Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Barabara za kule majengo ndanindani,yakuelekea bonite bottlers limited (shirimatunda)za pale mjini kati zote zimejengwa na JPM,mnyonge mnyongeni haki yake apewe...barabara ya kuelekea kidia kutoka kiboriloni nayo aliisogeza
Hata stand mpya ya mabasi alijenga samia akaizuia isiendelee.

Kusema JPM aliitenga Kilimanjaro ni ukichaa
 
You in your glory spouting nonsense.
Mwisho wa SGR ya Tanzania ndio huu hapa
Screenshot_20220608-153128.jpg
 
Ni kitu ambacho hata JPM alishindwa katika kujaribu kusambaratisha utalii wa Kaskazini! Msifikiri utalii ni kitu rahisi rahisi!
Mzee umewahi kufika ARUSHA angalau ukapata kuona miradi aliyoifanya mwendazake Ili kuboresha mji wa Arusha, hiv unaujua mradi wa upanuzi wa runway ya uwanja wa ndege Arusha.? Unaijua miradi ya mabarabara karibu yote pale mjini, ujenzi wa zahanati.? Ukarabati wa shule kongwe n.k.? Au haujawahi fika kaskazini ndio mana unaropoka.? Moja Kati ya mipango ya Magufuli ilikua ni kutengeneza barabara ya Moshi-Arusha kuwa dual na miradi mingi mingi pale moshi mjini.. Umewahi kufika bahati wewe.? Nakuhakikishia barabara zinazoinganisha mikoa hapa Tz zote hazifiki uzuri na viwango vya barabara zinaunganisha mikoa ya kaskazini .. sasa kama kafanya mambo yote haya huyu bwana mwendazake vipi leo useme jamaa alikua anasambaratisha utalii Kaskazini.? Unajisahaulish kwamba ni katika uongozi wa Raisi magufuli ndio mapato yetu ya utalii yalipaa hata kuwazidi jirani wenye roho mbaya.?
 
Tony inaenda kwenye port sema kuna daraja linajengwa so ujenzi unaenda slow ..sasa kuna maana gani ya SGR kama haitoi mzigo port
Bado naona kuna majumba ya watu kwenye njia ya reli? Naona haya majumba bado hayajabomolewa? Ujenzi wa kipande hicho utachukua muda mrefu kwa sababu watu lazima waondolewe, nyumba zao zibomolewe, kisha ujenze uanze ili kufikisha SGR kwa port. Bila port SGR haina maana. Hii SGR ya Kenya chini ya miaka mitano tayari imeshasafirisha 1.7 million containers.
 
Mzee umewahi kufika ARUSHA angalau ukapata kuona miradi aliyoifanya mwendazake Ili kuboresha mji wa Arusha, hiv unaujua mradi wa upanuzi wa runway ya uwanja wa ndege Arusha.? Unaijua miradi ya mabarabara karibu yote pale mjini, ujenzi wa zahanati.? Ukarabati wa shule kongwe n.k.? Au haujawahi fika kaskazini ndio mana unaropoka.? Moja Kati ya mipango ya Magufuli ilikua ni kutengeneza barabara ya Moshi-Arusha kuwa dual na miradi mingi mingi pale moshi mjini.. Umewahi kufika bahati wewe.? Nakuhakikishia barabara zinazoinganisha mikoa hapa Tz zote hazifiki uzuri na viwango vya barabara zinaunganisha mikoa ya kaskazini .. sasa kama kafanya mambo yote haya huyu bwana mwendazake vipi leo useme jamaa alikua anasambaratisha utalii Kaskazini.? Unajisahaulish kwamba ni katika uongozi wa Raisi magufuli ndio mapato yetu ya utalii yalipaa hata kuwazidi jirani wenye roho mbaya.?
nasema hivi alikuwa na controversy pia! Mojawapo ukabila!! Na mradi wa Arusha-Moshi dualing carriageway upo toka Kikwete chini ya JICA. As a matter of fact aliu-sabotage kipindi chake!
 
Utalii sio kitu cha kulazimisha. Tuanzie hapa, kuna wanyama wagani huko Chato? Twiga, Ndovu, Simba wapo Chato? Au itabidi wahamishwe kutoka maeneo mengine kuletwa hapo Chato?
Anyway huko kulkua na pori kubwa lilikua useless na kuifadhi majambazi na makundi makubwa ya ngombe za wanyarwanda na wasukuma
Magufuli akaanzisha hifadhi ili kulilinda vizuri kawapa tanapa tanapa wakapeleka wanyama almost wote tuu so now ni nationalpark!!
Chato ilpata bahati ya magufuli kujenga miundo msingi mfn:hospitali ya kanda 'airport 'ofisi za kiserekali na taasisi zake 'ferry ya kisasa ni karibu na hifadhi nyingine ya rubondo island" huko biaramuro ni kijijini tuu sema eneo kubwa la hifadhi lipo upande wao je ungekua mtoa maamuzi ungefanyaje?
 
Mbona unanitolea povu mimi utadhani mimi ndio mfanyakazi wa serikali

Mimi mkulima bro.
Safi sana kama mkulima na pia kama ni mfanyakazi wa serkali jitahidi output yako iwe atlist 20% kwa mwaka
 
Utalii sio kitu cha kulazimisha. Tuanzie hapa, kuna wanyama wagani huko Chato? Twiga, Nyati Ndovu, Simba wapo Chato? Au itabidi wahamishwe kutoka maeneo mengine kuletwa hapo Chato?
Kabla Chato Burigi haijawa national park ilikua game reserve toka dunia imekua so hakuna mnyama aliehamishiwa, wanyama wote wapo toka dunia imeumbwa, bado Tanzania ina game reserves nyingi ambazo sio national parks zenye wanyama kibao!
 
Duh! Yaani SGR yao haijafika kwenye port? Hahaha. Sasa itakuwa inasafirisha abiria pekee, sio mizigo?
Tony usisikilize watu wanao penda habari za kuwatekenya halafu wacheke wenyewe. Passengers terminal na port ni vitu viwili tofauti. Line ya port ipo na inachepukia kabla ya kufika kwenye hiyo Passengers terminal mizigo haipiti city centre.
 
Back
Top Bottom