Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tusihame kwenye mada,
Hivi mbunge ambae ni waziri analipwa milioni ngap?
Yani tukisema watu wanaotafuna hii nchi na sisi mnatutaja kweli ?sisi tunawahudumia watz kwa ujira mdogo wewe mwenyewe unakiri hapo Au ulitaka hizi kazi tuzifanye bure mjenge barabara na vituo vya mabus tu
Hahahaha, wewe argument yako ni hovyo Sana, kwahiyo wewe hujali mamilioni ya watanzania wanaoteseka badala yake unajilinganisha na watu 300 wanaoishi vizuri na wewe unawatumia hao wabunge kuwa ndio "role model" wako, huo Sasa ndio ubinafsi, Kama hujui watu binafsi wakoje, jitizame wewe, huna sababu ya kutoka nje ya chumba chako ili kutafuta watu wabinafsi," very good example of selfish person is tuusan"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
20220609_102033.jpg
image_8c1aeb30-d674-4f31-ac65-da2da4cf7c0120220609_102042.jpg
image_a55ef740-96d0-4056-9764-4efef969a08a20220609_102045.jpg
image_50d5fb11-92f2-4e6a-85d7-ed5db803cdae20220609_102048.jpg
 
Hahahaha, wewe argument yako ni hovyo Sana, kwahiyo wewe hujali mamilioni ya watanzania wanaoteseka badala yake unajilinganisha na watu 300 wanaoishi vizuri na wewe unawatumia hao wabunge kuwa ndio "role model" wako, huo Sasa ndio ubinafsi, Kama hujui watu binafsi wakoje, jitizame wewe, huna sababu ya kutoka nje ya chumba chako ili kutafuta watu wabinafsi," very good example of selfish person is tuusan"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wafanyakazi wa serikali akili zao zimejaa mafii kichwani kama mshahara ni mdogo si akajiajili kanuni ya kiuchumi ya nchi ambayo ni masikini na inataka kuondoka kikweli kwenye umasikini nilazima mishahara ya wafanyakazi itumie asilimia 25% tu ya BAJETI YA SERIKALI
 
Wafanyakazi wa serikali akili zao zimejaa mafii kichwani kama mshahara ni mdogo si akajiajili kanuni ya kiuchumi ya nchi ambayo ni masikini na inataka kuondoka kikweli kwenye umasikini nilazima mishahara ya wafanyakazi itumie asilimia 25% tu ya BAJETI YA SERIKALI
Jambo linalotia hasira ni kwamba, hata wakiongezewa hiyo mishahara, hawafanyi kazi yoyote zaidi ya kuchart na kuchezea simu Kama sio kuzunguka kwenye seminars na safari za kikazi zisizokua na faida yoyote

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hivyo nyie hamna vipanya huko kwenu? Mbona wewe na Lwiva mnajifanya kana kwamba hakuna kipanya Tanzania?
Vipanya tanzania vinatumika kwa kazi zisizo rasmi maeneo ya maporini huko kwa usafiri wa dar vilipigwa marufuku miaka ya 90 huko kupeleka abiria mijini , hivyo kama mtu anakitumia anakitumia kuhudumia vichochoroni siunajua makazi yetu ayajapangika vizuri mitaani ...hivyo vinatumika kinyume na sheria maeneo yasiyo fikiwa na mabasi ndani ndani huko tena vinatumika kama tax bubu tu
 
Acha kujiabisha hapa ukweli unaujua gari kubwa ni more comfortable than gari ndogo huwezi kulinganisha saloon car iwe merc au bmw na range rover au land cruiser vx hii hata kwenye ndege ni hivyo hivyo kama huwa unapanda ndege lakini.
Wewe nilikuambia ni keyboard warrior mshamba. Ni kama hujui tofauti ya spacious na comfort.
Hii gari ni kubwa and very spacious but very uncomfortable.


Armored Toyota Land Cruiser 78 | Alpine Armoring® USA


Hii gari ni ndogo and not so spacious but very comfortable than hio Land Cruiser.
File:Toyota Premio T261 2.0G Superior Package.jpg - Wikimedia Commons


Mercedes S-Class, ambayo ni flagship model ya Mercedes ni gari ndogo but hakuna any other Mercedes car that rival it in terms of comfort, that's why it's the official presidents car in many countries. Nimekuambia huwezi onglea comfort ya gari ukose kutaja suspension compontents. Ukubwa wa gari is an added advantage but doesn't guarantee comfort.
Eti ndege ni hivyo hivyo. 🤣 🤣 🤣 🤣 Unatoa wapi nguvu ya kucompare ndege na gari. Unakuanga na akili ingine spare au ni hii tu.
 
Hehehe. Nadhani wanaita all types of matatu vipanya isipokuwa buses. So mathree ndogo kabisa for example mololine shuttle na hata hizo minibuses zao wanaziita vipanya.
Kipimo cha kipanya ni mtu akisimama ndani bila ya kukaa lazima ajipinde mgongo hivyo gari zote kama vibasi ambazo abiria akisimama awezi kusimama wima hivyo kwetu ni vipanya
Kipimo kingine ni urefu wa gari kutoka kwa dereva hadi kwa abiria wa mwisho
 
Hivi uamuzi wa shamba kuwepo au kutokuwepo kwenye chanzo cha maji huamuliwa na NEMC au DC? JPM alikuwa mkabila aneyependelea Wasukuma wa Chato na victims wake wengi walikuwa watu wa Kaskazini. That's a fact can never be denied! Nilete evidence?

Moja alikuwa na mpango wa kumega ardhi ya Kagera Biharamulo na Kigoma kuileta Chato na kufanya Chato mkoa bila idhini ya wakazi wa sehemu hizo ila kwa matakwa ya watu wake wa Chato!

Pili alikwapua hela za uwanja wa Chato nje ya maadhimio ya Bunge kujengwa kijijini kwake badala ya makao makuu ya mkoa!

Tatu baada ya kulazimishia ziwa Burigi na ardhi inayolizunguka kuwa chini ya Burigi Chato NP alihakikisha inakuwa na gate Moja tu la Chato umbali km 82 na Mji wa. Biharamulo ambao upo km 16 akauzuia kufaidika na rasilimali za hifadhi.

Nne, aliilazimisha TANAPA kujenga hoteli ya nyota tano ya gharama ya Tshs 11 bln Chato akitulaghai ni nyota tatu. Mpaka leo haijakamilika. Kumbuka alipoingia 2015 alipiga marufuku ukamilishaji wa hoteli ya ghorofa 16 NSSF Mwanza.

Tano, Nyingine zaja...



-Ni mimi Mchagga wa Machame
Geza Ulole
Mimi nipo hapa naangalia mtanange kati ya Geza Ulole vs marehemu
 
Back
Top Bottom