of concrete jungle in East and Central Africa, gud night.Huna picha quality? Simu yako nikama ikona shida.Ngoja tuongeze angle kdg mana dunia ya sasa humuongopei mtu.View attachment 2267146
Wewe picha unatoa mtandaoni mm napiga mwenyewe, that's a difference.Huna picha quality? Simu yako nikama ikona shida.
Eti nimiliki nyumba eneo kama hii kisha nijisifie 😂😂😂😂😂yani kwa kifupi ardhi kubwa ya nairobi inamilikiwa na watu wachache sana kias kwamba hata zile estates zao zinamilikiwa na wachache, ndio maana mkenya anaewez kupanga bedsitter hujiita middle income 🤣🤣🤣🤣 wakat middle income watanzania anamiliki nyumba zaidi ya moja na magari kadhaa
We unadownload thumbnails. 🤣 🤣 🤣Wewe picha unatoa mtandaoni mm napiga mwenyewe, that's a difference.
Mabati reloadedZoom hadi tuone chumba cha kulala
Ruai slum
View attachment 2267110
Mabibo middle-class area![]()
![]()
View attachment 2267112


Kuna fala aliweka picha ya uhuru park ati amepiga janaNice Progress at Uhuru Park.
![]()


Punguza wivulisilo na maji na lililokubuhu kwa kipindupindu!
wangeongeza pia 'Tuma ya Macho.!' 😆🙉Its high time we start copyrighting our phrases. I am happy stevo simple boy did it for, "Freshi Barida" hawa watanganyika hawana creativity kabisaaView attachment 2267170
Alafu nyinyi mnatuma ka-ambassador eti arepresent rais wenu kwenye meeting serious kama hii. Huwa mpo serious na EAC kweli? Nini ngumu kumtuma hata waziri mkuu au naibu wa rais kama rais ameshikika?