Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Apa naona huleti fact tena bali siasa na miemko,ukiniambia private sector ilishuka ningekubaliana na ww ni kweli kabisa , kuna sera mbili zinazo bana na kuachia pesa kwenye mzunguko ambanzo ni monetary na fiscal policies, kipindi cha mwenda zake alitumia sana fiscal policy , ndio mana gvt ilikuw km center of everything...Hali ilikuwa mbaya hela hamna kwenye uchumi mikopo ikasitishwa serikali ikaanza kupora hela za wananchi kwa mtutu na hiyo nayo utabisha? Sabaya mwenyewe anasema alfuata maelekezo toka juu hapa unatetea nini?
Hii inaonesha kuwa wewe ni mfanyakazi wa serikali maana wote waliathirika kasoro wafanyakazi wa serikali tuu.
Biashara ziliporwa hela zikafungwa na wamiliki wakawekwa ndani ukikataa kuporwa unafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi au unajikuta kwenye kiroba na hii nayo utanisha?
Japo sipendi kuzungumzia siasa lakini hiyo ndio ilikuwa hali halisi Tanzania in the last 6 years.
Ila akuna haja tuachie hapa umesha ingiza siasa kwenye uchumi.