Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Katafute census report yetu utaona kila nyumba Kenya haikosi kuku. Duniani kuku ni wengi kuliko binadamu.
Sasa mbona hamli kuku
JamiiForums1230294512.jpg
 
Hivi ni vitendo vya kishenzi havipaswi kuchekewa, kama uongozi wa juu umeidhinisha jambo hili kwa kisingizio cha muwekezaji basi tunalaani vikali ushenzi huu. Uongozi wa sasa unajificha kwenye kivuli cha uwekezaji, watu wameishi hapo kabla hata ya hayo mambo ya uwekezaji, iweje wawafosi watoke? Hii haikubaliki na ndiyo sababu Magu alikuwa bega kwa bega na wananchi wanyonge na co kukumbatia mabeberu, hii nchi ni kubwa watafute maeneo mengine ya uwekezaji yapo mengi na co kusumbua raia eti wanaishi na wanyama, shida iko wapi? Wenyewe wanaishi hivyo karne na karne.
Ni kweli mkuu hawatumii ubinadamu kabisa kwenye kuratibu hili zoezi japo population ya wakaazi Ngorongoro inapaswa kuangaliwa kwa jicho la pili, njia za busara zitumike zaidi ya mabavu!
 
Ni kweli mkuu hawatumii ubinadamu kabisa kwenye kuratibu hili zoezi japo population ya wakaazi Ngorongoro inapaswa kuangaliwa kwa jicho la pili, njia za busara zitumike zaidi ya mabavu!
Hivi mnamjua huyu mtu ROSTAM AZIZI au mnamsikia tu
 
Katafute census report yetu utaona kila nyumba Kenya haikosi kuku. Duniani kuku ni wengi kuliko binadamu.
Anything on paper for Kenya I dont trust I have seen alot of stuffs that don't rhyme with situation on the ground.
 
Ni kweli mkuu hawatumii ubinadamu kabisa kwenye kuratibu hili zoezi japo population ya wakaazi Ngorongoro inapaswa kuangaliwa kwa jicho la pili, njia za busara zitumike zaidi ya mabavu!
Ni kweli serikali kama kweli wanataka kuwatoa Wamasai na kuwapa waarabu (wawekezaji) hio ardhi hamna sababu ya kutumia nguvu . Ni kuweka kikao na wananchi kila jambo liwe open final mwekezaji hawajengee makazi mbadala . Serikali kuwa middle man wanapata lawama hapo maana uadilifu wa civil servants hauwezi kuwa sawa . Hakuna sababu ya kutumia vitisho . Power is nothing without control
 
Sasa mbona jamaa akifungua southerb bypass was busy claiming huwezi wekea maasai mipaka walishe their cattle, and speaking of maasais the number of tz maasais in nairobi ni wengi sana
Hawa wamasai wa tz wako Kila mahali Kenya wakiuza madawa na vibuyu plus sandals!
Seems Ni maskini sana hadi wanavuka border!!!
Na wako na sura za kiturkana not like Kenyan maasais especially narok ones
 
Asante Moderator kwa kuwapiga ban wahuni kama hawa wanaotaka kuharibu uzi kwa makusudi kisa tunawazidi maeneo mengi, pia huyo muhuni ana I'd nyingine inaitwa Coco Master pia nayo naomba uipige life ban, na ikikupendeza pia naomba umuangalie kwa makini muhuni mwengine anaitwa nairobae Wakenya tunaomba muwe wastaarabu shida mlizonazo msizilete humu kwenye huu uzi tafadhali.View attachment 2256337
Mjinga uyo acha akapumzike analeta umafii na chuki za kitoto
 
Hongera umecomment vyema mkuu, kuliko yule mjinga wa kwenu sijui coco anandika kama anahara.
Kulikoni Watanzania?., mambo gani haya? already trending kwenye Jukwaa la Siasa.., wa maasai ni watu wangwana sana, hawanaga maneno na mtu, wanapenda maisha yao ya kitamaduni, nani huyu shetani ibilisi anawakosea heshima??
View attachment 2256391
View attachment 2256392
View attachment 2256395
View attachment 2256396
View attachment 2256397
View attachment 2256398
Mbona tuanenda pabaya haraka hivi?...kweli usimamizi umekuwa wa hovyo kiasi hiki?
 
Back
Top Bottom