Umeandika kwa maumivu mjukuu 😂 😂 😂 😂, ukweli unakutesa hadi basi wishful thinker😂😂😂😂, Sasa nataka leo udhibitishe, tuhesabu nyumba standard vs slumy housing na tulinganishe na Tanzania.., kama Dar ni shanty 90% ina maana kwa kila nyumba moja ya tajiri, utapata nyumba 100,000 za kifukara.., these👇👇👇 types., usijitoe ufahamu wazi wazi ama kujitia hamnazo.., hizi ndio standards.,
View attachment 2267411
View attachment 2267414
View attachment 2267415
Hapa Kenya., matajiri ndio wamezunguka slums kwa wingi, in tanzania Mifukara imezunguka matajiri na CBD kwa upana., iko wazi sana kwa muonekano ata ukitumia google earth kutazama.,
Kibera kati kati, imezungukwa na standard estates kwa upana na urefu., so
The best 007 ., kauli yako potovu unatoa wapi?😂😂😂
View attachment 2267418
Yaani kibera imezungukwa na utajiri inawapea matumaini ya kujituma, mtu akifaulu anaondoka na kujoin the rest doing well., Dar ni hopelessness left right and centre..,
View attachment 2267419