Ulikula hicho chakula au hukula?Zilipendwa hizo. We are in 2022!
Ulikula hicho chakula au hukula?Zilipendwa hizo. We are in 2022!
Huyu mwathadan roho inamuuma kwa hiyo imemfanya hata sione fence!unapata tabu kumuelekeza huyo mshamba anayejiropokea tu
wafanye hata 3 times a week! Biashara ipo!
I really wish wapate tenda nyingine..Strabag walijenga vizuri sana iyo barabara
Kbs kaka hatuwadai!!!Strabag walijenga vizuri sana iyo barabara
Angalia kuna ka-boat hakazidi 3 floors tayari kamefika kwa ceiling!wanataka itengenenzwe ndani ya roof house
Do you need to do research on such a thing?ulitumia tafiti gani?
Nionyeshe nyumba hata moja hapo. Nionyeshe infrastructure yoyote kwenye hiyo picha. Ni nini kinaonyesha kwamba watu wanaishi hapo?
Kwa mwendo huu, kama hawaweki bumps, tutarajie ajali nying sana kwenye hio expressway
Abandoned? 😃😃😃😃Sasa kwenye abandoned plot utaona kweli nyumba na infrastructure!!?
Be serious!!!
Sitegemei chakula cha msaada bongolala wala hakuna generation yangu imewahitegemea hicho chakulaUlikula hicho chakula au hukula?
Turhojet ndo nini?Turhojet Q400
Source Twitter View attachment 2282713