ForeverMore
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 812
- 1,942
Unadhani hata inge tengenezwa design nyingine, maneno yangeisha?Kwahiyo JPM alifanya la maana ku-copy na ku-paste pale?kwani ile ni nyumba binafsi au ya Taifa?
Ndiyo kwanza sasa hivi mngekuwa mnasema bora angejenga kama ya Dar tu.
Binadamu sisi zigo la misumari. Kichwani halikai begani halikai...


