Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 27,052
- 28,032
Are you blind? Can't you see Kenya is more developed infrastructurewise than Tanzania?GDP sio mambo ya mdomoni na kwenye karatasi kijana GDP inaonekana mitaani.
Are you blind? Can't you see Kenya is more developed infrastructurewise than Tanzania?GDP sio mambo ya mdomoni na kwenye karatasi kijana GDP inaonekana mitaani.
Hivi hawa watu hata wanaelewa kuwa hiyo michuma wanayoiongeza inapunguza stability? Kwenye mwendo wa kasi inakuwa ngumu ku-handle, ndiyo maana ajali za matatu ni nyingi.Naona New Force zilizotengenezwa Kenya zimepakizwa kwenye meli inayotoka ulaya kuletwa bongo, Wakunya bhn yn Tz hii ya viwanda, Tz ya watu wajanja itegemee mabasi yanayojengwa na mafundi wa mtaani Kenya are you seriousView attachment 2287900View attachment 2287901View attachment 2287902
Nyali unaijua??Karen inhitaji at least miaka 10-15 kufika ilipo Masaki kwa sasa
Do you know why Tanzanians like you? Is because you love cheating them and massaging their ego. Siku utaanza kuwaambia ukweli then you will be their enemy number one.Watanzania wamelike hii comment kumbe mimi ndio nilifanya makosa. Hii data ya World Bank ni ya end of 2021 wakati ile ya IMF ilikuwa prediction ya end of 2022 kama vile Teargass ameeleza hapo awali. Data yenyewe haina tatizo.
Nilikuambia unapenda ligi za kijinga.
Niambie ni wapi Tanganyika you've ever recorded -2 degrees temperature
Huyo ni mzinguaji ndiyo maana nikamuambia kuwa anareason ya kitotoHawa ni vituko the turkana basin iko 300m above sea level lower than areas around lake victoria maji yata flow tuu nicely wala hakuna gravity obstacle yoyote kama anavyozungumzia Tony they can supply maji to Marsabit, Wajir mpaka Mandera. Angalia altitude map ya kenya utaona nachozungumzia hapa hawa watu ni wavivu tuu ku initiate projects on their own mpaka waje mabeberu kuwafanyia. Ikitokea beberu akigoma kidogo tuu kenya haikaliki.View attachment 2288087View attachment 2288088View attachment 2288090
You should be happy about Tanzanian 2019-2020 economic growth, most countries were on a downward growth but at least Tanzania grew by $1B.Ukiangalia mkeka wao vizuri mwaka 2020 uchumi wetu ulikua $62.2B manake umeexpand vizuri ndani ya mwaka mmoja kufikia $67.7B...lakini hao hao Wb waliandika uchumi wetu kua $61B mwaka 2019 Yani 2019-2020 Uchumi wetu uliongezeka kwa $1B pekee ukilinganisha na 2020-2021 ulikua kwa $5B....nadhani Japo haifurahishi ila kwa kasi hiyo tunaweza expand zaidi ya hapo msimu ujao ukizingatia watalii wamechangamka na sekta zingine zinakua vizuri
-2 degrees na matak.o yako auNilikuambia unapenda ligi za kijinga.
Niambie ni wapi Tanganyika you've ever recorded -2 degrees temperature





It's rubbish because it doesn't favor your ego. Ingekuwa Tanzania ndio Iko juu ya Kenya then you could have supported that data 200%.Rubbish zao
Lini imeanza kujengwa.Buaga moyo port ipo wapi?
Uwepo wa gape si tatizo mngekuwa na economy ya kina China,japan,US hapo ndiyo tungekuwa tunawazia namna ya kufika huko ila siyo kwa uchumi mdogo uchwala mlio nao tuseme kwamba mtasimama hapo milele,Can't you see the gap between Kenya and Tanzania keeps on widening yet you are here talking about time?. If the gap was narrowing then we could be talking about a matter of when.
Your point is understandable but right now there's no cause for alarm since I know that your reserves are controlled by whites and Tanzania will never enjoy the benefits of those reserves. If I may ask, do you think the total export from Tanzania is less than $10B annually as showed by govt? That's if we combine both minerals, agricultural products and services. The answer is "NO" because most of your minerals are exported through backdoor without even your government knowing. Those whites will only show you the figures that they want you to know.Uwepo wa gape si tatizo mngekuwa na economy ya kina China,japan,US hapo ndiyo tungekuwa tunawazia namna ya kufika huko ila siyo kwa uchumi mdogo uchwala mlio nao tuseme kwamba mtasimama hapo milele,
Ndiyo maana nikakuambia suala la mda tu,mda ndiyo utaongea sababu hamna kitu cha maana ambacho kinafanya mtuzidi kwa upande wa uchumi tuna vitu reserve vingi sana vyakupaisha uchumi wa Tz..
Uzembe wa serikali ililala miaka ya nyuma mbali na changamoto
Tanzania is not in top 10.Kwahyo top ten zenye gdp kubwa bado Nigeria ndio kinara na wa mwisho ni Tz mana cote d voire na Ghana wametukalia kooni sio Poa
Tony254 mbona hawa washamba wanapenda kuingilia uhuru wako wa kujieleza? Yani Wakenya wote wanamuona Tony kama mtu wa kujipendekeza kisa tu anaongea ukweli anaoujua na kuuamini yeye.Do you know why Tanzanians like you? Is because you love cheating them and massaging their ego. Siku utaanza kuwaambia ukweli then you will be their enemy number one.
Were the Luo people involved in signing up of that treaty?That water is guarded by a treaty, the Nile Treaty.
Stop being a buttlicker, people who live in the area have the rights to use the water, to hell with colonial treaties.Secondly, it is a shared resource so Kenya does not have complete control over it unlike your minerals which are the property of Tanzanians and Tanzanians alone