Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aiseee! Sasa mwisho wake ulikuwaje, alipona kweli??
Ni video ya zaman hio.. South Africa.. simba aliuliwa kwa kupigwa risasi.. huyo mzungu wanasema ni mmliki wa hio park

 
initialy thought hapa ni kanairo... this is an exclusion rare shot where darslam slightly looks like nairobi 👍🏽👍🏽 kongole kwa hii picha, maana hatujazoea kuona scenes kaa hizi, barabara na streetlighting kaa hizi bongo

Screenshot_20220622-184235_Chrome.jpg
Screenshot_20220622-184254_Chrome.jpg
 
Ni video ya zaman hio.. South Africa.. simba aliuliwa kwa kupigwa rosasi.. huyo mzungu wanasema ni mmliki wa hio park

Ohhh! Sawa maana nilidhani ni kwetu ingeleta image mbaya kwenye utalii wetu.
 
initialy thought hapa ni kanairo... this is an exclusion rare shot where darslam slightly looks like nairobi [emoji1417][emoji1417] kongole kwa hii picha

View attachment 2269041View attachment 2269042
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisa hapa Bongo hakuna picha kama hii, safi hivi bila make up waweza pata wapi Kanairo?Umenichekesha sana rafiki yangu dyfre.
 
Kwa wale ambao wanadhani vita ni mchezo, upekuzi wangu wa hali ya juu kwenye channels za Russian speakers kimeniwezesha kupata hii video. Video ni hatari kweli. Inaonyesha majeshi ya Russia yakipigwa makombora (yaani artillery fire) na majeshi ya Ukraine. Aisee sina la kusema. Wanajeshi wa Russia wanaonekana wanapitia muda mgumu sana.

Cc ichoboy01
 
Siku hizi hawaongelei kabisa kuhusu kuwa hub ya utalii na uwekezaji.
Sijui ndiyo wamesusa.
[emoji1787] [emoji14] [emoji23]
Kipigo tulichowapiga this time ni kitakatifu, huoni wanaona uvivu hata ku share picha zao za tourists [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom