Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona Konza haipo? Jamaa wababaishaji sana wanakuambia wanajenga mji mpya mpaka leo haueleweki, mji wanaujenga kwa miaka 20 sasa lkn majengo mawili, ili mradi tu nao wawekwe kwenye kundi la nchi zinazojenga miji mipya.
Kwani Konza City inajengwa ili iwe capital city ya Kenya ama hiyo kiingereza ndio imekupiga chenga kama kawa?
 
Waweke watoe wapi? Si ni keleke tu na ubishi za kijinga ndio zao

This battle tunataka kupeleka pole pole step by step. So far the scores is Kisumu 1, Arusha 0.

Next ni sporting facilities. Can any Tanzanian show us Arusha stadium?


View attachment 2263936
😂😂😂 Kamwe Kisumu haitawezana na Arusha, wacha kunipotezea muda, we endelea kujifurahisha, bye
 
Weka za Mwanza tuone.., hauna mapicha ya Mwanza kujibu Kisumu? lishamba limechoka kweli 😂 😂 😂 😂 😂 😂 matako ya Mwanza tunaifahamu na hatuweki, tunataka sura ya Mwanza, tunajua pazuri ni pachache sana kuliko Kisumu.., the rest ni ushumba umetapakaa😂😂😂😂
Hebu post wewe pazuri unapopajua mwanza
 
Middle class suburbs in Dar is a slum. Hakuna hata 1 inch of paved road. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣


Image
Hiyo ndio Kama South C au Buru Buru yao sasa 😂 😂 😂
Huku lami ni ndoto 😃😃😃
 
Double taxation, ni kama ukitumia hela kwenye simu ( m-pesa , tigo pesa) na mitandao mingine wanakata kwa mtumaji na mtoaji huu ni kama unyonyaji pia ina discourage wafanyabishara wanaowauzia vitu watu wa mikoani . Kimsingi mh. waziri kakosa ubunifu ndio maana kila mara bundle la internet linapanda bei bila sababu ya msingi. Double taxation inasababisha watu waone kulipa kodi ni unyonyaji
Kweli kabisa mkuu! Kulipa kodi siyo kitu kibaya lakini ziwe kwa kiasi zionyeshe zimefanya nini, tuone impact kwenye uchumi wa nchi na siyo kupotelea kusikojulikana.

Kwenye bando la internet wameweza kutukomoa. Waliangalie na hili kwa busara. Siyo fair watu wataogopa kuwa na magari sasa au nauli zitapanda kufidishia kodi,anayeumia ni mwananchi wa chini.
 
Updates: The Masais from Ngorongoro have arrived safely at their new village in Msomera!




Maandamano ya Wamasai wa Tanzania dhidi ya uzandiki wa Wakunya, Ubalozi wa Kunyaland DSM






CC: Tony254

Hawa Wamaasai mumewalipa pesa ngapi ili kubeba mabango mbele ya ubalozi wa Kenya?
 
View attachment 2263933View attachment 2263935unamaanisha kisumu hii ambayo mpaka leo watu wanakodi usafiri wa baiskeli kama boda boda au kisumu ipi hiyo?
Hiyo ni tamaduni ya Kisumu. In fact, the word boda boda ilianzia hapo Kisumu kabla ya kuenea maeneo mengine hadi sasa imefikia ughaibuni.
Screenshot_20220608-173725~2.png

If you thought this would help you defend your brothers who have been wowed by Kisumu pics to the point wanazikana then you are wrong!
 
Kisumu hali ya chakula ni hovyo na huwezi kuongelea maendeleo bila kuangalia food affordability has to be very cheap

View attachment 2263382View attachment 2263383
Umeishiwa wala si siri. Tangu lini Kisumu imekuwa eneo la Wamaasai? Maasais are found in Narok and Kajiado counties. Kisumu is predominantly Luos na tena huko hakuna baa la njaa. Umesikia bongolala?
 
Najua viongozi waliobaki wanaona kama uliwaachia mzigo mkubwa kupunguza wizi ili kumaliza miradi uliyoianzisha ila juwa kwamba kama hatutokushukuru sisi watakushukuru kizazi kijacho, one of the biggest ship in Africa, Mv Mwanza
tapatalk_815124048_680x453.jpg
tapatalk_-735870623_512x341.jpg
tapatalk_1680604304_512x287.jpg
 
Mananiletea pictures za a millennium ago 😅😅😅😅 leteni mambo ya Google earth 😂😂😂 mkitoka Nairobi mnaiogopa Google earth kama kisonono
Didn't I bring you google earth images of Thika? Ama ulishakunywa konyagi zako ukalewa?
 
Back
Top Bottom