tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Nairobi hakuna scrapers
Nairobi hakuna scrapers
Mapovu kama yote huko twitter. Hawa jirani wangeacha tuu pride tunge get along very well lakini ndio hulka yao hiyo.





Heeh mmeachana na BRT mara hii?
Ndiyo maana wako wengi kama mchwa, kanchi kadogoo kana watu over 60 million, yani wanapigana pipe kweli kweli hawana mchezo kwenye hilo eneo, wanakula mbususu mpk kwenye recreational parks.hii ni aibu sana kama taifa
Kabla ya mwaka 2017 kibera ilikuwa ya pili kwa kuwa one of the largest slum in the world, now ni ya kwanza.Credible source yako ilikuambia idadi imetripple??![]()
Heheheheeee nilijua tu ukabila unaanzia hapa, mtaanza kupeana vitasa wenyewe kwa wenyewe soonBaba will take this early in the morning. Ruto ain't bad but his appetite for corruption is what's worrying many voters, me included











Wazee wa kuiga WestminsterCommunity area. Parliament of Kenya on the foreground
View attachment 2282847
Dar kunazo?Nairobi hakuna scrapers
Utaumia sana mdanganyikaWazee wa kuiga Westminster
ukigeuka over $4 bln EACOP project!Wewe ukigeuka huku unasikia eco friendly electric sgr the longest in Africa connecting Rwanda, Burundi and Congo, mara julius nyerere hydro umeme wote wa kenya wanaotumia, kule $40bn lng, huku ports improvement and construction of marine vessels, kule fully functioning BRT, mara Dodoma modern city
Hapo lazima uchanganyikiwe mkuu.
Ni kweli bro 😀,yan hao hata abroad wanajulikana wakifika lazima waanzishe familia,binafsi nikiwaga na wakongo,wanigeria,waethiopia n.k uwa wanaongea sana kuhusu wakenya kupenda kuzaa zaa ovyo,si wa kike wala kiume,akiingia europe target yake kuzaa 😀,kumbe na kwao wako hivyo 😀Ndiyo maana wako wengi kama mchwa, kanchi kadogoo kana watu over 60 million, yani wanapigana pipe kweli kweli hawana mchezo kwenye hilo eneo, wanakula mbususu mpk kwenye recreational parks.
National Government vs County Government. Tunajua huwezi elewa, huko bongo Rais ndio kunyamba na wengine wananusa.Serikali against serikali alafu aliyeshinda ni serikalii 😅😅😂😂 kazi mnayo
Waliokatazwa msizaane kina naniNi kweli bro,yan hao hata abroad wanajulikana wakifika lazima waanzishe familia,binafsi nikiwaga na wakongo,wanigeria,waethiopia n.k uwa wanaongea sana kuhusu wakenya kupenda kuzaa zaa ovyo,si wa kike wala kiume,akiingia europe target yake kuzaa
,kumbe na kwao wako hivyo
![]()
Zinaenda Rwanda hizo wewe kiazi.
Wakijiangalia wao wakona daily dose ya kichina ambayo serikali haijaweka hata cent na hela za loan na kodi hazijulikani zinaenda wapi lazima urukwe akili.ukigeuka over $4 bln EACOP project!
Utaumia sana mdanganyikaView attachment 2282878