Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani wanakuja Tanzania kutibiwa bure au wanatibiwa kwa pesa zao? Wachanga ujinga wakati mwingine. Hata mkiwafukuza, watatumia pesa zao kutibiwa kwingine. Hawatibiwi bure.
Wewe akili yako ni finyu Sana, Nina wasiwasi na Elimu yako. Hivi unajua hao wakija Tanzania wanatibiwa katika Hospitali za serikali, unajua kwamba hizo Hospitali za serikali zinapewa pesa na madawa kulingana na idadi ya watu katika maeneo Yao?,

Hao watu wenu hawapo katika bajeti ya serikali yetu, matokeo yake watanzania wanakosa dawa na huduma zengine kutokana na kuongezeka kwa watumiaji huduma toka Kenya

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hata huko USA ilibidi serikali ya USA iingilie kati na ku-bail out airline industry baada ya 9/11 terror attack. Serikali ya USA ilitumia a total of $15 billion to bail out the airline industry. Sijui kwa nini unasingizia corona. Hii industry ni ya ujinga. Janga lolote likitokea industry inaanza kutengeneza losses.
[emoji116] [emoji116] [emoji116]

Do Government Bailouts Work? Ask the Airlines.​



By
Scott McCartneyFollow

September 22, 2008

SHARE

TEXT

Here’s a government bailout program that did work, at least financially: The airline rescue of 2001.
After the Sept. 11 terrorist attacks, Congress propped up the imploding airline industry with $5 billion in cash payments for lost revenue while the airspace was shut down, insurance guarantees and liability protection and a $10 billion loan guarantee program.
Kama hii industry ni ya kijinga mbona US government wali bail out the industry with $15bn? Hii industry ni very important and it has a multiplier effect on the economy ndio maana Middle Eastern carriers zote zinapewa subsidy ya mafuta na sisi soon tutaanza kutoa subsidy ya mafuta kwa ATC.
 
Wewe akili yako ni finyu Sana, Nina wasiwasi na Elimu yako. Hivi unajua hao wakija Tanzania wanatibiwa katika Hospitali za serikali, unajua kwamba hizo Hospitali za serikali zinapewa pesa na madawa kulingana na idadi ya watu katika maeneo Yao?,

Hao watu wenu hawapo katika bajeti ya serikali yetu, matokeo yake watanzania wanakosa dawa na huduma zengine kutokana na kuongezeka kwa watumiaji huduma toka Kenya

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hahaha. Sasa unanililia mimi unataka nikusaidie vipi? Mbona msiwafukuze basi?
 
Kama hii industry ni ya kijinga mbona US government wali bail out the industry with $15bn? Hii industry ni very important and it has a multiplier effect on the economy ndio maana Middle Eastern carriers zote zinapewa subsidy ya mafuta na sisi soon tutaanza kutoa subsidy ya mafuta kwa ATC.
Tafadhali naomba uelewe point yangu. Hii airline industry ni muhimu ila ina tendency ya kutengeneza losses.
 
Biashara zote duniani no ngumu, lazima kujipanga, Kenya kila biashara ya serikali inashindikana, Uchumi supermarkets, Mumias sugar, Galana Kulalu, Metre gauge railway. The list is endless

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wanashindwa kwasababu hawana organic growth they always want to aim higher without setting a strong base. Hiyo ndio handicap yao kwenye miradi mingi tuu na hata kwenye uchumi especially GDP figures they post big numbers that cannot be substantiated by the reality on the ground, maana kila ukigeuka huku dollar shortages, cholera, hunger, poverty, corruption , maladministration and the list goes on and on.
 



FWfjy_AWQAE55dM



FWfj0OVXgAo0-4e



FWfjznFWYAA_Dom



FWfjyXTWIAA-Cat




MY TAKE
Dodoma is coming out beautiful kule Msalato International Airport, kule East and central Africa's longest Ring Highway, kule east and central Africa's largest golf course with 5 star hotel and training facilities na huku Ikulu and government offices (28 ministres) at Chamwino and Mtumba respectively! Waiting for he construction of East and central largest footbal arena to kick start!

CC: Tony254 mtafanya benchmarking tours lini?
 
Back
Top Bottom