Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Wanashadadia sana wanajua tutapoteza wataliiHii ishu mbona wakunya wanaishobokea mnoo!
Wanashadadia sana wanajua tutapoteza wataliiHii ishu mbona wakunya wanaishobokea mnoo!
Hao etihad warudishe na route ya dar au kama vp waingie alliance na ATCL iwe inaenda abu dhabi hata mara 2 kwa wikiLicha ya propaganda,Utalii wa Tanzania unazidi kuchanja mbuga hususani Zanzibar.
Mashirika ya ndege yanazidi kurejesha safari zake zilizokoma hapo awali 👇
Kiswahili cha kawaida icho brou una weweseka "tengeu" inatokona na "tenga" ,kutengaNimenotice kwamba kiswahili chako ni kizuri kushinda cha Watanzania wenzako. Asubuhi uliniambia nitumie tafsida ikanibidi niende kwa kamusi kuangalia maana ya neno hilo. Sasa naona unatumia neno "tengefu".
Wapi wameandika muarabu anataka kuuziwa ngorongoro, una ushahidi tafadhali?
Wapi wameandika muarabu anataka kuuziwa ngorongoro, una ushahidi tafadhali?
alaf mwambie akupe source kua inataka kuuzwa kwa waarabu akikupa tu nitag tatizo hawa wakenya wanawivu sana na tanzania![]()
who is maria sarungi ?? yule yule anaetetea ushoga ?? au mwingine 🤣🤣
Now you're discrediting Maria na evidence umeletewa. Such a loserwho is maria sarungi ?? yule yule anaetetea ushoga ?? au mwingine![]()
manake hii habari imewauma sana sasa huenda kuna kitu ndani yake 😂😂😂 tangu lini mkenya akawa na uchungu na tanzania lini na wapi?? mbona hamkua na uchungu na wale wananchi wanaokufa njaa mpaka wanapika mawe???Now you're discrediting Maria na evidence umeletewa. Such a loser
Uko denial stage
Kwa hiyo kulingana na wewe mpinzani hawezi kua na maono sawa?which rights ww unawaskiza wapinzani wa nchi hii wanaotetea ushoga wengine wanafikia hatua mpaka ya kutoa siri za nchi![]()