Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ile mitaro hua wanajenga wakiziita dam ziko wapi na zinasaidia nn 👇👇👇

Pia nyinyi na mko na maji mengi tatizo ni nini? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1655471860351.png

1655471875536.png
 
Staki maneno maneno twende ground
SGR ya umeme imefika? naona umeni quote.., refer back when we did a comparison bana.., ngoja SGR na miaka 25 mbele to compare notes na Kenya, kwa sasa wacha sisi tujienjoy tu mnapo lia lia humu 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Huu ni unyanyasaji sasa kwa wananchi kila kitu kiwe kulipia lipia tu,unafuu uko wapi kwa mwananchi kumpunguzia makali ya maisha?
Double taxation, ni kama ukitumia hela kwenye simu ( m-pesa , tigo pesa) na mitandao mingine wanakata kwa mtumaji na mtoaji huu ni kama unyonyaji pia ina discourage wafanyabishara wanaowauzia vitu watu wa mikoani . Kimsingi mh. waziri kakosa ubunifu ndio maana kila mara bundle la internet linapanda bei bila sababu ya msingi. Double taxation inasababisha watu waone kulipa kodi ni unyonyaji
 
SGR ya umeme imefika? naona umeni quote.., refer back when we did a comparison bana.., ngoja SGR na miaka 25 mbele to compare notes na Kenya, kwa sasa wacha sisi tujienjoy tu mnapo lia lia humu 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Vipi unaogopa.? Kwenda ground.? ARUSHA vs kipoison ,uone kama hujatoka damu humu, mimi nimeshajipanga au nikusaidie kupost kipoison.?
 
Back
Top Bottom