Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ngoja nikueleweshe, ukimaliza flight school that is ppl, cpl and multi rating for you to be able to fly any aircraft lazima uwe na minimum rating za that type of aircraft, kwa mfano 737-300 lazima uende shule ikona that flight simulator and learn to fly it for a number of hours, sasa hilo lidude hapo nyuma ndio yo use it to get those ratings, lets say unatoka from 737 to 767 lazima pia uingie kwa flight simulator to get the ratings, you cant touch an aircraft without having its rating hata kama ukona 20,000 hrs kwa one particular aircraft.i hope umeelewa, na mnilipe for free schooling[emoji1787]
Hapa umepigia mbuzi guitar.., lugha ya hawa vilaza ni mapicha tu ndio level ya ku deal now, deep stuff wachana kabisaa, few heads from down south walo kusanyika jf can grasp what u are saying here.., read their responses uone., 😂 😂 😂 😂
 
Hapa vipi, wachawi wa Kikenya


FV14Z5tWAAEomt2


Tony254 Yaani tunachohitaji ni mpigane katika uchaguzi huu na kwa roho zenyu za husda mtavurutana!

Ikifika winter time ulaya nadhani mbuga zetu zitajaa kupita mfano
 
Hapa umepigia mbuzi guitar.., lugha ya hawa vilaza ni mapicha tu ndio level ya ku deal now, deep stuff wachana kabisaa, few heads from down south walo kusanyika jf can grasp what u are saying here.., read their responses uone., [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ata baba yao gueza nikama ako clueless[emoji1787]
 
Mwaka huu hatoki mtu baghosha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unapigilia msumari tena [emoji4][emoji4],ila wamejitahidi sana kipindi cha nyuma nyakati kama hizi walikuwa wameshaanzisha choko choko.
 
Nahisi labda hufahamu mimi ni mjaluo by nature mama yangu ni mtu wa kenya(k'ogello) nina ujomba na Barack Obama,mjomba wangu anafanya kazi JKIA nimeshaenda Nairobi sio chini ya mara tatu,Kisumu zaidi ya mara 7 na mombasa natarajia kwenda August.....sasa wewe endelea kukaa hapo Migori halafu uendelee kupiga domo hapa JF kuwa Nairobi au Dar ya 80-2000's ndio Dar ya 2010's-2020's...Dar inapanuka sana tena sana nina wajomba zangu uwa wakienda dar wanabaki midomo wazi hawaamini wanachokiona..........Be open minded
Sasa kabila lako linahusikanaje na huu mjadala? Kutangaza kwako kwamba wewe ni jaluo sasa imeondoa ukweli kwamba ulidownload mipicha na kuzituma hapa eti emezipiga mwenyewe?

Wajaluo wanajulikana kuwa ni wastaraabu labda wewe ni jaluo chinku. Nairobi Utafika tu siku moja kaka usijali. Kwa sasa endelea kudownload picha na kutuma huku jf na kudanganya vilaza wenzako kwamba upo Nairobi!
 
so mwanza inashindana na mombasa + nairobi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 acha tu nicheke
Nimekuambia huo uharo wa nyumba za gebo zenye bati nyeupe haifikii hata Milimani ya Nakuru. Sijataja Nairobi au Mombasa mahali
 
Back
Top Bottom