Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wabongo hua munajifanya vile Dar is an important City in the region. Ebu tuonyesheni Tecno Camon 19 Launch event in Dar is a slum. 🤣 🤣 🤣

Hii hapa ya Nairobi

Image


Image



Image
Image

Image



Image
 
The same has happened to me in Kenya with Tanzanian number plates at langata roundabout and embu thika highway junction.

The difference is unlike you, we don't pretend Kenyan police are not corrupt.
Tukiskiza wenzenu hapa, you would think the Tanzanian police are Vatican police.
 
Sasa nenda uwaambie recognized bodies like IMF, and WB wabadilishe waiweke Dar mbele ya ka Nairobi linapokuja suala la corruption [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

IMF na World Bank mnawaamini kwa kila jambo isipokuwa GDP yenu. 🤣 🤣 🤣
 
Huyu tembo juu yake kuna gari tatu tu, hii ni zaidi ya kituko 😂
pole kwa maumivu. Hata hiyo barabara ya chini sioni magari mengi so the picture might have been taken on a weekend. Hii barabara inawaumiza roho sana 😂
 
The same has happened to me in Kenya with Tanzanian number plates at langata roundabout and embu thika highway junction.
Eti Langata Roundabout 🤣 🤣 🤣 Embu Thika Highway???🤣🤣🤣

Wewe ulikuja Kenya through your own fantasies.
 
Westlands District is huge,,ni kama Upperhill +CBD combined 😍
Westlands ni kubwa sana. Na hapo camera haijashika sides za Rhapta road on your way to Muthangari. Ibis Styles hote, Pride Inn Azure. Hizo sides are not in the pic
 
Nime note kitu humu,wakunya ni kana washakata tamaa kwenye utalii hawatuwezi,zamani ilikua ikija issue ya utalii walikua wanachangia na kujisifu sana,siku hizi wakiona post za utalii wanapita kimya kimya
Kwaivo Kenya watalii hawakuji, au unamaanisha nini?
 
Huyo tumemnyonga. kama wenzake walio mtangulia humu, kwa sasa wanaweka porojo tunaumbua na facts., Tanzania hakuna cha maana for the debate, wameishiwa, wamebakia kutafuta vitu vilivyo pitwa na wakati kwa mtandao kuponda, but tunawajibu na reality kwa sasa.., the boy must be deluded.,
Kwa sasa ni kweli ila ngojeni tukipata rais mwenye akili timamu 2025 ndiyo tutakuja kwenye hii vita ya kenya vs tanzania
 
Westlands ni kubwa sana. Na hapo camera haijashika sides za Rhapta road on your way to Muthangari. Ibis Styles hote, Pride Inn Azure. Hizo sides are not in the pic
Side ya juu pia haija kua captured poa, area za Spring Valley bordering loresho and lower kabete.
 
Kumbe hupendi matusi ehee!? Ila ukimtukana mtu mwingine asiyekuwepo hapa kwako sawa eti? Basi sawa nimekuelewa usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio.
Huyo jamaa uwa simjibu uwa anatumia lugha mbaya sana plus matusi
 
Pia me sijui, Nairobi ikona roundabouts mingi sana na hakuna hata moja inaitwa Langata Roundabout.🤣 🤣 🤣
Huyu ndio kama yule wa jana who was downloading pictures kisha anadai eti emezipiga mwenyewe akiwa Nairobi 😂
 
Huyu ndio kama yule wa jana who was downloading pictures kisha anadai eti emezipiga mwenyewe akiwa Nairobi 😂
Sijawai ona mtu mjinga kama huyo, anapost picha za pot holes eti ni uhuru park. 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom