Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

in exchange of water!

What else?

Image
 
yani kwa kifupi ardhi kubwa ya nairobi inamilikiwa na watu wachache sana kias kwamba hata zile estates zao zinamilikiwa na wachache, ndio maana mkenya anaewez kupanga bedsitter hujiita middle income 🤣🤣🤣🤣 wakat middle income watanzania anamiliki nyumba zaidi ya moja na magari kadhaa
Eti nimiliki nyumba eneo kama hii kisha nijisifie 😂😂😂😂😂
Screenshot_20220527-004307~2.png
 
Alafu nyinyi mnatuma ka-ambassador eti arepresent rais wenu kwenye meeting serious kama hii. Huwa mpo serious na EAC kweli? Nini ngumu kumtuma hata waziri mkuu au naibu wa rais kama rais ameshikika?

We know exactly that’s a wastage of time.
 
Back
Top Bottom