Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu naona sasa unapingana na fact, unavyo sema inflation ilikuwa kidogo sijui kwako huwa unamanisha nini sababu Tz inflation ilikuw moderate( 3.5% to 4.5) na sio kidogo kama unavyo dai, pia hii ndio inflation inayo itajika kuweza kuonyesha kuwa uchumi ulikuw unaenda vyema na kuonyesha jinsi gani uchumi ulikuwa kwenye Equillibrium angalia saivi rate ya inflation !!Mana yake kuna fedha zilizo ingia kwenye mzunguko zisizo tokana na economic effect.
 
Having a small inflation sometimes sio tija kwenye uchumi inflation inatakiwa iendane na hali halisi ya uchumi. We had a small figure kwasababu uchumi ulidorora the demand for things was not there cause money supply ilikuwa curtailed consumer hawezi kununua na producer haagizi raw materials na uchumi ukawa on the decline.
Ulidorora katika sector gani ? Kuw specific na uonyeshe side effects zake? Mfano sectors zilizo kuwa katika booming ni kama miundombinu, usafirishaji, Afya, elimu, madin na ges, umeme, utali, kwa kutaja chache ...ongeza kidogo umakin mkuu kwenye hili swala
 
Nawania Usukuma wa Chato! Kwa hili la ukabila (nepotism) wa JPM nitakupa nondo mpaka ukimbie. Halafu nitaleta matokeo ya jitihada zake za ukabila jinsi zilivyowagawa watu huko Geita, Kakonko na Biharamulo! Maana unaleta petty arguments.
Geza ni mshindi kamshinda marehemu apatiwe zawadi ya basha mmoja
 
Jambo linalotia hasira ni kwamba, hata wakiongezewa hiyo mishahara, hawafanyi kazi yoyote zaidi ya kuchart na kuchezea simu Kama sio kuzunguka kwenye seminars na safari za kikazi zisizokua na faida yoyote

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Tena ..tena..tena...ndiyo wanazidi madharau wanawaona wananchi masikini mbwa ,...mfano miaka ya 90 polisi walikuwa wanaweza kukimbiza wezi mtaa kwa mtaa ,ukisema tu mwizi polisi wanakula naye sahani moja hata kilometa 5 sasa sikuizi mapolisi wamepaki magari makali yenye viyoyozo wanayamiliki arafu wewe raia hauna hata gari kisha yeye ndiyo akukimbizie mwizi .
 
Gari kubwa centre of gravity iko high so distance from the road friction to passengers cabin ni kubwa hence vibrations zina kuwa dissipated easily kabla ya kufika kwenye passengers cabin pili engines za gari kubwa za diesel ni low rev engines mostly the car can be speeding on little throttle.

Lastly yes the bigger the car the more comfortable it is. Sasa wewe endesha Benz saloon halafu uendeshe na range rover au land cruiser uone utakuwa comfortable wapi.

Hii ni kwa vyombo vyote hata ndege, meli etc mfano the bigger the jet comfortability inakuwa kubwa
asante sana lecturer, ila jinsi ninavyo jua mm kama engineer aliyepitia hii unit "Theory of Structures" pale chuoni ni kwamba, the lower the CG.. the more the comfort. pia usiseme the bigger the car! bali the wider! (hence the lower the CG), and the more the comfort.!.... its all about the level of the centre-of-gravity acha kutubeba ufala pia na wewe, the so called senior university lecturer.. pia ss tulienda skuli buana.! Ala.!!
 
Acha kujiabisha hapa ukweli unaujua gari kubwa ni more comfortable than gari ndogo huwezi kulinganisha saloon car iwe merc au bmw na range rover au land cruiser vx hii hata kwenye ndege ni hivyo hivyo kama huwa unapanda ndege lakini.
Ha ha ha kazi ipo? Range rover ni SUV ambayo wamehakikisha ina match saloon kama S Class in comfortability.
Seriously unaweza kufananisha comfortability ya BMW 7 series au Audi A8 na VX?
Tuendelee na battle ya Dar Vs Nai
 
Wafanyakazi wa serikali akili zao zimejaa mafii kichwani kama mshahara ni mdogo si akajiajili kanuni ya kiuchumi ya nchi ambayo ni masikini na inataka kuondoka kikweli kwenye umasikini nilazima mishahara ya wafanyakazi itumie asilimia 25% tu ya BAJETI YA SERIKALI
IMG_20220609_112536_1.jpg
 
Hahahaha, wewe argument yako ni hovyo Sana, kwahiyo wewe hujali mamilioni ya watanzania wanaoteseka badala yake unajilinganisha na watu 300 wanaoishi vizuri na wewe unawatumia hao wabunge kuwa ndio "role model" wako, huo Sasa ndio ubinafsi, Kama hujui watu binafsi wakoje, jitizame wewe, huna sababu ya kutoka nje ya chumba chako ili kutafuta watu wabinafsi," very good example of selfish person is tuusan"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mawazo yako hayo,mi wala sina neno,
Mwenye mandet ya kuwafikiria hao watz ni pres na cabinet yake usifikiri iyo ni kazi yangu
 
Wafanyakazi wa serikali akili zao zimejaa mafii kichwani kama mshahara ni mdogo si akajiajili kanuni ya kiuchumi ya nchi ambayo ni masikini na inataka kuondoka kikweli kwenye umasikini nilazima mishahara ya wafanyakazi itumie asilimia 25% tu ya BAJETI YA SERIKALI
We shule ulisoma wapi...huwez kua unareason kama mdudu
 
We shule ulisoma wapi...huwez kua unareason kama mdudu
Kusoma unaweza kusomea popote hata chooni chamsingi usiwe Ng'ombe kama hivi ulivyo wewe maana ulivyo wewe hata usomee mbinguni ni bure kwakuwa wewe ni sawasawa na ng'ombe ambaye kasomeshwa kwa pesa ya ng'ombe
 
Kwani Kenya Kuna SGR?, tunaomba muache kushusha hadhi ya neno "SGR" tafadhali Sana, pamoja na "technical specifications", SGR inabema maana zaidi ya hiyo.

SGR lazima iwe na sifa zifuatazo;
1)Speed
2)Modernity
3) Beautiful
4)Electricity
5)Continuous welded


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nini maana ya neno "SGR" Kilaza? 😂 😂 😂 😂 😂 👆 idiocy on steroids
 
Back
Top Bottom