Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,393
- 5,800
Danganyika dream
Tz inapiga hatuna kwa Kasi sanaNdani ya siku 4 tuu Unapata umesema nyumbani kwako
Huyu tembo juu yake kuna gari tatu tu, hii ni zaidi ya kituko 😂Nairobi CBD
![]()
Mimi naona wewe ndio kipofu, ukiangalia vizuri gari ni more kwa expressway kama tunatumia your logic of thinkin[emoji1787][emoji1787]Huyu tembo juu yake kuna gari tatu tu, hii ni zaidi ya kituko [emoji23]
Westlands District is huge,,ni kama Upperhill +CBD combined 😍Westlands ambayo watanzania hujaribu kulinganisha na kijiko ya nyama yenye vijighorofa vitatu kando ya barabara na uswazi bembezoni View attachment 2269107View attachment 2269108View attachment 2269109View attachment 2269114
Sasa wanasema somebody help kutoka wapi wakati they are some bodies
Ndomaana jirani anataka ngorongoro ife
Hata mimi nimeona hiyo kitu,wamekua wadogo kwenye issue za utalii 😀Siku hizi hawaongelei kabisa kuhusu kuwa hub ya utalii na uwekezaji.
Sijui ndiyo wamesusa.
🤣 😛 😂
Ngoja nikuulize sasa tujaze server za jf na picha za watalii maasai mara for what ama mnadhani hatuna watalii? Battle ni Dar vs Nai[emoji848]Nime note kitu humu,wakunya ni kana washakata tamaa kwenye utalii hawatuwezi,zamani ilikua ikija issue ya utalii walikua wanachangia na kujisifu sana,siku hizi wakiona post za utalii wanapita kimya kimya