Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Like i said money liquidity has nothing to do with money supply.
Sasa kama serikali haijaongeza mshahara kwa muda mrefu si kunakuwa na ufinyu wa kutumia pesa kwenye mzunguko lakini wakati huohuo serikali ina hela ambayo cannot be readily converted into liquid cash. Na pia mishahara ikiongezeka hata urahisi wa kutumia hela huongezeka pia hivyo vyote vina effect kwenye money supply. Hii yote pia hutegemea na monetary policy ya country husika as for us Tanzania with regards to money supply we base mostly kwenye M1,M2 and M3.
Pia kuna njia nyingi za kuongeza pesa kwenye mzunguko sio lazima kwa kuongeza mishahara, ambayo haina direct relation with efficiency of workers ili kuongeza uzalishaji, mfano kipindi cha mwenda zake tumeshudia serikali ikijikita zaidi kwenye ujenzi kitu ambacho kilikuwa kinaongeza pesa kwenye mzunguko, na zililazim mtu kufanya kazi kuzipata kitu kilicho fanya uchumi uwe balanced na hata inflation isiwe tatizo
 
Mara ngapi nikuambie geography ya kwetu na yenu ni tofauti kwa nini unataka tujenge marshalling yard port? Port yenyewe inakuwa served na line 3 SGR, MGR na Cape Gauge hence ziko line za kutosha tuu hapo. Magari yote yatokayo DSM kwenda nje ya TZ na reli zote zinazotoka DSM kwenda mikoani lazima zipite Ruvu 60km from port ambapo marshalling yard itakuwepo. Hivyo lorries zote zitachukua mzigo from ruvu na kudrop empty containers ruvu lorries hazitaingia mjini tena except zile za kupeleka mizigo within Dar tuu.
Hiyo inamaanisha sgr ya Tanzania haiwezi shinda sgr ya Kenya kwa kubeba mzigo. Kuna gharama nyingi saana za kubeba mzigo kwa lori kutoka port ya Dar hadi ruvu tena ushukushwe uinuliwe tena uwekwe juu ya sgr alafu ushushwe tena ukifika destination uwekwe juu ya Lori tena Dodoma. Gharama na kupoteza kwa muda sana.
Sidhani kuna business man ata prefer SGR ya Tanzania over Kenya. Bado watanzania wa Tarime, Mara na moshi wataendelea kutumia sgr ya kenya

Kenya mzigo ni direct kwa sgr hadi Nairobi au naivasha unauchukua na Lori yako hapo dry port.
 
Dawa iko jikoni inachemka.
Screenshot_20220609-094433_Opera.jpg
Screenshot_20220609-094547_Opera.jpg
 
Hivi uamuzi wa shamba kuwepo au kutokuwepo kwenye chanzo cha maji huamuliwa na NEMC au DC? JPM alikuwa mkabila aneyependelea Wasukuma wa Chato na victims wake wengi walikuwa watu wa Kaskazini. That's a fact can never be denied! Nilete evidence?

Moja alikuwa na mpango wa kumega ardhi ya Kagera Biharamulo na Kigoma kuileta Chato na kufanya Chato mkoa bila idhini ya wakazi wa sehemu hizo ila kwa matakwa ya watu wake wa Chato!

Pili alikwapua hela za uwanja wa Chato nje ya maadhimio ya Bunge kujengwa kijijini kwake badala ya makao makuu ya mkoa!

Tatu baada ya kulazimishia ziwa Burigi na ardhi inayolizunguka kuwa chini ya Burigi Chato NP alihakikisha inakuwa na gate Moja tu la Chato umbali km 82 na Mji wa. Biharamulo ambao upo km 16 akauzuia kufaidika na rasilimali za hifadhi.

Nne, aliilazimisha TANAPA kujenga hoteli ya nyota tano ya gharama ya Tshs 11 bln Chato akitulaghai ni nyota tatu. Mpaka leo haijakamilika. Kumbuka alipoingia 2015 alipiga marufuku ukamilishaji wa hoteli ya ghorofa 16 NSSF Mwanza.

Tano, Nyingine zaja...



-Ni mimi Mchagga wa Machame
Geza Ulole
Mkuu, sidhani Kama Kuna faida Sana tukiendelea kusigana wenyewe kwa wenyewe hapa katika "Forum ya wakenya", tutawapa muda wa kupumua, Bora tuunganishe nguvu kupambana na wakenya.
game over
Tony254
ichoboy01
7seven
NDINDA

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Magufuli hated kenya and anything Kenyan to the core. I remember his comments when we were on partial lock down. Man, his hatred towards Kenya was an open secret
Yeye na chuki zake zote za kisenge na ufala ako kwa shimo anaoza. I hate old men wenye hukua na ufala sana kwanza kama yuko madarakani. Magu alikua falamanga sana.
 
