Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Halafu joto la jiwe huwa anadanganya Wakenya humu JF kwamba Tanzania hakuna ukabila. Eti ukabila upo Kenya tu. Madudu ya Tanzania yanaonekana sasa japo huwa yamefichwa kwa ustadi mkubwa. joto la jiwe nisiwahi kukusikia tena ukisema kwamba Tanzania hakuna ukabila.
Kwahiyo wewe umeamua kuegemea upande ambao unaendana na matakwa yako sio?. Nimemuomba aweke ushahidi wenye kuashiria kwamba kulikua na dalili za ukabila lakini ameshindwa, katika Mambo yote aliyolalamikiwa Magufuli, kosa la ukabila halipo kabisa, ushahidi mzuri ni wewe mwenye, ni Leo tu ndio unaanza kutoa shutuma hizo baada ya kuzisikia toka kwa Geza

Mimi huwa ni muumini mzuri Sana wa UN and International bodies reports, hakuna hata Moja Kati ya hizo ambayo ilishawahi kumlaumu Magufuli kwa ukabila, nyingi zililalamikia kuhusu uvunjaji wa haki za binadamu, authoritarianism, na Demokrasia, lakini kuhusu ukabila, huo ni uzushi wa watu, hilo halikuepo ni upuuzi mtupu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Inakuwaje Rais ambaye sie wenu mumchukie? Ni kama Africa ilivyomchukia Trump cz aligusa maslahi ya Afrika na ni kwasababu USA inaitawala Africa c ndiyo? Nadhani jibu unalo sasa
Wacha kufikiria kama zuzu bana, ebu niletee ile ndege ulisema ya kq haikua na livery kwanza, which livery did it have?
 
Wewe akili zako zimekojolewa na mbwa ...watumishi walipwe vizuri wakati awafanyi kazi yoyote zaodi ya upumbavu. Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ni lazima iwe asilimia 25% tu ya makusanyo ya mwezi ...ili nchi iweze kupata maendeleo ya kweli kwa haraka.
Unautaalamu gani wa mambo ya kitaalamu kama hayo?,wewe bingwa wa matusi sababu hauna akili inayoreason kama mtu
 
Ni kweli ongezeko la mishahara la 1.57T ni mwingi sana. Tatizo ni kwamba TRA inakusanya pesa kidogo sana. Unajua TRA inakusanya around $11 billion kwa mwaka? Sasa ikiwa pesa ya kulipa deni na pesa ya kulipa mishahara ya Tanzania ni $9 billion na TRA inakusanya hio $11 billion basi ni kweli itabidi muombe loans kufinance miradi zenu kuanzia sasa. Kenya pia tuna hili tatizo ambapo pesa ya mishahara na ya kulipia deni inamaliza pesa yote ya ndani sasa inabidi tukope ili kujenga miundo mbinu. Tatizo la huu upuuzi ni kwamba sio sustainable na nchi itakuwa bankrupt ikiendelea kuomba madeni makubwa ili kufinance 100% ya miradi yake. Naona EAC tunaelekea pabaya na nyie mnatucopy tu. Ongezeko la deni nitablame rais Samia na Magufuli wote kwa pamoja. Watu wanasahau Magufuli alianzisha miradi mingi na kusema yatajengwa kwa pesa ya ndani. Sasa JNHPP, SGR, upanuzi wa port za TZ, ujenzi wa daraja la Kigogo-Busisi na miradi mingine zitajengwaje na hio $11 billion ambayo TRA hukusanya kwa mwaka? Haiwezekani. JPM alimwachia mama mzigo mkubwa wa kuendelea kujenga miradi mikubwa inayohitaji pesa nyingi kuendelesha, sasa ikamlazimu mama kukopa zaidi ili kuendeleza ujenzi wa miradi alizoanzisha JPM.
Sasa Kama umeachiwa miradi mingi na pesa ni kidogo, jukumu lako Kama kiongozi ni kuongeza mapato zaidi na kubana matumizi(ikiwemo kutokuongeza mishahara), ni upuuzi Kama unajua kipato ni kidogo lakini unazidi kuongeza matumizi.

