Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa wamasai wa tz wako Kila mahali Kenya wakiuza madawa na vibuyu plus sandals!
Seems Ni maskini sana hadi wanavuka border!!!
Na wako na sura za kiturkana not like Kenyan maasais especially narok ones
True. Na wengi wanalala nje au kwa slums wakiwa pamoja
 
We mwehu nn, Kenyan forum alianzisha mkenya? Hii jamiiforums ni brand toka Tz ni yetu sisi Watz na hamkuwa mkiijua hapo kabla usijipendekeze kwa vitu visivyokuhusu.
Yenu na nani?Mwenye JF anajulikana, we ni mtumiaji wa hii forum kama tu sisi wengine huna shares zozote. Kiburi na mali ya watu wengine
 
What is this?

We shangilia nchi kusambaratika wakati hujui hujma zinazofanywa na NGOs za nchi ya jirani! Yaani maasai wagombee Ngorongoro na Loliondo tu na si Masai mara au Amboseli au Tsavo? Na haiingii akilini kwako wakati yoote ni Maaland? When it comes to land within Tanzania utaskia Maaland cards being played ila land within Kunyaland huiskii hilo!
 
Electric vehicle charging point ..Nairobi

1654876205749.png
 
We shangilia nchi kusambaratika wakati hujui hujma zinazofanywa na NGOs za nchi ya jirani! Yaani maasai wagombee Ngorongoro na Loliondo tu na si Masai mara au Amboseli au Tsavo? Na haiingii akilini kwako wakati yoote ni Maaland? When it comes to land within Tanzania utaskia Maaland cards being played ila land within Kunyaland huiskii hilo!
Wap nimeshangilia?
Ni ujinga wa mama kutaka kupewa sheker na waarabu kisa wawape hio ardhi.. shes not patriotic at all.
 
CCM wanajaribu kuficha habari kama kawaida
Screenshot_20220610-190338.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220610-185904.jpg
    Screenshot_20220610-185904.jpg
    38 KB · Views: 10
Yenu na nani?Mwenye JF anajulikana, we ni mtumiaji wa hii forum kama tu sisi wengine huna shares zozote. Kiburi na mali ya watu wengine
Hiyo haibadili ukweli kwamba ni mali ya mtz, aliyesoma shule za Tz, na anayeishi Tz, nyie mnajipendekeza tu kuwepo humu, mkiona namna gani vipi mnaweza kuondoka pia kwn c mna platform zenu huko? Mbona cc Watz hatushoboki na platforms zenu? Sasa kwa kuwa mnashoboka na mali za Watz mkae kwa kutulia na mfuate taratibu za platform za watu co mnatuletea tabia za kihuni za huko kwenu zinazotokana na ugumu wa maisha.
 
Wap nimeshangilia?
Ni ujinga wa mama kutaka kupewa sheker na waarabu kisa wawape hio ardhi.. shes not patriotic at all.
Evidence ya unachoongea? Loliondo Game Controlled Area imeanza ku-exist Leo? Wacha kasumba mzee hawa Masai wengine wanatoka Kenya. Sasa tatizo lao la ardhi kule wasituletee sisi!

The-location-of-the-two-study-areas-Loliondo-and-Ngorongoro-in-the-north-east-of-the.png




Screenshot 2022-06-10 181026.jpg
 
Back
Top Bottom