7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,067
Halafu hana ustaarabu, mbishi na mkaidi.Huyo jamaa uwa simjibu uwa anatumia lugha mbaya sana plus matusi
Halafu hana ustaarabu, mbishi na mkaidi.Huyo jamaa uwa simjibu uwa anatumia lugha mbaya sana plus matusi
Hatutumii techno kwa wingi kwa kwenu kenyaaWabongo hua munajifanya vile Dar is an important City in the region. Ebu tuonyesheni Tecno Camon 19 Launch event in Dar is a slum. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Hii hapa ya Nairobi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
How can Kenya or Nigeria foster stability among its neighbors when both of these countries are regional hubs of instability?
Nairobi — What influence and clout did the chairman of the African Union, Tanzanian President Jakaya Mrisho Kikwete, bring to bear on the Kenyan mediation process?
[emoji23][emoji23][emoji23] nigga you've never set foot outside dar-is-a-slum. Embu-thika highway junction ndo wapi? Wacha uongo banaThe same has happened to me in Kenya with Tanzanian number plates at langata roundabout and embu thika highway junction.
That negro is obviously lying. Wadanganyika wanatamani sana kuja Nairobi, but hawana pesa ni maskiniPia me sijui, Nairobi ikona roundabouts mingi sana na hakuna hata moja inaitwa Langata Roundabout.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
I meant roundabout on mombasa road inapoanzia langata road.Lang'ata roundabout iko wapi hii Nairobi? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
better ungesema nyayo stadium badala ya story miiiingi....I meant roundabout on mombasa road inapoanzia langata road.
Kwani wewe hujui makutano au kwasababu nimesema kwa kizungu junction? Inaelekea nyie hamjui kwenu vizuri na mkitembea huwa mnabebwa kwa Hiace tuu na kufikishwa mnapoenda kama mzigo.[emoji23][emoji23][emoji23] nigga you've never set foot outside dar-is-a-slum. Embu-thika highway junction ndo wapi? Wacha uongo bana
Wewe ni mshamba wa mji wenu kwani Langata road inaanzia wapi kama sio hapo kwenye roundabout mombasa road. Na usitegemee mgeni akupe mpaka vijina vya hivyo vijiwe vyenu kama unavyolazimisha hapa.Pia me sijui, Nairobi ikona roundabouts mingi sana na hakuna hata moja inaitwa Langata Roundabout.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Naipori naijua vizuri sana huwa nikija hapo nakaa kwa sehemu tatu tuu kama sio Sarova Stanley basi ni Panari au the Bomas.Huyu ndio kama yule wa jana who was downloading pictures kisha anadai eti emezipiga mwenyewe akiwa Nairobi [emoji23]
Hiyo ni wewe kwakuwa wewe ni mwenyeji ila usitegemee mimi ambaye ni mpitaji nijuwe majina ya vijiwe vyenu vyote chamsingi ni location kueleweka sio niite unavyotaka wewe.better ungesema nyayo stadium badala ya story miiiingi....
Cheki ulivyokuwa na colonial mentality yaani unamuita muafrika mwenzako negro hujui hiyo ni discrimination au wewe uko class moja na wazungu au umekuwa mnyapara wa mzungu? Alleviate mental slavery brother amasivyo utakuwa mtumwa tuu maisha yako yote.That negro is obviously lying. Wadanganyika wanatamani sana kuja Nairobi, but hawana pesa ni maskini
Wacha kutumia Google maps kujifariji. Tafuta pesa uje kutembea kenyaKwani wewe hujui makutano au kwasababu nimesema kwa kizungu junction? Inaelekea nyie hamjui kwenu vizuri na mkitembea huwa mnabebwa kwa Hiace tuu na kufikishwa mnapoenda kama mzigo.
Send a single photo you've taken in Kenya uache ujinga, unyapara na uongo.Cheki ulivyokuwa na colonial mentality yaani unamuita muafrika mwenzako negro hujui hiyo ni discrimination au wewe uko class moja na wazungu au umekuwa mnyapara wa mzungu? Alleviate mental slavery brother amasivyo utakuwa mtumwa tuu maisha yako yote.
ndio maana waliumia sana 😂😂😂
Huku ni simu za bei mbaya ndio huwa launched, 10 years agoWabongo hua munajifanya vile Dar is an important City in the region. Ebu tuonyesheni Tecno Camon 19 Launch event in Dar is a slum. 🤣 🤣 🤣
Hii hapa ya Nairobi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwa wale ambao wanadhani vita ni mchezo, upekuzi wangu wa hali ya juu kwenye channels za Russian speakers kimeniwezesha kupata hii video. Video ni hatari kweli. Inaonyesha majeshi ya Russia yakipigwa makombora (yaani artillery fire) na majeshi ya Ukraine. Aisee sina la kusema. Wanajeshi wa Russia wanaonekana wanapitia muda mgumu sana.
Cc ichoboy01
Very stupid lot, its clear propaganda wanadhani everyhin is all about tz na hakuna green grass kenya, typical idiotsSijawahi kuona nchi imejaa wajinga kama Tz , kila utoto wanaambiwa wanafuatafuata , hakuna mmasai wa narok Ako na ngombe Tz infact wao ndio wanaleta narok areas around Eminangio Forests towards Loita Plains. Huyu Ledama yeye anajishugulisha na dairy cows si izo takataka za nyama(sahiwal,borana etc)