KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
Still going strongHivi ile KQ Pride training facility bado ipo?
Still going strongHivi ile KQ Pride training facility bado ipo?
Mavi hakuna BRT Kenya.
Kumbe uliona alichokiandikaKa Nairobi ni kadogo kweli kweli, yn vipicha vyote vya upande upande vinavyowasumbua watz vichwa panzi vinatokea hapa kwenye haka kaeneo kadogo, yn Watz vichwa panzi wanaoropoka ropoka humu wanazinguliwa na vipicha vya kujirudia rudia kutokea hapa. Kuna mtz kichwa panzi mmoja karopoka huko juu eti ka Nairobi kamejengwa eneo kubwa kuliko Dar, yn karopoka mpk wakenya wenyewe wameogopa kumkot.
Naomba Watz vichwa panzi huu uzi umetoka mbali, cc humu tunaokesha kwenye huu uzi ndiyo tunaijua hii miji nje ndani, mfano mm sijafika ka Nairobi na sina mpango wa kufika hivi karibuni ila huniongopei kabisa kuhusu haka kamji, nakajua nje ndani, sasa nyie Watz vichwa panzi hamshindi humu kwenye huu uzi tafadhali sn msipende kuropoka ropoka vitu usivyovijua, wewe jukwaa lako ni MMU basi baki huko tuachie huu uzi mana na cc hatuchangii huko kwenye nyuzi zenu mana hatujui kinachoendelea, mambo yako ya siasa maji taka nenda ukayamalize kwenye nyuzi zenu huko msije humu mana mnaropoka ropoka vitu msivyovijua.View attachment 2268164





Kwanini mnalazimisha kuja Tanzania?, sehemu ambayo unahisi kwamba wakigundua wewe ni Mkenya lazima wakusumbue unapaswa kuachana nayo usiende huko.Sasa unanitorture aje na sina kenyan plate, you dont stop living because people hate you, there are better things to do



Don't come here, we don't need youA bongolala at his best
What does that mean?Kwanza wanakosea huwa nawaona wakitumia huo msemo tofauti na inavyotakiwa, huwa tunasema "Mimi sipangwigwi na co sipangwingwi"
Kenya wao kitu muhimu ni malls tuNimepitia maendeleo ya Egyptyo EAST AFRICANS hatuna kitu tunafanya asee (bado sana), kuwakaribia hawa jamaa, kama hatutajenga strategic projects we will never reach them levels .. hao Nigeria
the Africa's giant ecenomy
. They ar just a joke, ni aibu manzee.. ngoja nikuwekee miradi ya kimkajati under construction in Egypt uone vile tunachekeshana tu hapa JF na jirani tumalize siku basi
Wewe ni wa kupuuzwa hujui una post nini hapa.Kwamba Dar ina Oil refinery
Kwamba Dar ina Oil jetty
Kwamba Dar ina Deep Sea Port
Kwamba Dar Ina Clover leaf interchange
Kwamba Dar ina Shipyard
Kwamba Dar ina real estate
Kwamba Dar ina Tourism/ nightlife
Kwamba Dar ina operational Sgr
Hebu jibu hizi, kabla niendelee kukupiga nyundo
The same has happened to me in Kenya with Tanzanian number plates at langata roundabout and embu thika highway junction.Disgusting police. Mimi naamini chenye nilishuhudia.
Especially na hao wanaovaa uniform za white lakini chafu.
And the harassment is targeted at Kenyans. Not locals. Kwa msururu wetu, only the Kenyan cars got stopped every few kilometers for targeted harassment.
Na hongo wanataka kwa shilingi ya Kenya, sio hio yenu ya madafu.
If you have decided to come to hostile country, then you must be ready for any eventuality and stop useless allegations and complains.Sasa unanitorture aje na sina kenyan plate, you dont stop living because people hate you, there are better things to do
Kwahiyo dar hakuna real estate sio pia hakuna oil jetty pia use your common senseHehe kamepanick, hapo sijaingiza nairobi, hivyo vitu vyote viko Mombasa, je dar slum vipo?
nairobians stereotype bongolalas kaa washamba sana.. bongo nyinyi ni washamba.! nairobi urbanlife is say 30yrs ahead of u pipo. hiyo nayo lazma kieleweke.!Yaani uwe founder wa lugha ambayo inakusumbua . Sifa za kijinga wakunya
Na mpaka kwenda kutuchongea huko nje kisa wanatafuta sifa ilimradi kuharibu image ya Taifa letu. Hawa watu wanatafuta kuharibu industry ya Utalii wetu baada ya kuona watalii wanakuja kwa wingi. Tuwe nao makini sana si wema kwetu.Mchawi wa Kikunya na ramli chonganishi baada ya Project Loliondo kushindwa! Tuwapende kwa lipi zuri mlilofanya? kujaribu kutuchonganisha na Wamasai ndugu zetu kwa kuwalaghai ndugu zao ni Masai wa Kikunya?
We dont board tetanus lorry buses made from civil construction hardwares.nairobians stereotype bongolalas kaa washamba sana.. bongo nyinyi ni washamba.! lazma mkubali hio. nairobi urbanlife is say 30yrs ahead of u pipo. hiyo nayo lazma kieleweke.!
View attachment 2268628
Wewe kaa comfort zone peke yako, wacha tubaguliwe ni hali ya maisha tutaevolve tuKwanini mnalazimisha kuja Tanzania?, sehemu ambayo unahisi kwamba wakigundua wewe ni Mkenya lazima wakusumbue unapaswa kuachana nayo usiende huko.
Hii inanikumbusha malalamisha ya waafrika kubaguliwa na kunyanyaswa huko Europe, lakini bado wapo tayari hata kupoteza maisha Yao wakijaribu kuvuka bahari kwenda katika nchi ambazo zinawanyanyasa
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kenyan shilings huku ni toilet paper wengine wanafungia maandazi na vitumbua kwa mama ntilie.Wanataka Kenyan shilling na wanachukia Kenya. Stupid police na ni wanafiki na wachafu kuruka. Disgusting
Kiukweli mimi ninataka kuiona hiyo Kibera, watu wanavyoishi, hali zao kwa ujumla, kula yao, maji safi yapoje, wanalala vipi katika hayo mazingira, zile nyumba za bati zipo kweli Nairobi? Nikijiridhisha nipitie Karen nitoe pole zangu nirudi zangu Bongo kuendelea na maisha kama kawa. Msimu wa mavuno ukiisha tu nakuja kujionea maajabu ya slums za kunyalandwatanzania kwanza wa hapa jf hutamani sana kuja Kenya. Jealousy is the first sign of envy.



Wapumbavu wale, mambo yao ya siasa wanakuja kutuharibia uzi wetu humu.Kumbe uliona alichokiandika![]()