inatekeleza miradi ya maendeleo na mikubwa kama JNHPP tena kwa pesa za ndani?

Mnataka Tony aamini uongo wa makaratasi wkt anajua Tz haisumbuliwi na njaa? Wakati mwingine Tony unatakiwa kuwa mkali ili wajinga wajinga kama hawa wasikiguse guse hovyo na kukutoa akili, yn ww hauko independent kabisa, ukitoa mawazo yako wanakuambia unajipendekeza wakati wao wakiwa twitter wanaisifia Tz zaidi ya ww unavyoiongelea kwa mazuri wkt mwingine.

Ifike wakati tuheshimiane humu ndani kama ukiona mtu katoa speech hukubaliani nayo basi mkosoe kwa hoja na sio kumtoa akili mtu mzima na akili zake.
 
That water is guarded by a treaty, the Nile Treaty.
Were the Luo people involved in signing up of that treaty?
Secondly, it is a shared resource so Kenya does not have complete control over it unlike your minerals which are the property of Tanzanians and Tanzanians alone
Stop being a buttlicker, people who live in the area have the rights to use the water, to hell with colonial treaties.
 
Back
Top Bottom