Wapuuzi sana yani walipindisha sheria kwa muda ili wanyama waliowagawa bure kwa washkaji zao waweze kisafirishwa af walvomaliza wanazuga kukurupuka sa100 ni jizi tuuNyuma ya kifo cha jpm huyo mpuuzi yupo ...samia kamwacha huru jambazi no 1 singasinga ,samia anatumiwa na wauza ngada , sa100 anatumika pamoja na mafisadi wa kiarabu wanao fanya juu chini ili serikali iwe mikononi mwao
Wewe muarabu anakusaidia nini tako weweDictator alikusaidia nn fool
Iko wapiMiradi ya maji huku inazinduliwa na magavana..kweli tunatofautiana










Matusi yangu yana akili kuliko hekima yako weka hizo reason zako hapa tuzioneUnautaalamu gani wa mambo ya kitaalamu kama hayo?,wewe bingwa wa matusi sababu hauna akili inayoreason kama mtu
Huyo Sabaya ni vizuri afungwe kifungo kirefu sana gerezani. Watu kama hao ni wahujumu wa uchumi. Wahujumu wa uchumi wanaoitisha wafanyibiashara hongo huko China hunyongwa. Hii ni economic crime. Hujuma dhidi ya uchumi wa Tanzania. Wafanyibiashara wanaamua kufunga biashara zao kwa sababu ya usumbufu wa mtu mmoja. Mwishowe uchumi wa Tanzania unaumia na kufifia kwa sababu ya huyo Sabaya.Utetezi wa kesi dhidi ya hizi dhulma unaoendelea Sabaya anasema ilikua maagizo toka kwa JPM ili wafanyabiashara wa Moshi na Arusha waishi kama mashetani!
Kumbuka hii clip ipo online toka Malaika akiwa hai na Sabaya hakuguswa!
Huyo Panone anaemtaja ni mmiliki wa petrol station kadhaa Tanzania ambazo ni petrol stations plus motels plus mini markets combined!
Naye anakiri kuwa muathirika wa dhulma na akamshauri atoe tu ampe Sabaya!
Mind u hawa wote wafanyabiashara wa Moshi na Arusha! What a coincidence..
Embraer 190.Sawa , ilikua what type of aircraft?
Kipindi cha kikwete watu waliongozewa mishahara ila wizi ulikua pale pale na zaidi na mfumuko wa bei ulikua juu kuliko awamu yoyote ile, mkuu kuongeza mshahara sio jambo baya ni zuri ila liwe kwenye uwezo wetuHivi unajua inflation inavyofanya kazi kweli wewe? Kama inflation rate ni 4% kwa mwaka it means ndani ya 5 years purchasing power imeporomoka kwa 20% sasa maana yake nini kwa mfanyakazi? Hii inamaana uwezo wa mfantakazi kumudu gharama za maisha umepungua kwa asilimia 20%. Ikiwa hivyo huyu mfanyakazi atafidia vipi hizi gharama za maisha zilizoongezeka kama sio kula rushwa na kulisababishia taifa hasara. Kwani hukuona report ya CAG Assad kuhusu 1.5tn unaccounted for kiufupi hiyo hela imeliwa na Taifa limepata hasara including you
SSH Jana kaupiga mwingi kwa kupokea utambulisho wa Mabalozi wa Nchi 4![]()

yani hilo ajuza linajionaga jiarabu kweli
ndiyo maana kwenye ile katuni ya royal tour amebembeleza hadi katajwa kuwa "mweupe " woman in white colour" wakati hapo kapaka mikorogo ya kila aina ila wapi ...sura kama anajikamua 

Hivi akili yenu inajua hesabu za uwiano bora kuzuia mfumuko wa bei na kuporomoka kwa shilingi kuliko kuongeza mishaharaOngezeko la mishahara linasaidia kuongeza money supply kwenye economy hivyo Tz kwa miaka mitano iliyopita money supply was below recommended margins. Aliyesoma uchumi atajua maana ya broad and narrow money supply M1 M2 and even M3
Wapi mikataba siyo maneno bila ya kuona ubora na uzalendo wa kimikataba
Utajua ujui niulize mimi hayo mamboMama mwenyewe alitaka kupigwa darzi na wajanja hapo namuondoa kwenye hilo hausiki.
Wacha nisave hii picha, itafaa baadae
Aisee ukisema wewe au mimi tutaambiwa ni wabinafsi,kumbe wabinafsi ni hao ambao hawataki wengine wapate...Kuna watu wapuuzi sana humu ndani! Watu wanafikiria patriotism inajengwa na grandiose monuments alone! Miaka mitano bila nyongeza ya mshahara huo si uuaji?