Huyo dogo ni kondoo sana sielewi mbona unapoteza muda wako kumjibu.
Tangu abishe mixer mishipa kumtoka kuwa miradi ya Tanzania huwa hawalipi fidia kwenye maeneo iliyopitiwa na miradi mfano SGR na ndio maana miradi ya Tanzania sio ghali imebidi nimpuuze maana ni mpumbav bora angekuwa mjinga angefundishika ila sasa ni mpumbav na mjuaji wa kishamba na siku zote bora mjinga kuliko mpumbav.
Yaani wanasiasa wao wanawadanganya kama makondoo ili wasilalamike miradi ikiwa ghali kwa kuongezwa cha juu na walivyo makondoo hata hawafanyi tafiti

