Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi ni vitendo vya kishenzi havipaswi kuchekewa, kama uongozi wa juu umeidhinisha jambo hili kwa kisingizio cha muwekezaji basi tunalaani vikali ushenzi huu. Uongozi wa sasa unajificha kwenye kivuli cha uwekezaji, watu wameishi hapo kabla hata ya hayo mambo ya uwekezaji, iweje wawafosi watoke? Hii haikubaliki na ndiyo sababu Magu alikuwa bega kwa bega na wananchi wanyonge na co kukumbatia mabeberu, hii nchi ni kubwa watafute maeneo mengine ya uwekezaji yapo mengi na co kusumbua raia eti wanaishi na wanyama, shida iko wapi? Wenyewe wanaishi hivyo karne na karne.
Munapenda kulamba waarabu haga hadi munakosa kutumia akili.
 
Hivi unajua kwanini Matiti ya mamako unaweza ya chezea lakini sio makende ya babako, yaani mtanzania awache sections zote Jf alafu aje Kenyan section kuniripoti niondolewe Jf.
 
Nimeku report kwa mods kwasababu unaleta uhuni wa kibera humu kwenye hii forum ya watu wazima na ukiendeleza ujinga na id hiyo pia tutafanya kila namna ipigwe ban, maisha yako magumu usituletee cc ukishindwa maisha huko failed state kuja Tz upatie nchi yako remittance, mbona Wakunya wengi tu tumewaajiri huku tunawalipa pesa kiduchu wanazotuma huko kwenu? Sisi ndio chimbuko la maendeleo ya Kenya, tofauti yako na wenzio tuliowaajiri huku ni elimu, we hire the most talented and professional Kunyans sio kajamba nani, au uje tukupe kazi ya kuzibua mitaro na kutembeza bidhaa barabarani huenda ikakuondolea stress za kuona kila mtu hafai, shida mbaya wajameni
 
Wabongo wanatumia kuni kama lane separators.

Image
Wacha KUNIchekesha bana
 
Kulikoni Watanzania?., mambo gani haya? already trending kwenye Jukwaa la Siasa.., wa maasai ni watu wangwana sana, hawanaga maneno na mtu, wanapenda maisha yao ya kitamaduni, nani huyu shetani ibilisi anawakosea heshima??
View attachment 2256391
View attachment 2256392
View attachment 2256395
View attachment 2256396
View attachment 2256397
View attachment 2256398
Du ase.. nikisema ni udhaifu wa mama.. nitaitwa sukumagang...
Unaumiza watu wako ili kupora ardhi yao uwape waarabu? Huu ni ujinga..
Utaifa uko wap? Uongozi wa kutetea watu wako na resources zao uko wap?
Wasaidiz wake wanafanya nn kuruhusu haya mambo
Kama wanataka hela si mikopo mingi tu wanapewa
 
CCM NI MAVII NINAWAAMBIA KILA SIKU ..KUWA HUYU SA100 NI GENGE LA MUHUNI WANAO TUMIWA NA WAARABU NA WAHINDI WANDANI YA NCHI NA MABEBERU MAFISADI KUHUJUMU TAIFA
Hapa Samia anawakosea maasai. Ni haki yao kuishi ngorongoro.
Walikua pale tangu enzi za mababu zao, kabla ya huyo muarabu anayetaka kununua Ngorongoro kuzaliwa
 
Kwahiyo jengo likifanana kwa nje it means na ndani liko hivyo hivyo, na iweje Magu aseme hawezi kumuachia mgeni amjengee nyumba yake ya kulala, sasa alitaka kuficha nn ilihali kila kitu linafanana na lile la Dar?
Unajua maana ya kufanana kwani tunapowasema wakenya kwa kujengewa miundombinu inayo fanana na majengo ya jadi ya china wewe unazani tunamaanisha nini ? Swali kwani kubuni jengo letu bila ya kusema tunajenga la kufanana nala magogoni kulikuwa kuna tatizo gani ? Kulikuwa kuna tija gani kuchukua muundo wa jengo la mkoloni
 
Kulikoni Watanzania?., mambo gani haya? already trending kwenye Jukwaa la Siasa.., wa maasai ni watu wangwana sana, hawanaga maneno na mtu, wanapenda maisha yao ya kitamaduni, nani huyu shetani ibilisi anawakosea heshima??
View attachment 2256391
View attachment 2256392
View attachment 2256395
View attachment 2256396
View attachment 2256397
View attachment 2256398
Tanzania ni jehanamu. Mama Samia ni mzanzibar atauzia waarabu Tanganyika yote bila kuhisi chochote
 
Back
Top Bottom