Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
sio hiyo tu, vijiji zote outside Dar., na Dar ni CBD pekee., the other 80% wafyate nazo .,Changing goal posts as always mkishalemewa. Hicho kijiji usiwahi taja tena hapa siku nyingine
sio hiyo tu, vijiji zote outside Dar., na Dar ni CBD pekee., the other 80% wafyate nazo .,Changing goal posts as always mkishalemewa. Hicho kijiji usiwahi taja tena hapa siku nyingine
Jengeni barabara. Kama affluent estates za Mwanza ndio hazina lami Sasa tutasemaje kuhusu sehemu zingine?View attachment 2263341
Baadhi ya nyumba eneo la Bwiru mwanza.
Kuna watu wanafikiri kila mtu mwanza anaishi milimani
Siku hizi Kisumu inachanganya hawa wachawi kweli kweli 😂😂🤣That's not Kisumu!
Na bado linajengwa miaka mingapi sasa? haliishi., am sure Nairobi 88 will be finished and filled up before this., besides it's sold already 80% plus!, na bado liko under construction.., Tz has a weak economy., ni mziki na mpira tu, vitu serious nah! 😂 😂 😂 😂 😂mbili zipi hizo? Hamna Tarehe na Marriott wenyewe hawajaongelea hiyo GTC project!
JW Marriot Hotel – Global Trade Center
gtc.co.ke
This tower will have an international brand 5 star hotel too!
![]()
View attachment 2263162
View attachment 2263164
Tulia kwanza hadi wakati town area ya Dar itatoshana na Mombasa kisha uje.., sio uswazi, nasema town area..,Bado sana, mna safari ndefu.View attachment 2262206
Alafu ile Tabora yake alikuwa akitaja mbele ya Kisumu ndio hii hapa
View attachment 2263221
Umezingatia umbali kutoka juu wa hizo picha au nyege zimekupanda?Tulia kwanza hadi wakati town area ya Dar itatoshana na Mombasa kisha uje.., sio uswazi, nasema town area..,
Mombasa grandmother ya Dar.,
View attachment 2263407
Dar is slum., mjukuu wa Mombasa
View attachment 2263408
Wewe unakuanga zuzu sana, tanzanian na planning nikama maji na oilMzee kubali kwenye planning mpo hovyo, nchi yenu imeoza na slums kila pembe na hamna la kufanya
Hii ni Kilwa lakini ipo well surveyed kuliko hata Mombasa
Kwenye suala la makazi hamna ubavu wa kutunishiana misuli na Tanzania, level yenu Burundi
View attachment 2263373View attachment 2263374
Baada ya Wakenya kupiga kelele UN imeingilia kati
Tanzania is like a ball to Kenya tunacheza tunaye tunavyotaka
Niletee sasa Mombasa yenye planning ya Tabora kakaWewe unakuanga zuzu sana, tanzanian na planning nikama maji na oil
They are more or less the same, infact the Mombasa pic is slightly far.., Dar anything outside that pic ni makazi, n mostly village type housing sprawling far and wide!.,Umezingatia umbali kutoka juu wa hizo picha au nyege zimekupanda?
Mbona Konza haipo? Jamaa wababaishaji sana wanakuambia wanajenga mji mpya mpaka leo haueleweki, mji wanaujenga kwa miaka 20 sasa lkn majengo mawili, ili mradi tu nao wawekwe kwenye kundi la nchi zinazojenga miji mipya.
Those trucks will be allowed in siku tumependa.400 trucks 🤩🤩🤩🤩🤩
Yaani kunyaland tumeiweka kwapani na hapo ni Namanga tu bado mipaka mingine 8 😊
Even Dar can't have this level of planning, sembuse Tabora.Niletee sasa Mombasa yenye planning ya Tabora kaka
We fala kweli, Samia ndio kazuia mahindi ninyi na njaa yenu ubavu huo mnautoa wapi?Those trucks will be allowed in siku tumependa.