Ngoja nichangie kidogo hapa..mana football/soccer is my fav hobby

..
Rankings za FIFA zinatokana na matokeo ya mechi za timu za taifa kwenye calender ya FIFA (yan hizo mechi zinaratibiwa na FIFA)..most times timu za taifa zinafanya vizur sababu ya uzoefu wa wachezaj kimataifa.. mfano Brazil iko juu ya England kirank za FIFA lkn league ya England ni kubwa, maarufu na yenye hela kuliko league ya Brazil..
short point ni kuwa hata wachezaj wenu wako tayar kuja kucheza ligi ya Tanzania kuliko kubaki kenya.. sababu ligi yetu ina hela na interests kubwa kuliko yenu.. so ligi yetu ni kubwa na tajiri kuliko yenu..thats the point inayozungumziwa humu ndan