Nawania Usukuma wa Chato! Kwa hili la ukabila (nepotism) wa JPM nitakupa nondo mpaka ukimbie. Halafu nitaleta matokeo ya jitihada zake za ukabila jinsi zilivyowagawa watu huko Geita, Kakonko na Biharamulo! Maana unaleta petty arguments.
Mkuu, Baki nazo hizo nondo zako zitatuumiza, tunakuomba Sana kwa unyenyekevu mkubwa, wenye akili watatudharau tukiendeleza haya malumbano

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, sidhani Kama Kuna faida Sana tukiendelea kusigana wenyewe kwa wenyewe hapa katika "Forum ya wakenya", tutawapa muda wa kupumua, Bora tulinganishe nguvu kupambana na wakenya.
game over
Tony254
ichoboy01
7seven
NDINDA

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unachoni-bore ni hypocrisy ya kutoona Mbowe alikuwa victim wa political heinous machinations dictated by Malaika mwenye roho ya chuki kisa Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA.

Mali za Mbowe zilizoharibiwa kipindi cha Mkabila Malaika JPM ni mln of US $! Mali ambazo Mkabila wa Chato alijaribu kuwa nazo akashindwa mpaka mauti yanamfika!

Je Chato ilifikia hata Bomang'ombe? Kuna mtu kauliza!
 
Yeye na chuki zake zote za kisenge na ufala ako kwa shimo anaoza. I hate old men wenye hukua na ufala sana kwanza kama yuko madarakani. Magu alikua falamanga sana.
Kwani rais wa Tanzania akiichukia Kenya, ninyi wakenya inawagusaje, mbona inaonekana mnaguswa Sana na Tanzania?

Uongozi wa Mexico hauathiri wamarekani, lakini uongozi wa USA unazungumziwa Sana na Mexicans. Tanzania hatuhisi lolote lile endapo rais wa Kenya ataichukia Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kaka, unapaswa kuwafikiria watanzania 92% ambao sio waajiriwa serikalini, Japan kujifikiria ninyi tu, hivi hujisikii vibaya kuona kwamba 2% ya watanzania wanapewa 40% ya mapato ya nchi?.

Jambo Moja ninalokushauri ni kwamba, jitahidi kuwekeza katika biashara usitegemee Sana mshahara wa serikalini, serikali haina uwezo wa kutosheleza mahitaji yako, hiyo % uliyoongezewa haitoshi hata kujaza petrol kwenye gari lako kwa wiki mbili, Labda Kama huna "private car".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Tusihame kwenye mada,
Hivi mbunge ambae ni waziri analipwa milioni ngap?
Yani tukisema watu wanaotafuna hii nchi na sisi mnatutaja kweli ?sisi tunawahudumia watz kwa ujira mdogo wewe mwenyewe unakiri hapo Au ulitaka hizi kazi tuzifanye bure mjenge barabara na vituo vya mabus tu
 
Mkuu, Baki nazo hizo nondo zako zitatuumiza, tunakuomba Sana kwa unyenyekevu mkubwa, wenye akili watatudharau tukiendeleza haya malumbano

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sasa mbona ulianza kunichafua unadai mimi Mmachame kidogo unipe uchifu wa pale Bomang'ombe ambao sitaukataa wakinipa!

Fuatilia reaction ya watu huko Biharamulo uone wanavyolalamikia maovu ya Malaika!
 
Kwani rais wa Tanzania akiichukia Kenya, ninyi wakenya inawagusaje, mbona inaonekana mnaguswa Sana na Tanzania?

Uongozi wa Mexico hauathiri wamarekani, lakini uongozi wa USA unazungumziwa Sana na Mexicans. Tanzania hatuhisi lolote like endapo rais wa Kenya ataichukia Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kafuatane na magufuli kaburini mkachome mizimu ya vifaranga vya kenya
 
Unachoni-bore ni hypocrisy ya kutoona Mbowe alikuwa victim wa political heinous machinations dictated by Malaika mwenye roho ya chuki kisa Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA.

Mali za Mbowe zilizoharibiwa kipindi cha Mkabila Malaika JPM ni mln of US $! Mali ambazo Mkabila wa Chato alijaribu kuwa nazo akashindwa mpaka mauti yanamfika!

Je Chato ilifikia hata Bomang'ombe? Kuna mtu kauliza!
Mkuu nisamehe Sana kwa hilo, sitorudia tena, nimekiri Mimi ni mwana mpotevu, Mbowe kweli ndio muathirika mkubwa, kuanzia Sasa Mimi nitaanza kumtetea Mbowe mpaka atakapoingia Ikulu, tupo pamoja mkuu wangu.
game over
Tony254
The best 007
NDINDA
ichoboy01

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo inamaanisha sgr ya Tanzania haiwezi shinda sgr ya Kenya kwa kubeba mzigo. Kuna gharama nyingi saana za kubeba mzigo kwa lori kutoka port ya Dar hadi ruvu tena ushukushwe uinuliwe tena uwekwe juu ya sgr alafu ushushwe tena ukifika destination uwekwe juu ya Lori tena Dodoma. Gharama na kupoteza kwa muda sana.
Sidhani kuna business man ata prefer SGR ya Tanzania over Kenya. Bado watanzania wa Tarime, Mara na moshi wataendelea kutumia sgr ya kenya

Kenya mzigo ni direct kwa sgr hadi Nairobi au naivasha unauchukua na Lori yako hapo dry port.
Dar port to Ruvu imeunganishwa na reli MGR na SGR! Kila kitu mlichofanya tumeenda extra mile kuwazidi!
 
Back
Top Bottom