Mkuu, watumishi serikalini ni chini ya 2% ya watanzania wote, mishahara kw mwezi ni TZS 600B, hii zaidi ya 40% ya Makusanyo ya TRA kwa mwezi, kwahiyo 2% ya population ipewe 40% ya Pato la nchi nzima kwasababu tu wamesoma?,. Hivi unataka tulipie "degree certificates ", au tulipie kile mnachozalisha?, Kama kweli munesoma kwanini msitumie Elimu yenu kuongeza mapato ya nchi ili tupate pesa nyingi ndio mdai mishahara mikubwa?
Mkuu, hatuwezi kuwapa pesa nyingi kwasababu hamzalishi pesa nyingi, Kuna watanzania wengi wazalendo ambao wapo tayari kulitumikiabtaifa kwa hiyo mishahara iliyopo, wewe Kama unahisi ni kidogo haikutoshi, kwanini usitafute kazi yenye maslahi zaidi, au kwanini usitumie Elimu yako kujiajiri?
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app