Tony, Magufuli alikua anajua ni maeneo gani angeweza kuongeza mapato nje ya Makusanyo ya TRA, nadhani ulishuhudie katika kipindi chake jinsi tulivyokua tukikamata "Kilograms of gold and Tanzanite" zilizokua zikitoroshwa nje ya nchi na kuzitaifisha, Ina maana tangu kufariki kw Magufuli watu wameacha kutorosha madini, mbona hatusikii tena kukamatwa?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Jengo la 88 Nairobi limefikia 37th floor. Imebakisha 7 floors ikamilike.
download (3).jpeg
download (4).jpeg
download (5).jpeg
download (6).jpeg
download (7).jpeg
 
Ndio mana tunasema kuongezeka kwa mishahara ni kama kuendelea kujitia kitanzi , ila kuongeze mishahara kufikia 9T ni nyingi, huwezi kulaumu kwanini mwenda zake alianzisha miradi yenye faida kwa nchi sababu hatukusikia ikikwama, na inahitajika kwakusonga mbele kwa nchi, apa ndio pakuminyana ikamilike ndio turudi kulimbikiziana mishahara.
Uyouyo alietumia hadi hela za mafao kujengea miradi au mwingine, nna uhakika walimwambia baadhi ya mambo yeye akakomaa,angeweza jenga kwa phases bila kuumiza uchumi na kufanya matumizi ya fedha za wastaafu
 
Sasa Kama umeachiwa miradi mingi na pesa ni kidogo, jukumu lako Kama kiongozi ni kuongeza mapato zaidi na kubana matumizi(ikiwemo kutokuongeza mishahara), ni upuuzi Kama unajua kipato no kidogo lakini unazidi kuongeza matumizi.

Tony, Magufuli alikua anajua ni maeneo gani angeweza kuongeza mapato nje ya Makusanyo ya TRA, nadhani ulishuhudie katika kipindi chake jinsi tulivyokua tukikamata "Kilograms of gold and Tanzanite" zilizokua zikitoroshwa nje ya nchi na kuzitaifisha, Ina maana tangu kufariki kw Magufuli watu wameacha kutorosha madini, mbona hatusikii tena kukamatwa?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ni kweli.
 
Aliesema watz ni wengi si ni wewe nakwambia defend unaleta porojo
Wewe ndio unaleta porojo. Unajuaje watanzania sio wengi Kenya na huishi Kenya? Wacha upuzi. Leta evidence watanzania sio wengi kenya kinyume cha sheria uache ujinga.
 
Wewe unaleta siasa kwenye mambo ya kitaalamu, haijalishi watumishi ni %ngap lazima serikali iwalipe vizuri,Tunashukuru SSH ameliona hilo,sasa Hapa labda tujadili mambo mengine ya msingi,Najua watu hawamuelewi Pres SSH simply kwasababu ameongeza mishahara, hizi ni jokes mnaleta
Kwani yeye ni rais wa kwanza kuongeza mishahara?, Labda Kama ajira ulianza kipindi cha Magufuli, lakini Kama ulianza nyuma ya Magufuli, utakumbuka Kikwete alikua akipandisha mishahara kila mwaka, na hakuna lolote lilisaidia kwa kuongeza mishahara, badala yake upigaji na rushwa serikalini viliongezeka.

Kaka, ni lazima serikali kutoa mishahara kulingana na uwezo wake, sio kutokana na matakwa ya wafanyakazi, yapo Mambo mengi muhimu zaidi nchini, ni muhimu yapatikane kwanza, hivi Kama ni wewe utaacha kununua madawa na vifaa Hospitalini ili ulipe mishahara?, au utaacha kushughulika na upatikanaji wa maji na chakula nchini ili kulipa mishahara ya watumishi serikalini kwanza?, hebu punguza ubinafsi?

Kaka, ajira serikalini hakuna pesa nyingi, Kama unadhani vipi, wewe jiachie na uingie mtaani upambane, wacha kulakamika wakati serikali haina uwezo huo unaotaka, hata Hilo ongezeko dogo aliloongeza, Kamwe sio lolote kutokana na gharama za maisha zilivyo kubwa, bado utaendelea kulakamika kila siku.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndio unaleta porojo. Unajuaje watanzania sio wengi Kenya na huishi Kenya? Wacha upuzi. Leta evidence watanzania sio wengi kenya kinyume cha sheria uache ujinga.
Wewe ndio umesema ombaomba wakitanzania ni wengi sasa thibitisha kauli yako
 
Back
Top Bottom