Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,883
- 103,746
BTW haijafika Tshs 40 mln ni around Tshs 38 mln! Fedha yao imeshuka!Wakenya nawakumbusha tu
Mshindi wa kwanza Ligi kuu kenya anapewa 2M Ksh ambayo ni sawa na 40M Tsh, ambayo ni zawadi ya mshindi wa position no 10 Ligi Kuu Bara. LEVELS 😄🇹🇿🇹🇿
View attachment 2263388View attachment 2263389View attachment 2263390


