Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa kwa nini hutaki chato iwe kitovu cha utalii?
Hakuna namna tena .... hospital chato, airport chato,gov'office chato ,mahoteli chato nk.. chato ni tanzania pia mapato yao yatajenga tanzania nzima hakuna haja ya wivu mkuu
kitovu cha utalii kipi wakati wana Biharamula wamekataa jina la Chato Burigi NP? Ni mimi au wao?
 
kipindi cha magu kabla ya covd tulihiti our highest score revenue kwenye italii aliwezaje?
Kabla hujanijibu naomba utuwekee yale mapato tuliokia tunawachapia wakenya hapa


Hii posti inakuusu geza ulole
kabla hajaanza unazi wake wa kukataa kukubali covid 19 pia kufunga Bureau de Change na mahoteli sio!
 
Yani Geza Ulole siamini kama ni wewe unaye type ..unaweza hisi account imekuwa hacked..

Wewe Geza wakusifia Kila kitu cha magu ..tena ukafanya watu wengne wampende Magu...na ulikuwa una i track na kusifia miradi yake na ndege etc

Leo unaiita vitu vyake upuuzi..

Aiseh typical ndumi la kuwili..

Magu had his mistakes lakini..una complain kama vile ulikuwa unateseka sana..wakati wake
Usikute tuna argue na Na.p.e humu mana alivyotolewa tu kwenye cheo chake basi na huyu wa humu akaanza sintofahamu zake japo hakuwa straight kama this time.
 
kitovu cha utalii kipi wakati wana Biharamula wamekataa jina la Chato Burigi NP? Ni mimi au wao?
Ni wivu tuu unawasumbua chato ina "miundo msingi tayari" hiyo tuu inatosha kuifanya chato ichangamke kuliko biharamuro otherwise tuiminye chato na tuanze upya kuijengea biharamuro miundomsingi!!!
ao biharamuro wapewe geti watulie waache mbwembwe
 
Kama jambazi no 1 east africa kaachiwa na serikali ya kifisadi ya huyu mjambiani mpumbavuu kwanini unataka sabaya afungwe ....yani haachiwe baraba na yesu asurubiwe....sijui kama unamjua huyo jambazi singasinga.
Wewe kwa akili yako hukumsikia mkuu wa nchi akisema hela ya escrow sio mali ya serikali au unajitoa ufahamu tuu. Mbona huyo mkuu wa malaika hakuthubitu kwenda kuchimba mzizi wa yote haya. Na bado jambazi mwingine akaja ikulu mchana kweupe kupiga deal la kumuachia mdogo wake ambae ni muua tembo mbona hukumlalamikia mkuu wa malaika? Saa nyingine mtumie busara tuu kuliko kuhara mambo msioyajua.
 
barabara za Kilimanjaro ni za Kikwete!
We jamaa unasafiri hata hii tz.? Unaijua miradi iliyoitwa miradi ya ULGSP.? miradi iliyofanywa na mwendazake Tz nzima.? Hadi kule kwetu Tanga.? Hiv unajua mradi wa barabara za Tanga-Dar via Pangani.? Je ile miradi ya madampo, uboreshwaji wa masoko, barabara za ndani, zahanati, masoko, hospitali pamoja na urekebishwaji wa miundombinu ya shule kongwe zote , hii ni pamoja na shule niliposoma mimi O level Usagara sec, Tanga Technical school, Galanisi na zingine nyingi.? Utengenezwaji wa stendi ya malori pamoja ujenzi wa kituo cha biashara par stendi mpya ya Tanga.? Au we jamaa ni wale wa kuona vitu kwa Tv tu then unifanye unaijua Tz.? 😂😂 Safiri we jamaa utoe ujinga wa vitu unavyoviwaza ilihali kwa ground mambo sivyo yalivyo..
 
Imagine hapa ndio mwisho wa SGR na ndio main station. Yani danganyika hakuna mpangilio kila kitu kimechanganyikiwa. Reli haina connection ya port na marshalling yard iko 100km from Dar
You in your glory spouting nonsense.
 
Ni wivu tuu unawasumbua chato ina "miundo msingi tayari" hiyo tuu inatosha kuifanya chato ichangamke kuliko biharamuro otherwise tuiminye chato na tuanze upya kuijengea biharamuro miundomsingi!!!
ao biharamuro wapewe geti watulie waache mbwembwe
Utalii sio kitu cha kulazimisha. Tuanzie hapa, kuna wanyama wagani huko Chato? Twiga, Nyati Ndovu, Simba wapo Chato? Au itabidi wahamishwe kutoka maeneo mengine kuletwa hapo Chato?
 
Back
Top Bottom