Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Fuatilia hapa

View attachment 2281792
Mimi siongei mambo ya Eni. By the way mimi ndio nilikuwa mtu wa kwanza kwenye huu uzi kupost mambo ya Eni floating lng plant na evidence ipo ukitaka. Hii Eni floating lng plant ni worth $9 billion. Hii Total lng plant ni worth $20 billion na ndio imekwama.
 
Mimi siongei mambo ya Eni. By the way mimi ndio nilikuwa mtu wa kwanza kwenye huu uzi kupost mambo ya Eni floating lng plant na evidence ipo ukitaka. Hii Eni floating lng plant ni worth $9 billion. Hii Total lng plant ni worth $20 billion na ndio imekwama.
Sasa hiyo $9bn ya ENi na paraphernalia zake ndio ime boost position ya Mozambique kwenye ile list uliyoshangaa kwanini Mozambique iwe juu.
 
Wanaozungumza Kingereza ni watu waliozaliwa Kenya, nilikuwa sijajua hili
😂😂 Najua Wakenya ni wapenda sifa hivyo nilijua mngeingia kwenye huu mtego wa kujisifia.

Mimi nimezaliwa Dar es salaam, Ubongo National Housing, nyuma ya Rubada na nimesoma primary Ubungo na Mabibo then off to Seminary, St Francis de Sales, Kihonda, Morogoro.

Sijawahi fika Kenya hata kutembea.
 
What is this?
Hahaha punda huyo wananchi wanajikatia mapande ya nyama wakasafishe damu kuondoa sumu ya sukuma daily

Anything too much is harmful 😂😂😂
CBAslTnUYAIz2oF.jpeg
CBAslV8VAAAOfz4.jpeg
 
Hizo miji umetaja pia hazina upumbavu wa shamba za mihogo ndani zao
We mpumbavu hakuna city kubwa isio na urban farming 😂😂😂

Eti pori limejaa fisi na nyumbu mnaita metropolitan 😂😂😂😂
 
The formation of a political agenda has started

Tanzania Unveils Electric Train Cruising at Speed of 160km Per Hour

tuko.co.ke

Jul 5, 2022 1:44 PM

President Samia Suluhu Hassan's administration has tested its first, maiden, Standard Gauge Railway (SGR) electric train along the Dar-es-salaam and Morogoro section.

The Tanzania SGR hit a speed of 160Km per hour compared to Kenya’s SGR that uses diesel and can move up to 120Km per hour.

It is being expected that, once commissioned for service, the new SGR train should be able to travel at the velocity of 160 kilometers per hour, which is essentially twice the speed of an ordinary bus.
More details to follow...

Source: TUKO.co.ke

 
Unaanzaje kutumia hela zako wakati kodi haujalipa..unafanya kama Magu alikuwa hakopi..cha maana nikufanyia kazi ya maana hela unayokopa..am not here kumtetea rais flani au kumponda..but kwa stage tuliyopo kuna neccesary mikopo ili kumalizia miradi

Magu alichukua mikopo naye tena commercial loans
1.Standard chartered 1.6bn
2.Credit suisse etc

2. Aslimia 60 ya wa Tz wanafanya kilimo unataka uanze kuwapeleka shule..kwann usitafute FDI itakayowanyaua wakulima huko nje

3.Walipa kodi hatuwezi ku foot bill ya miradi yote lazima ukope ila utumie hela vizuri kumaliza strategic projects ..mama hajaanzisha any big project mpya zaidi ya kumalizia za magu za SgR, na jnhpp

4.Kachukua mkopo IMF ..kaanza kujenga shule , huduma za maji na hospitali..kachukua 450mil usd usd kwa ajili ya vyuo world bank, kachukua mikopo afb ufaransa kwa ajili ya maji morogoro na shinyanga..unless hii mikopo haitafanya hizi huduma mm sioni baya

5.Cha maana ni kutumia Asia model kufanikiwa

cha kwanza kwa sasa ni kuimarisha Ajira kwa wa tz waliopo sasa hapa wengi ni wakulima na wana basic skills ili kutoa umaskini..kufungua sekta ya kilimo ambayo budget ime triple, kurudisha sector ya textile imdustries etc

cha pili kwa watoto wetu awamu ijayo kuwapa elimu ya masomo ya computer kuanzia wadogo ..maana dunia inaeleka huko .

cha tatu kwa wahitimu wetu kupeleka kuwasomesha nje ..hasa swala la madini , Gas extaction and processing na kuwa tie kwenye 5 to 10 year contact warudi ku develop nchi yetu ..hatuna ujanja..if you cant beat them join them

Tukijibana sana bila kuongeza wigo wa kodi..ambacho hicho ndo nalaumu Tz..hatutaweza kumalizia miradi haraka..na bado hatuna wasomi wakutengeneza hata machine za kuchimba..cha maana kusomesha watu nje warudi watengeneze vitu huku ndani
Umeongea vizuri. Ili fedha ionekane imefanya kazi ni kuwa karibu na miradi, kuwasimamia kwa ukaribu wakandarasi ili wamalize kwa wakati na kwa ubora unaokubalika.

Watakao haribu miradi wawajibishwe na waimalizie kwa fedha zao wenyewe, kulinda mali za wakandarasi hasa vifaa vya ujenzi visiibiwe wala kuharibiwa na wasiotutakia mema.

Fedha za mkandarasi zilipwe mapema asiwe na kisingizio cha kutokumaliza mradi mapema.

Tukifanya hivi thamani ya pesa itaonekana, hakutakuwa na hasara wala kulipa kwa penalty(pesa haitaongezeka kizembe na miradi itakamilika).
 
Mombasa Cancer Center

Bongolala land huwezi facility kama hii outside of Dar is a slum.


🤣🤣🤣 Peleka upuuzi mbele wewe, nje ya DAR kuna Hospitali kubwa (hata ndani ya Nairobi huwezi pata) zenye facilities za kutibu magonjwa makubwa
 
Huyo dogo ni kondoo sana sielewi mbona unapoteza muda wako kumjibu.

Tangu abishe mixer mishipa kumtoka kuwa miradi ya Tanzania huwa hawalipi fidia kwenye maeneo iliyopitiwa na miradi mfano SGR na ndio maana miradi ya Tanzania sio ghali imebidi nimpuuze maana ni mpumbav bora angekuwa mjinga angefundishika ila sasa ni mpumbav na mjuaji wa kishamba na siku zote bora mjinga kuliko mpumbav.

Yaani wanasiasa wao wanawadanganya kama makondoo ili wasilalamike miradi ikiwa ghali kwa kuongezwa cha juu na walivyo makondoo hata hawafanyi tafiti
Kwahiyo anadhani wanachukua ardhi yenye mashamba, makazi, hadi kuhamisha makaburi bila kutoa fidia kweli? Alisikia wapi hiki kitu,hawaanzi mradi bila kutoa fidia kwa watu wanaopitiwa na miradi.
 
Back
Top Bottom