Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimenotice kwamba kiswahili chako ni kizuri kushinda cha Watanzania wenzako. Asubuhi uliniambia nitumie tafsida ikanibidi niende kwa kamusi kuangalia maana ya neno hilo. Sasa naona unatumia neno "tengefu".
Kiswahili cha kawaida icho brou una weweseka "tengeu" inatokona na "tenga" ,kutenga
 
kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia ndio maana unaona wakenya humu wamelishkilia hili bango 👇👇👇
DD74BAA5-BD57-4050-A5C1-3A994999B771.jpeg
 
Back
Top Bottom